Itel Mobiles -Android

Itel Mobiles -Android

mi nmevutiwa na itel vision wazee zote mbili 1505 na 1550. Nafikiria niinunue nikirudi mjini bongo, ingawa nimezishika ni nyepesi kama karatasi ila nmepata kuiperuzi vizuri 1505 moja ya jamaa yangu. Inatunza sana charge, ni nyepesi ku load apps na GUI yake imenivutia mno, ni lollipop ilioko customized karibia ifanane kabisa na mashmallow. Kinachonitatiza ni sijapata kujua mapungufu ya hizi simu Chief-Mkwawa hebu nimegee kipande hicho kama unacho mkuu.
 
Natumia itel note 1503c, changamoto kidogo ni Betri japo hutegemea matumizi, ila surfing speed haija wahi niangusha, modem nimeshasahau kutumia, kioo kikubwa. Nyembamba na umbo zuri, Ahsante my itel
 
mi nmevutiwa na itel vision wazee zote mbili 1505 na 1550. Nafikiria niinunue nikirudi mjini bongo, ingawa nimezishika ni nyepesi kama karatasi ila nmepata kuiperuzi vizuri 1505 moja ya jamaa yangu. Inatunza sana charge, ni nyepesi ku load apps na GUI yake imenivutia mno, ni lollipop ilioko customized karibia ifanane kabisa na mashmallow. Kinachonitatiza ni sijapata kujua mapungufu ya hizi simu Chief-Mkwawa hebu nimegee kipande hicho kama unacho mkuu.
mkuu bei zake? na marshmallow ni nzuri sio sababu ya muonekano bali features za ndani ya simu. unaweza fanya simu yoyote ya android iwe na muonekano wa marshmallow ila huwezi ipa feature zake.

na simu yoyote ya android ambayo ni mpya hutunza chaji na kuwa faster sababu ndio nature ya android, tumia baada ya muda fulani ndio utajua kama inakaa na chaji na ipo fast pale utakapoeka apps nyingi na zikawa zinarun chini kwa chini
 
mkuu bei zake? na marshmallow ni nzuri sio sababu ya muonekano bali features za ndani ya simu. unaweza fanya simu yoyote ya android iwe na muonekano wa marshmallow ila huwezi ipa feature zake.

na simu yoyote ya android ambayo ni mpya hutunza chaji na kuwa faster sababu ndio nature ya android, tumia baada ya muda fulani ndio utajua kama inakaa na chaji na ipo fast pale utakapoeka apps nyingi na zikawa zinarun chini kwa chini
ni around 180k
 
mkuu bei zake? na marshmallow ni nzuri sio sababu ya muonekano bali features za ndani ya simu. unaweza fanya simu yoyote ya android iwe na muonekano wa marshmallow ila huwezi ipa feature zake.

na simu yoyote ya android ambayo ni mpya hutunza chaji na kuwa faster sababu ndio nature ya android, tumia baada ya muda fulani ndio utajua kama inakaa na chaji na ipo fast pale utakapoeka apps nyingi na zikawa zinarun chini kwa chini
Yani mkuu itel it's better atafute tecno.
 
Back
Top Bottom