Itifaki imekaaje hapa

Itifaki imekaaje hapa

Tatizo la wabongo ni washamba na wanaanza ku comment kwenye picha ambayo, kwaza hawakuwepo wakati inapigwa, hawajui lilikuwa ni tukio la aina gani, taratibu za taasisi husika hawazijui. Kwa taarifa yenu hiyo ilikuwa ni ndoa ya kijeshi na ndio shamra shamra za ndoa hizo huambatana na kumwagiwa pombe. Hiyo ni officialy katika majeshi mengi duniani. Kwa nini pombe? pombe ni kiungo kikubwa sana cha mwanajeshi ndio maana hata kwenye mabwalo yao pombe ipo kwa bei poa. Na hata tafsiri ya vita (WAR) wameitafsiri W= WOMEN, A=ALCOHOL, R= RIFLE.

Na hili Neno pia. Na ndio maana wengi wao ni walevi chakali chakali.
 
Kuna kitu kinaitwa 3W.
Ungekuwa angalau umecheza mgambo ungeelewa namaanisha nini.
Women
Wine
War. Kama co kamanda huwez elewa. Hao watu waachen tu maana kazi yao co mchezo. Xo wakila bata nyie tufanyen kama hatuon maana hata wanavyovifanya vingine hatuvioni huko maporin.wakat huo cc tuko Kwenye makochi yetu tunaperuzi jf
 
Ahahahahaa.
Kazi zote za kijeshi ni ngumu hasa ukiwa na roho ya kiutawala(isiyopenda amri).
Yaani kila aliye juu yako anatoa maagizo yake, Mpaka CDF anapokea amri kutoka kwa Rais.
Women
Wine
War. Kama co kamanda huwez elewa. Hao watu waachen tu maana kazi yao co mchezo. Xo wakila bata nyie tufanyen kama hatuon maana hata wanavyovifanya vingine hatuvioni huko maporin.wakat huo cc tuko Kwenye makochi yetu tunaperuzi jf
 
Back
Top Bottom