Itakuwaje Kama Nyota Itaiangukia Dunia?

Itakuwaje Kama Nyota Itaiangukia Dunia?

The closest stars ukiondoa jua ambalo lipo umbali wa takriban kilometa milioni 150... ziko umbali wa kilometa trilioni 40... mwaka wa nyota hizi unatumia 4.2 years kufika duniani (4 light years).(kasi ya mwanga ni kilometer 300000 kwa sekunde moja... ambapo ni sawa na trakribani mizunguko 8 ya ikweta yetu). Tambua kwamba nyota zinazalisha mwanga kwa maana hiyo kabla haijafika kwenye uso wa dunia that means tutakufa kwa joto kali hata kabla haijahit our earth surface.... kingine nafikir itaaffect our solar system...
 
Unajua watu wanadhani nyota ni dude flani hivi kama jiwe kubwa..! In fact nyota ni kama vumbi fulani hivi lenye joto na mwanga wala sio kitu cha kusema kije kuanguka duniani

Na kwa wanaonielewa zaidi nyota ni hewa tu, mainly hydrogen and helium
 
Hahahaa hilo nimelizingatia kaka ndo maana nikaweka ile theory ya kimondo, kwamba kinapokosa uelekeo huanguka na kwenye kuangua huteketea kikiwa njiani, na mara nyingi huwa hata havitufikii sababu huungulia huko huko angani, swali kubwa juu ya nyota ni itakuwaje ikiwa nayo ina tabia ya kupukutika ikiwa inaanguka,!?

Maana hata kama nyundo ni kubwa ila inapukutika kwenye motion ya kumuangukia mende, inaweza isimfikie mende!, yote ikayeyukia njiani! Na mende akasalimika...
kimondo kinaunga kama kikigusa atmosphere ya dunia ndo huanza kuungua kutokana na msuguano....kwanza nyota hazitembei wala kuzunguka...

Mfano sasa nyota ndo inakuja kwetu kwa kasi ya kimondo haitoweza kuungua sababu kitu kitaungua kikitaka kuingia duniani sasakwa ukubwa wa nyota haitoungua bali yenyewe itatuunguza sisi...n kama ikitupiga basi cha mwisho kuona ni mwanga mkali utakaotubanika kabla haijatugonga then mlipuko mkubwa utakuja baadae na kishindo kikubwa ambacho hujawai fikiria na mlipuko wa haja then itatokea blackhole...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom