Mimi hapa natumia Itel model it1351
ni ngumu sana nilishaidondosha mara nyingi lakini ipo bado fresh. betri yake inadumu mda mrefu hata ukisafu mchana kutwa upande wabetri techno na huwaei wanasubiri njia panda.
Madhaifu: mpaka leo nimeshindwa kuinstall google play inaniambia connection time out kwa sababu hiyo sipati youtube.kingine ni speed ya mtandao ipochini kulinganisha na techno au huwaei.
Ushauri wangu usinunue simu hii madhaifu yake ni makubwa nunua simu yenye speed kubwa ili ufanye mambo mengi kwa mda mfupi.
Nashukuru sana Mdau kwa ushauri, hapa sasa nina uhakika na nilichokuwa nakihitaji. I will go for TECNO P3 or L3
nakushauri usinunue P3 ni majanga kwa sasa nataka kutupa kabisa tena bora N3 japo haina fronnt camera lkn P3 majanga matupu kuanzia Battery life mpaka memory na processing...Mm mtumiaji mzuri wa TECNO hope utafuata ushauri wangu
Kama unataka TECNO chukua L3 au M5 au M7 zote nimezitumia hizi from my friends ziko fair au naona wana S3 nayo angalia features zake asa asa ROM vinginevyo utaingia mkenge
Au kwa ushauri wa bure TECNO ni TECNO tu borea chukua Samsung S4 mini Clone bei ya kuanza 200,000/ lkn 180 utapata hii simu iko poa japo ina uongo mwingi e.g Memory inaonesha 16GB lkn ukiweka kwenye PC ni 2GB lkn bado imemfunika TECNO na hao iTel au naona pia kuna G-TIDE
asante kaka, hata hivyo TECNO P3 nimemuona rafiki yangu anaitumia sio muda mrefu ni kama miezi mi3 hivi, hivyo nisingeweza kujua mapungufu yake. sasa Unanishauri vipi kuhusu android nzuri ya Double line na bei ya wastani?
kama uko after double line basi Tecno L3 na M5 ni suluhu
zina run Android ya jellbean,Internal memory 2GB usable
M7 RAM 1GB
L3 RAM 512MB
Hivo M7 kashmfunika tayari L3 na kitu kinachobboa ktk TECNO P3/N3 ni 213MB RAM yaani inakera kila siku inakuja message ya LOW memory
Duh! M7 ni kama bei gani hivi roughly?
Na N7 bei gani?
Halo njunwa wamavoko je umewahi kuichunguza Huwaei 300y transcend ? Nitoleo jingine la huwaei baada ya kufeli sana betri kwenye huwaei sonic u8560 sasa hivsijui wana nini jipya na hiyo 300y .