Dejavu
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 1,568
- 3,424
Women, War, Whisky... The fundamental 3W elements of a real soldier. Najua bado hawajanielewa wale maraia.Kuna kitu kinaitwa 3W.
Ungekuwa angalau umecheza mgambo ungeelewa namaanisha nini.
Women, War, Whisky... The fundamental 3W elements of a real soldier. Najua bado hawajanielewa wale maraia.Kuna kitu kinaitwa 3W.
Ungekuwa angalau umecheza mgambo ungeelewa namaanisha nini.
Women, War, Whisky... The fundamental 3W elements of a real soldier. Najua bado hawajanielewa wale maraia.
Heshima ya Jeshi ipo wapi?
Uadilifu wa wanajeshi wetu upo wapi.
Kama wanafanya hivi hadharani je huko kwenye makambi yao inakuwaje.
Uafisa wao umelowa pombe.
Sasa Imefika Maafisa wetu waende kwenye sherehe wakiwa na nguo za kiraia. Hii hapo ni kudhalilisha jeshi na Jemedari wetu mkuu kwa vyeo alivyowavika kuvifanyia mchezo.
Acheni ujinga. Siku mojamoja mnajipa mialiko kwenye harusi za wanajeshi. Hapo anaondolewa kwenda kuvaa nguo za kiraia kuendelea na sherehe. Ni kawaida mbona kwa harusi za wakristo za kijeshi.Heshima ya Jeshi ipo wapi?
Uadilifu wa wanajeshi wetu upo wapi.
Kama wanafanya hivi hadharani je huko kwenye makambi yao inakuwaje.
Uafisa wao umelowa pombe.
Sasa Imefika Maafisa wetu waende kwenye sherehe wakiwa na nguo za kiraia. Hii hapo ni kudhalilisha jeshi na Jemedari wetu mkuu kwa vyeo alivyowavika kuvifanyia mchezo.
Ni bongo mkuu. Hudhuria harusi wajeshi hii hufanyikaila nadhani hii sio Bongo!
Yohana akiwaspot hawa.. Gwanda watavuaNi bongo mkuu. Hudhuria harusi wajeshi hii hufanyika
Mkuu umesahau kumalizia overHeshima ya Jeshi ipo wapi?
Uadilifu wa wanajeshi wetu upo wapi.
Kama wanafanya hivi hadharani je huko kwenye makambi yao inakuwaje.
Uafisa wao umelowa pombe.
Sasa Imefika Maafisa wetu waende kwenye sherehe wakiwa na nguo za kiraia. Hii hapo ni kudhalilisha jeshi na Jemedari wetu mkuu kwa vyeo alivyowavika kuvifanyia mchezo.
Hapana mkuu. Ni jambo la kawaida katika shamrashamra za harusi za wanajeshi.Yohana akiwaspot hawa.. Gwanda watavua
Ahahahaa aiseeHapana mkuu. Ni jambo la kawaida katika shamrashamra za harusi za wanajeshi.
Ukiwakuta wanafunga ndoa na wakiwa kwenye hayo mavazi hawacheki wala kutabasamu. Kuanzia kanisani huwezi ona sura ya furaha na bati tu. Sasa hapo ukumbini wanaendelea na bati mpaka sehemu kama hiyo sasa wanamwondoa mwenzao kwenda kuvua nguo na wao kuvua nguo au sare za jeshi na kuvaa nguo za kiraia. Hiyo ni kipindi cha mpito kutoka ukumbini kuelekea kwenye kubadili nguo. Huyo bwana harusi anasindikizwa na askari wenye cheo kama chake na ndiye anayemwagiwa pombe.
Huwa wana mbwembwe nyingi mno hadi raha na pengine kero kwa bibi harusi.
Segunda trabajo.. Quando saudade.kweli kazi&bata( Trabajan duro, jugar duro)
Mambo ya jeshi waachie jeshi wenyewe sio wajinga hao karibu saana!Heshima ya Jeshi ipo wapi?
Uadilifu wa wanajeshi wetu upo wapi.
Kama wanafanya hivi hadharani je huko kwenye makambi yao inakuwaje.
Uafisa wao umelowa pombe.
Sasa Imefika Maafisa wetu waende kwenye sherehe wakiwa na nguo za kiraia. Hii hapo ni kudhalilisha jeshi na Jemedari wetu mkuu kwa vyeo alivyowavika kuvifanyia mchezo.
😨😨😨 Mkuu npo in selflearning via dualingo app cpo fluent kvile...vp io Spanish ya wap mkuj (México/Spain)Segunda trabajo.. Quando saudade.