Kumbakumba
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 222
- 18
wananchi waisusie itv kisa hawaonyeshi ishu za cuf?acha bangi wewe
Hivi ni kwanini ITV inapoonyesha mkutano wa CUF Kamera zao huwa hawaonyeshi kwa uhalisia wa tukio halisi lilivyo ni miaka 2 sasa ninapoangalia kamera ya ITV katika mkutano wa CUF huwa inapelekwa sehemu ambayo haina watu au kamera humuonyesha mgombea pekee, mfano leo katika mkutano kata ya mkinga Kamera inaonyesha watu wanaokimbilia kuja mkutanoni, hii inafanyika kwa faida ya nani? na ili iweje? baadaye iwe nini? Jirekebisheni ITV vinginevyo wanainchi wataisusa.