Daddy ujue sio kwamba unakutana na mtu tu barabarani afu unaanza kumshobokea na hizo treatment. Ni vile mnakutana na mtu, mnaclick then mnakuwa friends or couple etc.
Na mwanzoni kila mtu anakuwaga poa, mnatreatiana vizuri, all of a sudden mmoja anaanza kuchukulia poa. Unamuacha tu na pozi lake, Piga zako U - turn maisha yaendelee.
Me naonaga kazi sana kuishi kwa machale na mtu as long as sina kitu chochote cha Kunifanya nimdoubt. If I doubt you, I will just detach myself period.
Afu hii kuishi kwa kuviziana kunaweza sababisha msienjoyiane vizuri coz kila mtu kuna Vitu Vizuri anavificha. Are you thieves or what? Daddy mwanao ndo Nipo hivyo hivyo, I'm a free spirit na sijawahi "kumpoteza mtu" wala kuwish kumrudisha mtu fulani kwa sababu nilimchukulia poa. Huwa navalue every single second nayospend na mtu na nimekuwa mtu mwenye furaha always. Na hamna mtu anayeweza kunidiscourage eti nisitreat watu wengine vizuri, coz there is one ungrateful person who took me for granted akhuu. Na kwa hilo Mungu huwa ananipa watu loyal daah hadi namshangaa. Mtu akizingua unamuignore tu, then upendo unauhamishia kwa watu wanaokuvalue