Itungwe sheria ya kufuatilia na kudhibiti mapato na matumizi katika Nyumba za Ibada

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Wotu tunafahamu kuwa serikali haina dini ila ni serikali hii hii inayosimamia uanzishwaji wa makanisa na misikiti na hata kuyasajili.

Binafsi naona wakati umefika serikali isiishie katika kuyasajali tu makanisa haya bali tuwe na sheria itakayoruhusu serikali kupitia chombo/maafisa maalumu kukagua matumizi na mapato katika nyumba za ibada.

Nasema hivi kwassababu siku hizi katika makanisa yetu(sisi wakristo) tumekuwa na michanga mingi kwa jina la sadaka,n.k mpaka inakuwa kero kwa waumini.

Hoja yangu ni kuwa,japo kunaweza kuwa na udhibiti ndani ya nyumba zetu hizi za ibda,lakini nadhani kuna umuhimu wa kuwa na udhibiti na ufuatiliaji wa matumizi ya fedha hizi utakaokuwa unafanywa na chombo kutoka serikalini kama extenal auditer.

Vile vile sheria hiyo itumike katika kusimamia aina ya michango inayoanzishwa kuanzia katika ngazi za jumuiya mpaka makanisani na ikiwezekana kuwe na ukomo wa kiwango cha kuchangisha waumini na kama itabidi kuvuka kikomo kilichowekwa, basi kanisa husika lipaswe kuomba kibali au kutoa taarif kwa chombo kitakachoanzishwa na ambacho kitakauwa mamlaka ya kudhibiti mapato na matumizi katika nyumba zetu za ibada.

Lengo la kuwa na ukomo katika michango hii ni ili kuzuia waumini wasio na uwezo kukamuliwa michango isioendana na vipato vyao halisi na pia kudhibiti michango inayoweza kuwa na ulakini lakini kwa alie tayari kuchagia zaidi, aruhusiwe mradi tu muhusika mwenyewe ameridhia.

Na ili kuondoa uwezekano wa kutokea mgongano au mgogoro baina ya serikali na taasisi za kidini,chombo hichi kiundwe kwa kushirikisha serikali na taasisi zote za dini.

Tusisahau kuwa baadhi ya viongozi katika siasa au vyama vya siasa,taasisi za serikali,taasisi binafsin.k ndio wakati mwingine huwa ni viongozi katika taasisi hizi za kidini hivyo kama wanakaguliwa katika taasisi zingine wanazoziongoza,basi hata katika taasisi hizi za kidini pia wakaguliwe jinsi wanavyodhibiti na kusimamia mapato na matumizi katika nyumba za Ibada.

Kama tunavyoona umuhimu kuwa na sheria ya kudhibiti mapato na matumizi katika vyama vya siasa,vyama vya ushirika,SACCOS,n.k,umuhimu huo pia unahitajika katika nyumba zetu za ibada kwani siku hizi mambo katika nyumba zetu za ibada yamebadilika sana tofauti na siku za nyuma.

Ni kweli serikali haina dini,lakini waumini katika taasisi hizi za kidini ndio hao hao ambao wanaunda SACCOS,vyama vya ushirika,n.k ambako serikali ina mkono wake katika uendeshaji wa taasisi hizi ili kulinda masilahi ya wananchi wake.
 
Wotu tunafahamu kuwa serikali haina dini ila ni serikali hii hii inayosimamia uanzishwaji wa makanisa na misikiti na hata kuyasajili.

Binafsi naona wakati umefika serikali isiishie katika kuyasajali tu makanisa haya bali tuwe na sheria itakayoruhusu serikali kupitia chombo/maafisa maalumu kukagua matumizi na mapato katika nyumba za ibada.

Nasema hivi kwassababu siku hizi katika makanisa yetu(sisi wakristo) tumekuwa na michanga mingi kwa jina la sadaka,n.k mpaka inakuwa kero kwa waumini.

Hoja yangu ni kuwa,japo kunaweza kuwa na udhibiti ndani ya nyumba zetu hizi za ibda,lakini nadhani kuna umuhimu wa kuwa na udhibiti na ufuatiliaji wa matumizi ya fedha hizi utakaokuwa unafanywa na chombo kutoka serikalini kama extenal auditer.

Vile vile sheria hiyo itumike katika kusimamia aina ya michango inayoanzishwa kuanzia katika ngazi za jumuiya mpaka makanisani na ikiwezekana kuwe na ukomo wa kiwango cha kuchangisha waumini na kama itabidi kuvuka kikomo kilichowekwa, basi kanisa husika lipaswe kuomba kibali au kutoa taarif kwa chombo kitakachoanzishwa na ambacho kitakauwa mamlaka ya kudhibiti mapato na matumizi katika nyumba zetu za ibada.

Na ili kuondoa uwezekano wa kutokea mgongano au mgogoro baina ya serikali na taasisi za kidini,chombo hichi kiundwe kwa kushirikisha serikali na taasisi zote za dini.

Tusisahau kuwa baadhi ya viongozi katika siasa au vyama vya siasa,taasisi za serikali,taasisi binafsin.k ndio wakati mwingine huwa ni viongozi katika taasisi hizi za kidini hivyo kama wanakaguliwa katika taasisi zingine wanazoziongoza,basi hata katika taasisi hizi za kidini pia wakaguliwe jinsi wanavyodhibiti na kusimamia mapato na matumizi katika nyumba za Ibada.

Kama tunavyoona umuhimu kuwa na sheria ya kudhibiti mapato na matumizi katika vyama vya siasa,vyama vya ushirika,SACCOS,n.k,umuhimu huo pia unahitajika katika nyumba zetu za ibada kwani siku hizi mambo katika nyumba zetu za ibada yamebadilika sana tofauti na siku za nyuma.

Ni kweli serikali haina dini,lakini waumini katika taasisi hizi za kidini ndio hao hao ambao wanaunda SACCOS,vyama vya ushirika,n.k ambako serikali ina mkono wake katika uendeshaji wa taasisi hizi ili kulinda masilahi ya wananchi wake.


Mange kasemaje kuhusu hilo?
 
Wotu tunafahamu kuwa serikali haina dini ila ni serikali hii hii inayosimamia uanzishwaji wa makanisa na misikiti na hata kuyasajili.

Binafsi naona wakati umefika serikali isiishie katika kuyasajali tu makanisa haya bali tuwe na sheria itakayoruhusu serikali kupitia chombo/maafisa maalumu kukagua matumizi na mapato katika nyumba za ibada.

Nasema hivi kwassababu siku hizi katika makanisa yetu(sisi wakristo) tumekuwa na michanga mingi kwa jina la sadaka,n.k mpaka inakuwa kero kwa waumini.

Hoja yangu ni kuwa,japo kunaweza kuwa na udhibiti ndani ya nyumba zetu hizi za ibda,lakini nadhani kuna umuhimu wa kuwa na udhibiti na ufuatiliaji wa matumizi ya fedha hizi utakaokuwa unafanywa na chombo kutoka serikalini kama extenal auditer.

Vile vile sheria hiyo itumike katika kusimamia aina ya michango inayoanzishwa kuanzia katika ngazi za jumuiya mpaka makanisani na ikiwezekana kuwe na ukomo wa kiwango cha kuchangisha waumini na kama itabidi kuvuka kikomo kilichowekwa, basi kanisa husika lipaswe kuomba kibali au kutoa taarif kwa chombo kitakachoanzishwa na ambacho kitakauwa mamlaka ya kudhibiti mapato na matumizi katika nyumba zetu za ibada.

Na ili kuondoa uwezekano wa kutokea mgongano au mgogoro baina ya serikali na taasisi za kidini,chombo hichi kiundwe kwa kushirikisha serikali na taasisi zote za dini.

Tusisahau kuwa baadhi ya viongozi katika siasa au vyama vya siasa,taasisi za serikali,taasisi binafsin.k ndio wakati mwingine huwa ni viongozi katika taasisi hizi za kidini hivyo kama wanakaguliwa katika taasisi zingine wanazoziongoza,basi hata katika taasisi hizi za kidini pia wakaguliwe jinsi wanavyodhibiti na kusimamia mapato na matumizi katika nyumba za Ibada.

Kama tunavyoona umuhimu kuwa na sheria ya kudhibiti mapato na matumizi katika vyama vya siasa,vyama vya ushirika,SACCOS,n.k,umuhimu huo pia unahitajika katika nyumba zetu za ibada kwani siku hizi mambo katika nyumba zetu za ibada yamebadilika sana tofauti na siku za nyuma.

Ni kweli serikali haina dini,lakini waumini katika taasisi hizi za kidini ndio hao hao ambao wanaunda SACCOS,vyama vya ushirika,n.k ambako serikali ina mkono wake katika uendeshaji wa taasisi hizi ili kulinda masilahi ya wananchi wake.
Ya kaisari mpeni kaisari na ya Mungu mpeni Mungu imeandikwa mchungaji atakula madhabahuni pake
 
Nilishawahi kuleta mada km hii wakaniambia hilo ni sadaka watu wanamtolea Mungu na Sio biashara... kwa wengine hata charity Kuchangia lazima uwe unalipa tax
 
Nyie Ndio mnamkosoa Magufuli kumbe hata sadaka hamtoi?

Msitegemee Wananchi wakawaelewa kwa hii dhambi ya kutotoa fungu la kumi

Nimekuona wa hovyo mno
Wotu tunafahamu kuwa serikali haina dini ila ni serikali hii hii inayosimamia uanzishwaji wa makanisa na misikiti na hata kuyasajili.

Binafsi naona wakati umefika serikali isiishie katika kuyasajali tu makanisa haya bali tuwe na sheria itakayoruhusu serikali kupitia chombo/maafisa maalumu kukagua matumizi na mapato katika nyumba za ibada.

Nasema hivi kwassababu siku hizi katika makanisa yetu(sisi wakristo) tumekuwa na michanga mingi kwa jina la sadaka,n.k mpaka inakuwa kero kwa waumini.

Hoja yangu ni kuwa,japo kunaweza kuwa na udhibiti ndani ya nyumba zetu hizi za ibda,lakini nadhani kuna umuhimu wa kuwa na udhibiti na ufuatiliaji wa matumizi ya fedha hizi utakaokuwa unafanywa na chombo kutoka serikalini kama extenal auditer.

Vile vile sheria hiyo itumike katika kusimamia aina ya michango inayoanzishwa kuanzia katika ngazi za jumuiya mpaka makanisani na ikiwezekana kuwe na ukomo wa kiwango cha kuchangisha waumini na kama itabidi kuvuka kikomo kilichowekwa, basi kanisa husika lipaswe kuomba kibali au kutoa taarif kwa chombo kitakachoanzishwa na ambacho kitakauwa mamlaka ya kudhibiti mapato na matumizi katika nyumba zetu za ibada.

Na ili kuondoa uwezekano wa kutokea mgongano au mgogoro baina ya serikali na taasisi za kidini,chombo hichi kiundwe kwa kushirikisha serikali na taasisi zote za dini.

Tusisahau kuwa baadhi ya viongozi katika siasa au vyama vya siasa,taasisi za serikali,taasisi binafsin.k ndio wakati mwingine huwa ni viongozi katika taasisi hizi za kidini hivyo kama wanakaguliwa katika taasisi zingine wanazoziongoza,basi hata katika taasisi hizi za kidini pia wakaguliwe jinsi wanavyodhibiti na kusimamia mapato na matumizi katika nyumba za Ibada.

Kama tunavyoona umuhimu kuwa na sheria ya kudhibiti mapato na matumizi katika vyama vya siasa,vyama vya ushirika,SACCOS,n.k,umuhimu huo pia unahitajika katika nyumba zetu za ibada kwani siku hizi mambo katika nyumba zetu za ibada yamebadilika sana tofauti na siku za nyuma.

Ni kweli serikali haina dini,lakini waumini katika taasisi hizi za kidini ndio hao hao ambao wanaunda SACCOS,vyama vya ushirika,n.k ambako serikali ina mkono wake katika uendeshaji wa taasisi hizi ili kulinda masilahi ya wananchi wake.
Niwaeleweshe mali yeyote ukitoa hosp ambazo zinasimamiwa na Dini mfano wamekodisha jengo kwa Tasisi fulani au maduka n.k hizo huwa zinalipiwa kodi serikalini lakini sadaka kama sadaka itolewayo madhabahuni kamwe haiwezi lipiwa kodi hiyo ni toka enzi ya Manabii
 
Wotu tunafahamu kuwa serikali haina dini ila ni serikali hii hii inayosimamia uanzishwaji wa makanisa na misikiti na hata kuyasajili.

Binafsi naona wakati umefika serikali isiishie katika kuyasajali tu makanisa haya bali tuwe na sheria itakayoruhusu serikali kupitia chombo/maafisa maalumu kukagua matumizi na mapato katika nyumba za ibada.

Nasema hivi kwassababu siku hizi katika makanisa yetu(sisi wakristo) tumekuwa na michanga mingi kwa jina la sadaka,n.k mpaka inakuwa kero kwa waumini.

Hoja yangu ni kuwa,japo kunaweza kuwa na udhibiti ndani ya nyumba zetu hizi za ibda,lakini nadhani kuna umuhimu wa kuwa na udhibiti na ufuatiliaji wa matumizi ya fedha hizi utakaokuwa unafanywa na chombo kutoka serikalini kama extenal auditer.

Vile vile sheria hiyo itumike katika kusimamia aina ya michango inayoanzishwa kuanzia katika ngazi za jumuiya mpaka makanisani na ikiwezekana kuwe na ukomo wa kiwango cha kuchangisha waumini na kama itabidi kuvuka kikomo kilichowekwa, basi kanisa husika lipaswe kuomba kibali au kutoa taarif kwa chombo kitakachoanzishwa na ambacho kitakauwa mamlaka ya kudhibiti mapato na matumizi katika nyumba zetu za ibada.

Na ili kuondoa uwezekano wa kutokea mgongano au mgogoro baina ya serikali na taasisi za kidini,chombo hichi kiundwe kwa kushirikisha serikali na taasisi zote za dini.

Tusisahau kuwa baadhi ya viongozi katika siasa au vyama vya siasa,taasisi za serikali,taasisi binafsin.k ndio wakati mwingine huwa ni viongozi katika taasisi hizi za kidini hivyo kama wanakaguliwa katika taasisi zingine wanazoziongoza,basi hata katika taasisi hizi za kidini pia wakaguliwe jinsi wanavyodhibiti na kusimamia mapato na matumizi katika nyumba za Ibada.

Kama tunavyoona umuhimu kuwa na sheria ya kudhibiti mapato na matumizi katika vyama vya siasa,vyama vya ushirika,SACCOS,n.k,umuhimu huo pia unahitajika katika nyumba zetu za ibada kwani siku hizi mambo katika nyumba zetu za ibada yamebadilika sana tofauti na siku za nyuma.

Ni kweli serikali haina dini,lakini waumini katika taasisi hizi za kidini ndio hao hao ambao wanaunda SACCOS,vyama vya ushirika,n.k ambako serikali ina mkono wake katika uendeshaji wa taasisi hizi ili kulinda masilahi ya wananchi wake.
Mkuu, huko achana nako kabisa.
Serikali haiwezi kujiingiza huko itakuwa balaa kubwa..
Njia pekee proved scientifically, ni kuboresha hali ya uchumi, afya na elimu kwa wananchi. Wataondoka wenyewe huko.
 
Wotu tunafahamu kuwa serikali haina dini ila ni serikali hii hii inayosimamia uanzishwaji wa makanisa na misikiti na hata kuyasajili.

Binafsi naona wakati umefika serikali isiishie katika kuyasajali tu makanisa haya bali tuwe na sheria itakayoruhusu serikali kupitia chombo/maafisa maalumu kukagua matumizi na mapato katika nyumba za ibada.

Nasema hivi kwassababu siku hizi katika makanisa yetu(sisi wakristo) tumekuwa na michanga mingi kwa jina la sadaka,n.k mpaka inakuwa kero kwa waumini.

Hoja yangu ni kuwa,japo kunaweza kuwa na udhibiti ndani ya nyumba zetu hizi za ibda,lakini nadhani kuna umuhimu wa kuwa na udhibiti na ufuatiliaji wa matumizi ya fedha hizi utakaokuwa unafanywa na chombo kutoka serikalini kama extenal auditer.

Vile vile sheria hiyo itumike katika kusimamia aina ya michango inayoanzishwa kuanzia katika ngazi za jumuiya mpaka makanisani na ikiwezekana kuwe na ukomo wa kiwango cha kuchangisha waumini na kama itabidi kuvuka kikomo kilichowekwa, basi kanisa husika lipaswe kuomba kibali au kutoa taarif kwa chombo kitakachoanzishwa na ambacho kitakauwa mamlaka ya kudhibiti mapato na matumizi katika nyumba zetu za ibada.

Na ili kuondoa uwezekano wa kutokea mgongano au mgogoro baina ya serikali na taasisi za kidini,chombo hichi kiundwe kwa kushirikisha serikali na taasisi zote za dini.

Tusisahau kuwa baadhi ya viongozi katika siasa au vyama vya siasa,taasisi za serikali,taasisi binafsin.k ndio wakati mwingine huwa ni viongozi katika taasisi hizi za kidini hivyo kama wanakaguliwa katika taasisi zingine wanazoziongoza,basi hata katika taasisi hizi za kidini pia wakaguliwe jinsi wanavyodhibiti na kusimamia mapato na matumizi katika nyumba za Ibada.

Kama tunavyoona umuhimu kuwa na sheria ya kudhibiti mapato na matumizi katika vyama vya siasa,vyama vya ushirika,SACCOS,n.k,umuhimu huo pia unahitajika katika nyumba zetu za ibada kwani siku hizi mambo katika nyumba zetu za ibada yamebadilika sana tofauti na siku za nyuma.

Ni kweli serikali haina dini,lakini waumini katika taasisi hizi za kidini ndio hao hao ambao wanaunda SACCOS,vyama vya ushirika,n.k ambako serikali ina mkono wake katika uendeshaji wa taasisi hizi ili kulinda masilahi ya wananchi wake.
Wewe utakuwa KKKT

Maendeleo hayana vyama!
 
Kuna yale makanisa yanayoanza unakuta hawana kipato cha kutosha kuweza hata kujenga kanisa, kuna kanisa moja hapa miaka zaidi ya mitano wanahimizana michango kwa ajili ya kujenga kanisa lao jipya kubwa na la kisasa. Kabla ya serikali kuanza kufanya auditing ya mapato, unaonaje ukiishauri ianze kutoa ruzuku itakayosaidia uendeshaji wa hayo makanisa ikiwemo kujenga majengo ya kuabudia.
 
Nadhan kuna watu wana akili mgando balaaa, kizuri kila mmoja anaruhusiwa hata wasiokuwa na akili, waje tu wateme upupu wao alaf wakakojoe walale, kama wewe unaweza kwenda ukojoe ukalale sasa
 
Serikali haini dini. Sijui mwenzetu unasali wapi? Sisi kanisani kwetu huwa tunasomewa taarifa ya mapato na matumizi.
 
Kutoa sadaka sio lazima ni hatari. Mumi ni Mkristi, sijawahi kulazimishwa kutoa sadaka, natoa kadiri Arogo anavyoniongoza

Ukiona unaposali sadaka zake hauziwezi, nenda kanisa lingine ambali halina sadaka nyingi au hawatoi sadaka.

Au unaweza ukakaa bila dini, haulazinishwi.

Ila usiwalazimishe watu wengine walioamua kwa hiyari yao na kwa imani yao wanaona inafaa kutoa hizo sadaka na michangi, eti watungiwe sheria ya kuweka kiwango. Hiyo serikali inamjua Mungu hadi iweke kiwango?
 
Back
Top Bottom