FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,417
Maybe unaukaribia ukweli au ndo kama vile motocar?
hahaha hii Lugha bwana mie naenda nayo hivyo hivyo kwanza sikuzaliwa nayo
one day Pearl nikapiga simu somewhere namuulizia mtu mmoja kumbe jinsi nilivyokuwa na - pronounce jina lake wakawa wanaulizana ndo nani huyo
kutaja spelling kumbe yuko hapo hapo eh
ndo jina gani hili Pearl " Vermeulen Van Der Westhuizen" mzyuuuuuuuuuuuuuu
unajua wao wanvyojua kuyameza maneno
same here...nimesubiri weeeeeeeee PM wapiiiiiiiiiiiiii
sijambo handsome, leo napata somo la kiinglish hapa...maana shule za kata siunajua
hahahaa!
wapi bana, mwl wa buguruni mbona alituambia inaitwa the wood for scraching coconut
hahaaaa the wood with the iron eeh
hahaaaa the wood with the iron eeh
Napenda sana kujifunza Lugha,sasa kingereza kwangu ni lugha ya 3 kujifunza,nikianza na lugha yangu ya kimpoto,kiswahili alafu kingereza,sasa kuna maneno yananitatiza sana kutoka kiswahili to kingereza,kwa mfano:
-kibao cha nazi
-kumvalisha kofia/mwnamke/mwanamme
-mtoto anatema udenda
-kujichokonoa meno
-kumpakata mtoto
Nahitaji msaada wa kujua maneno haya kwa kingereza tafadhali.
yani kizungu ndokinaponiachaga hoi siku mmoja nikaulizwa kwa kiswahili ww ni mtoto wangapi kuzaliwa nikajibu.
nikaambiwa niseme kwa kizungu mm ni wangapi kuzaliwa nilibaki hoi labda leo nitapata majibu hapa.
mfano ukitaka kumuliza mama yako mm ni wangapi kuzaliwa utamulizaje?
peaking on your nose -ni bad habit - lakini kwa kiswahili ni kuchokonoa pua
sasa kuchokonoa meno je? peaking on your teeth!!? mmh! mbona kama haiji,
- Hujakosea, Inasemwa hivi: "picking one's teeth" ndio maana vile vijiti vya kuchokonolea meno vinaitwa "tooth picks
- Kumpakata mtoto: "carrying a child on one's lap"
- Mtoto anatema udenda: "the child is drooling"
- Kumvalisha mtu kofia: "tu put a hat on someone's head"
Hichi hakina kikoloni chake mkuu! haa! haaa hahaaa!!,
its kind of taboo to ask your parent mm ni wa ngapi, (inafikirika kuwa utakuwa unajua)
to put a dress in some one's body - nayo itakuwa sawa???
- Hujakosea, Inasemwa hivi: "picking one's teeth" ndio maana vile vijiti vya kuchokonolea meno vinaitwa "tooth picks
- Kumpakata mtoto: "carrying a child on one's lap"
- Mtoto anatema udenda: "the child is drooling" -
- Kumvalisha mtu kofia: "tu put a hat on someone's head"
umenikumbusha text msg uliyonitumia.
sasa mimi na kizungu wapi na wapi?
i no water
dr phone is pooling a nini sijui?yani we acha tu yalinikuta na nilichekwa kweli ila walonicheka awakuweza kujb.
siku ingine nikaulizwa ukitaka kusema kwa kingereza drphone anavuta mpira ss kwakingerezaa unasemaje
hivi viinglish bana,drphone is breathing boll,ah ah ah
to put a dress in some one's body - nayo itakuwa sawa???
injiniaaaaaa!!!! ze bolt is dead.
nadhani bell ni ladies stomach ni men kama ilivyo skinny ladies skeleton men
mm wa St. government bana!
hivi ulishawaona hao wa St. sijui nn wakiwa kwenye hivi vyuo vyetu?
mi huwa nawaona wa St. government na semnary tu!,