ITV jamani, mmenunuliwa?

ITV jamani, mmenunuliwa?

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,253
Reaction score
1,475
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?
 
Wamezuiwa kabisa na mamlaka ya juu kusoma habari za wapinzani. Hii ndiyi Tanzania.
 
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?

Watasoma tu mkuu, wory not
 
Watakuwa wamenunuliwa si bure,hapa naangalia itv tukio la arusha juu ya ukawa hakuna
 
kwa mfano hii sehemu niliyo kwa sasa ukisoma taarifa ya UKAWA ikiisha tu watu wote wanaondoka...we unategemea nini mi naona wako sawa....hawa hawajanunuliwa na kama wasipo isoma itakuwa ni tatizo pia kwao.
 
Back
Top Bottom