CUF Ngangari
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 273
- 51
hivi ni kwanini itv inapoonyesha mkutano wa cuf kamera zao huwa hawaonyeshi kwa uhalisia wa tukio halisi lilivyo ni miaka 2 sasa ninapoangalia kamera ya itv katika mkutano wa cuf huwa inapelekwa sehemu ambayo haina watu au kamera humuonyesha mgombea pekee, mfano leo katika mkutano kata ya mkinga kamera inaonyesha watu wanaokimbilia kuja mkutanoni, hii inafanyika kwa faida ya nani? Na ili iweje? Baadaye iwe nini? Jirekebisheni itv vinginevyo wanainchi wataisusa.
toa masaburi hapa, kuna thread zingine hazina miguu wala kichwa, watu gani ulitaka waonyeshwe? Maimamu? Labda uisusie wewe, hakuna mtu wa kuisusia kisha haijaonyesha ccm b, kwani ccm b ndo nani nchi hii?
Hivi ni kwanini ITV inapoonyesha mkutano wa CUF Kamera zao huwa hawaonyeshi kwa uhalisia wa tukio halisi lilivyo ni miaka 2 sasa ninapoangalia kamera ya ITV katika mkutano wa CUF huwa inapelekwa sehemu ambayo haina watu au kamera humuonyesha mgombea pekee, mfano leo katika mkutano kata ya mkinga Kamera inaonyesha watu wanaokimbilia kuja mkutanoni, hii inafanyika kwa faida ya nani? na ili iweje? baadaye iwe nini? Jirekebisheni ITV vinginevyo wanainchi wataisusa.
ITV mmiliki wake ni mchaga na mkatoliki... CDM ni chama cha wachaga na wakatoliki...unataka waipe air time na coverage chama cha waswahili ili iweje.
ITV mmiliki wake ni mchaga na mkatoliki... CDM ni chama cha wachaga na wakatoliki...unataka waipe air time na coverage chama cha waswahili ili iweje.
ITV mmiliki wake ni mchaga na mkatoliki... CDM ni chama cha wachaga na wakatoliki...unataka waipe air time na coverage chama cha waswahili ili iweje.
umekurupuka Mengi si mkatoliki.
Tunajua, itv wanampango wao maalum, na chama hicho lakini kama hawataki kuonyesha uhalisia wa mikutano ya chama hicho waache kabisa, cuf ipo na itaendelea kuwepo, hata mm nilikuwa najiuliza ukiangalia tv nyingine ni tofauti na itv, haya endeleni na wachaga wezenu tutafika hapo mnapo pataka. Itv ni media ya kibaguzi. Kisisa, kikanda, na kidini. Kwa mtindo huu kweli tutafika,
Hivi ni kwanini ITV inapoonyesha mkutano wa CUF Kamera zao huwa hawaonyeshi kwa uhalisia wa tukio halisi lilivyo ni miaka 2 sasa ninapoangalia kamera ya ITV katika mkutano wa CUF huwa inapelekwa sehemu ambayo haina watu au kamera humuonyesha mgombea pekee, mfano leo katika mkutano kata ya mkinga Kamera inaonyesha watu wanaokimbilia kuja mkutanoni, hii inafanyika kwa faida ya nani? na ili iweje? baadaye iwe nini? Jirekebisheni ITV vinginevyo wanainchi wataisusa.
Hivi ni kwanini ITV inapoonyesha mkutano wa CUF Kamera zao huwa hawaonyeshi kwa uhalisia wa tukio halisi lilivyo ni miaka 2 sasa ninapoangalia kamera ya ITV katika mkutano wa CUF huwa inapelekwa sehemu ambayo haina watu au kamera humuonyesha mgombea pekee, mfano leo katika mkutano kata ya mkinga Kamera inaonyesha watu wanaokimbilia kuja mkutanoni, hii inafanyika kwa faida ya nani? na ili iweje? baadaye iwe nini? Jirekebisheni ITV vinginevyo wanainchi wataisusa.
acha udini na ukabila wewe taahira,,,