Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,717
- 96,800
Hahahaha Gen Z hao, Sasa sie wazee tumebaki na Ile picha ya JF ya zamani, hii ya Sasa ya kuchambana tumeishindwaWatoto hawana adabu jamani!! Ni kutukanana na kuchambana tu🙆♂️🙆♂️
Hahahaha Gen Z hao, Sasa sie wazee tumebaki na Ile picha ya JF ya zamani, hii ya Sasa ya kuchambana tumeishindwaWatoto hawana adabu jamani!! Ni kutukanana na kuchambana tu🙆♂️🙆♂️
Usitukimbie kwanza, bakibaki kidogo🤣Hahahaha Gen Z hao, Sasa sie wazee tumebaki na Ile picha ya JF ya zamani, hii ya Sasa ya kuchambana tumeishindwa
Hahahaha 🤣 labda unibakishe bakisheUsitukimbie kwanza, bakibaki kidogo🤣
Eewaaah! Usikwende please.Hahahaha 🤣 labda unibakishe bakishe
Nimebadili jina shee🤣Kwani shee na hii ni yako?
Nilibadili then nikataka kurudi hapa, nikakuta siwezi kubadili tena. Basi nikabakia kule. Leo nimejaribu ikakubali, japo jina lilishachukuliwa.Naona unataka kuwa au umekuwa shushushu.. Ila hii ID ya kitambo nadhani na ilipotea muda Sana
Kuchangamsha nini tena sweetheart ?
Inayotakiwa kuchangamshwa..Kuchangamsha nini tena sweetheart ?
Namtumikia Mungu... Nimeokoka...Inayotakiwa kuchangamshwa..
Waniite mbwakoko nimekaa paleeeee 👉 👉Namtumikia Mungu... Nimeokoka...
Achana na mimi shee🤣🤣Hii nzuri ile nyingine mbaaya😃🙌🏿🏃🏿