Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,046
Kila mtu ameandika atakavyo...mara WAR..mara W3...mara ni utaratibu wa kawaida kwenye sherehe au ndoa za wanajeshi...
Ila hakuna aliweza ata kuleta hiyo kanuni au taratibu au kipengere kinachosema hivyo..
Walifanya kosa ambalo limezoeleka na kuwa kitu cha kawaida...
Ilo lipo wazi...ngoja nilete taratibu
Ila hakuna aliweza ata kuleta hiyo kanuni au taratibu au kipengere kinachosema hivyo..
Walifanya kosa ambalo limezoeleka na kuwa kitu cha kawaida...
Ilo lipo wazi...ngoja nilete taratibu
