GE2025 It's Do or Die. Tuchukue hatua kukomesha utawala huu wa kidhalimu tarehe 29 Oktoba au tupotee mazima na vizazi vyetu

GE2025 It's Do or Die. Tuchukue hatua kukomesha utawala huu wa kidhalimu tarehe 29 Oktoba au tupotee mazima na vizazi vyetu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Uwe askari polisi , uwe daktari, uwe mwalimu, uwe mwanajeshi, uwe hakimu au jaji, uwe mkulima, uwe mfanyakazi, uwe bodaboda uwe Mama ntilie, uwe machinga au uwe jobless usipochukua hatua hiya Oktoba 29 ndo umeweka muhuri kwenye kunyanyaswa kwako na kuibiwa rasilimali zako huku wewe, familia yako, ndugu zako wakiishi maisha magumu wasiyostahili.

Wakati kikundi kidogo cha Wanasiasa na Viongozi kikiiba kodi na kutapanya kodi za Wananchi kwa kiwango cha kutisha na kwa dharau ya juu kabisa kwa Wananchi, maisha yetu sisi wananchi wa kawaida yanazidi kuwa magumu kila kukicha.

Hakuna Maji ya Uhakika, hakuna huduma za uhakika hospitali hasa madawa na vifaa tiba ya kutosha, Barabara zetu ni mbovu sana si mijini si vijijini, Watoto wetu wanasoma kwenye shule zisizo na miundombinu bora na ya uhakika huku wanaosoma kwenye jiji kubwa kama Dar wakipata shida kubwa ya adha ya usafiri.

Gharama za maisha zinazidi kupanda kila kukicha, bei za bidhaa zinazidi kupandishwa kila kukicha na kuzidi kufanya maisha yetu wananchi kuwa magumu kila siku, ajira hamna kwa vijana wetu huku matukio ya kuuwawa, kutekwa na kupotezwa ndugu zetu yakizidi kushamiri kila Leo

Enough is enough. Nitashiriki maandamano ya 29 Oktoba 2025. Vyovyote vile hata nikifa lazima nchi ipate ukombozi dhidi ya hawa madhalimu CCM.
 
Uwe askari polisi , uwe daktari, uwe mwalimu, uwe mwanajeshi, uwe hakimu au jaji, uwe mkulima, uwe mfanyakazi, uwe bodaboda uwe Mama ntilie, uwe machinga au uwe jobless usipochukua hatua hiya Oktoba 29 ndo umeweka muhuri kwenye kunyanyaswa kwako na kuibiwa rasilimali zako huku wewe, familia yako, ndugu zako wakiishi maisha magumu wasiyostahili.

Wakati kikundi kidogo cha Wanasiasa na Viongozi kikiiba kodi na kutapanya kodi za Wananchi kwa kiwango cha kutisha na kwa character ya juu habisa kwa Wananchi, maisha yetu sisi wananchi wa kawaida yanazidi kuwa magumu kila kukicha.

Hakuna Maji ya Uhakika, hakuna huduma za uhakika hospitali hasa madawa na vifaa tiba ya kutosha, Barabara zetu ni mbovu sana si mijini si vijijini, Watoto wetu wanasoma kwenye shule zisizo na miundombinu bora na ya uhakika huku wanaosoma kwenye jiji kubwa kama Dar wakipata shida kubwa ya adha ya usafiri.

Gharama za maisha zinazidi kupanda kila kukicha, bei za bid has zinazidi kupandishwa kila kukicha na kuzidi kufanya maisha yetu wananchi kuwa magumu kila siku, ajira hamna kwa vijana wetu huku matukio ya kuuwawa, kutekwa na kupotezwa ndugu zetu yakizidi kushamiri kila Leo

Enough is enough. Nitashiriki maandamano ya three 29 Oktoba 2025. Vyovyote vile hata nikifa lazima nchi ipate ukombozi dhidi ya haha madhalimu CCM.
Wewe upo teyari kufa na kuacha familia yako kwanza tuanzie hapo.
Alfu watu wenye unaowapigania ni hawa kina diamond.
 
Kisa?
Kisa chadema haigombei popote?
Kisa chadema inaenda kufa kwa kukosa uwakilishi?
Kisa yule kibaka wa ubelgij yupo sehemu salama..

HAKUNA SERIKALI YOYOTE DUNIAN ILIZOMALIZA MATATZO KWA WAKATI MMOJA..
HATA HAO WALIOANDAMANA, BADO WANALIA SHIDA..HVO MTUTOLEE UJINGA HAPA KISA MIKAKATI YENU YA KISERA IMEKWAMA.

Huko mliko mna "wanasiasa uchwara"
mnakosa political strategist/analyst.
ndo mnajikuta mtu mmoja anajifanya kujua kila kitu, madhara yake ndo haya mnategemea app ya mange kimambi..
baada ya manoo noo kukwama, kifuatacho ni slogan gan?
NUGU KWELI KWELI.
 
Kisa?
Kisa chadema haigombei popote?
Kisa chadema inaenda kufa kwa kukosa uwakilishi?
Kisa yule kibaka wa ubelgij yupo sehemu salama..

HAKUNA SERIKALI YOYOTE DUNIAN ILIZOMALIZA MATATZO KWA WAKATI MMOJA..
HATA HAO WALIOANDAMANA, BADO WANALIA SHIDA..HVO MTUTOLEE UJINGA HAPA KISA MIKAKATI YENU YA KISERA IMEKWAMA.

Huko mliko mna "wanasiasa uchwara"
mnakosa political strategist/analyst.
ndo mnajikuta mtu mmoja anajifanya kujua kila kitu, madhara yake ndo haya mnategemea app ya mange kimambi..
baada ya manoo noo kukwama, kifuatacho ni slogan gan?
NUGU KWELI KWELI.
Msalimie baba yako wa kambo bwana Chivayo!! Mtu wa maana sana.
 
Polisi watamwagwa kila kona
Acha wamwagwe. Kwani wao hawaathiriki na huu utawala mbovu unaoendekeza ufisadi? Kwani wote wana magari ya kifahari na mihela ya kupiga picha kama watoto wa Wanasiasa na Viongozi wachache?

Kwani wao wana pensheni za tofauti kuwawezesha kuishi maisha ya kifahari kama haya Wanayoishi Wanasiasa wachache na familia zao? Wana uhakika wa matibabu kwa ndugu zao na watoto wao? Nyumba zao zote zina Maji ya uhakika tofauti na hizi tunazoishi sie? Watoto wao wanasoma shule za Tofauti na hizi za watoto wetu zisizo na miundombinu bora ya Elimu?
 
Msalimie baba yako wa kambo bwana Chivayo!! Mtu wa maana sana.
Hautakuwa wa kwanza kusema kama ulivyoona..
NYUMBA YA PILI IUNGUE KISA MIKAKATI MIBOVU HALAFU MM NAYE NIUNGANE NAYE.. HUO NAO NI UPUUZI
 
Watanzania bado ni waoga kama panya. Hakuna Jipya hapo Tulichagua Amani Tukaiacha Kesho Yetu
 
Hamna kitu hiyo tarehe 29 watu watakaa ndani hamna ataeandamana mtanzania ni muoga haijapata tokea
 
Back
Top Bottom