It's a special day for u my MR @kiwatengu

shansarie

JF-Expert Member
May 25, 2013
5,690
3,357
Every day with you is special but today is extra special, your the only man whom I have truly loved,truly admired and respect.

Sina mengi sana ya kuelezea unajua nnavyokupenda na nakutakia Heri ya siku ya kuzaliwa Mungu akupe miaka mingi zaidi ukiwa na Mimi of course.


Wapendwa karibuni kumtakia mkuu wa kaya happy birthday
 
Every day with you is special but today is extra special, your the only man whom I have truly loved,truly admired and respect.

Sina mengi sana ya kuelezea unajua nnavyokupenda na nakutakia Heri ya siku ya kuzaliwa Mungu akupe miaka mingi zaidi ukiwa na Mimi of course.


Wapendwa karibuni kumtakia mkuu wa kaya happy birthday
Happy birthday shemela wangu wa faida na hasara.
Mungu akulinde na husda za walimwengu, vijicho vyao, vinyongo vyao na minuksi yao.
Nakutakia maisha marefu na yenye kumpendeza Mungu daima na milele.
HAPPY BIRTHDAY kiwatengu.

Ila hii couple ya zamani jamani....wengine hata hatujui ma-partner wetu wa miaka hiyo walipo.
All in All....HAPPY BIRTHDAY TO YOUUU!!!!!
 
Every day with you is special but today is extra special, your the only man whom I have truly loved,truly admired and respect.

Sina mengi sana ya kuelezea unajua nnavyokupenda na nakutakia Heri ya siku ya kuzaliwa Mungu akupe miaka mingi zaidi ukiwa na Mimi of course.


Wapendwa karibuni kumtakia mkuu wa kaya happy birthday
Asante mpenzi...
 
Back
Top Bottom