Itifaki imekaaje hapa

Itifaki imekaaje hapa

Kila mtu ameandika atakavyo...mara WAR..mara W3...mara ni utaratibu wa kawaida kwenye sherehe au ndoa za wanajeshi...
Ila hakuna aliweza ata kuleta hiyo kanuni au taratibu au kipengere kinachosema hivyo..
Walifanya kosa ambalo limezoeleka na kuwa kitu cha kawaida...
Ilo lipo wazi...ngoja nilete taratibu
 
Ndugu zangu huu ni utaratibu wao pale mwenzao anapoacha ukapela... Harusi zao huwa zinakuwa hivi, kwa hio hakuna tatizo hapo maana huwa inafanyika kwa kufuata taratibu siyo kwamba wanakurupuka tu... kwa wale ambao wamewahi kuhudhuria harusi za maaskari hili sio geni!!!
Waambie waache umbea
 
Acheni ujinga. Siku mojamoja mnajipa mialiko kwenye harusi za wanajeshi. Hapo anaondolewa kwenda kuvaa nguo za kiraia kuendelea na sherehe. Ni kawaida mbona kwa harusi za wakristo za kijeshi.

Kwa safari larger siyo?

Pombe na mambo ya itifaki ya kiserikari ipo vipi?

Ndugu shida hapo ni pombe kutumika kumwagia hayo mavazi na hivyo vyeo walivyotunukiwa na Amiri Jeshi Mkuu Rais.

Kama watavalishwa hivyo vyeo kwa heshima na magwaride makubwa ya heshima. Na baadaye kuchezea namna hiyo haikubaliki kabisa.

Huwenda wengi wetu sisi tukawa washamba lakini werevu(wisdom) Inayotumika kumwagiana mapombe HAPANA.

Watafute utaratibu mwingine mzuri na wa heshima zaidi ya huo.
 
Kwa safari larger siyo?

Pombe na mambo ya itifaki ya kiserikari ipo vipi?

Ndugu shida hapo ni pombe kutumika kumwagia hayo mavazi na hivyo vyeo walivyotunukiwa na Amiri Jeshi Mkuu Rais.

Kama watavalishwa hivyo vyeo kwa heshima na magwaride makubwa ya heshima. Na baadaye kuchezea namna hiyo haikubaliki kabisa.

Huwenda wengi wetu sisi tukawa washamba lakini werevu(wisdom) Inayotumika kumwagiana mapombe HAPANA.

Watafute utaratibu mwingine mzuri na wa heshima zaidi ya huo.
Ushaambiwa vyeo hapo ni Kofia na Bunduki hasaa... Hizo nguo kawaida tu mzee baba mbona unapanic?? Alafu huoni anamwagiwa kavua kofia au??? Na kumwagiwa hivyo kuna maana kijeshi sio wamekurupuka tu... Sio kila wawaze vita tu sometimes wanarelax kama hivyoo...
 
Tatizo la wabongo ni washamba na wanaanza ku comment kwenye picha ambayo, kwaza hawakuwepo wakati inapigwa, hawajui lilikuwa ni tukio la aina gani, taratibu za taasisi husika hawazijui. Kwa taarifa yenu hiyo ilikuwa ni ndoa ya kijeshi na ndio shamra shamra za ndoa hizo huambatana na kumwagiwa pombe. Hiyo ni officialy katika majeshi mengi duniani. Kwa nini pombe? pombe ni kiungo kikubwa sana cha mwanajeshi ndio maana hata kwenye mabwalo yao pombe ipo kwa bei poa. Na hata tafsiri ya vita (WAR) wameitafsiri W= WOMEN, A=ALCOHOL, R= RIFLE.
Pia wanafanya kazi kati "W" tatu:
1. War
2. Whisk
3. Women
 
Ushaambiwa vyeo hapo ni Kofia na Bunduki hasaa... Hizo nguo kawaida tu mzee baba mbona unapanic?? Alafu huoni anamwagiwa kavua kofia au??? Na kumwagiwa hivyo kuna maana kijeshi sio wamekurupuka tu... Sio kila wawaze vita tu sometimes wanarelax kama hivyoo...


Ni sawa kabisa. Mimi kwa kweli sikuwahi kuona wala kusikia kuhusu hiyo sigimenti (Kipengele) wakati wa kuacha ukapela.

Pombe nzuri wengi tunakunywa na tunafurahi na kuchangamka.

ILA pombe ni Ishara ya kukosa maadili.

Ndiyo maana tunaambiwa tunywe baada ya kazi.

Tunye tusizidishe kiasi.

Wanye wenye umri miaka 18+

Na Pombe huaribu akili ya mtu.


Sasa inatumikaje kwa watu muhimu namna hii katika nchi yetu?

Ndiyo maana nimeshauri kama utaratibu ni kutumia pombe tunawaomba wabadirishe kidogo ili iweze kuleta heshima zaidi.

Kwa mtazamo wangu (Kiroho) kwa kutumia picha hizo ni Ishara kwamba Jeshi letu zima ni walevi. (samahaninin jamani)
 
Kwa safari larger siyo?

Pombe na mambo ya itifaki ya kiserikari ipo vipi?

Ndugu shida hapo ni pombe kutumika kumwagia hayo mavazi na hivyo vyeo walivyotunukiwa na Amiri Jeshi Mkuu Rais.

Kama watavalishwa hivyo vyeo kwa heshima na magwaride makubwa ya heshima. Na baadaye kuchezea namna hiyo haikubaliki kabisa.

Huwenda wengi wetu sisi tukawa washamba lakini werevu(wisdom) Inayotumika kumwagiana mapombe HAPANA.

Watafute utaratibu mwingine mzuri na wa heshima zaidi ya huo.
Hapo ulipotaja washamba (ignorant) umemaliza kila kitu. Itabidi uendelee na uerevu wako huku ukiwaacha wala nguruwe wakila nyama yao.
 
Hapo ulipotaja washamba (ignorant) umemaliza kila kitu. Itabidi uendelee na uerevu wako huku ukiwaacha wala nguruwe wakila nyama yao.

Wale nguruwe lakini wasitutie unajisi.
 
Ushaambiwa vyeo hapo ni Kofia na Bunduki hasaa... Hizo nguo kawaida tu mzee baba mbona unapanic?? Alafu huoni anamwagiwa kavua kofia au??? Na kumwagiwa hivyo kuna maana kijeshi sio wamekurupuka tu... Sio kila wawaze vita tu sometimes wanarelax kama hivyoo...
U know nothing
 
Tatizo la wabongo ni washamba na wanaanza ku comment kwenye picha ambayo, kwaza hawakuwepo wakati inapigwa, hawajui lilikuwa ni tukio la aina gani, taratibu za taasisi husika hawazijui. Kwa taarifa yenu hiyo ilikuwa ni ndoa ya kijeshi na ndio shamra shamra za ndoa hizo huambatana na kumwagiwa pombe. Hiyo ni officialy katika majeshi mengi duniani. Kwa nini pombe? pombe ni kiungo kikubwa sana cha mwanajeshi ndio maana hata kwenye mabwalo yao pombe ipo kwa bei poa. Na hata tafsiri ya vita (WAR) wameitafsiri W= WOMEN, A=ALCOHOL, R= RIFLE.
Pombe ni kiungo kikubwa sana kwa watu wote duniani,

Ibarikiwe sana ze lager
 
Jamaa kaharibu nchi hadi wazee wa gwanda wanamwagiana bia sasa
 
Wen gine sahv tunakunywa biere hatuimwagi.....
Kidumu pombe errrr

Ova
 
Back
Top Bottom