Hata mmi nashangaaaa, make hata ukawa arusha na mbeya hawakuinyesha kabisa, mwanza napo ni mwishoooni na pia rasharasha tu, wametishwa hawa watu, kidogo #azamtv wanajitahid ila nao wamepigwa pini kile kipind chao cha kituo cha uchaguz, hakionekani saiv ni shidaaa,