Itakuwaje Kama Nyota Itaiangukia Dunia?

Itakuwaje Kama Nyota Itaiangukia Dunia?

Nyota ni jua. Uliza itakuwaje jua likiiangukia dunia. Katika ile incident yaFatima,Portugal,2917,watu waliona muujiza;jua lilianza kuisogelea dunia kwa kasi kubwa.Watu wote wakapiga magoti wakaanza kusali na kupiga mayowe. Lakini usually kama planet inaisogelea planet nyingine hazigongani. Ile planet ndogo inalipuka,inakuwa shattered into a million pieces. Ipo fistance maalum,umbali unapokuwa sawa na radius ya approaching big planet.
Hiyo incident yaFatima ilikuwaje bro,
 
Hiyo incident yaFatima ilikuwaje bro,
Wale watoto watatu wa familia moja,walikuwa wanachunga kondoo,wakatokewa na Bikira Maria. Baadaye,baada ya kuwaeleza wanakijiji,wakakutanika umati mkubwa,ndipo ukatokea huo muujiza. Jua linataka kuanguka duniani;wakasali,jua likarudi kwenye nafasi yake. Jua llilikuwa linatoa rainbow colours,ambayo ni description ya motherships kutoka Pleiades.
 
Haiwezekani, ila kama ikiwezeka hiyo nyota kabla haijafika, dunia itaifata kwa kasi kubwa sana mithili ya mbwa anayejipeleka kwa chatu na kuteketea kabisa. Na huo ndio utakuwa mwisho wake.
Yaani kwa ufupi kwa ukubwa wa nyota ikithubutu kupita karibu na sisi, tutaifata wenyewe kwa speed ya 4G.
 
Kwanza,ukijua kwanini jiwe linaanguka chini baada ya kurushwa juu
Au kwanini apple lilianguka kutoka juu ya mti mpaka kwenye kichwa cha Newton

Huwezi kuuliza kitatokea nini kama nyota ikiiangukia dunia?

Kwasababu ni swali la kipumbavu

The degree of curvature of space-time by virtue of Earth's energy density is too minuscule to pull in even its own star,sun

Let alone to influence the trajectories of the stars a billions of light years away
 
Newtons law of universal gravitation inasema all bodies in the universe attract each other by the force which is directly proportional to the product of their masses and inversely proportional to the square of their distance apart.

kwahiyo swali lako ni too theoretical kwasababu katika mfumo kila kitu kimejiseti chenyewe kiasi kwamba hakuna kinachoweza kuharibika,ila kama kitatokea hivyohivyo theoretically maana yake dunia itateketea kabisa kwa maana nyota zingine ni kubwa mara zaidi ya bilioni kushinda dunia lakini pia zina uwezo wa kujizalishia mwanga na joto kama jua,maana yake viumbe vitakufa kwa joto kali na mionzi pia gesi za sumu.

Kwa kifupi we will all be fucked to hell.
 
Mbona nguvu ya uvutano inaruhusu vimondo vinaanguka kutoka space ya mbali!?
kwa sababu graviti ya vimondo inakua ndogo kuliko ya dunia hivyo dunia huivuta kuja katika uso wake si hivyo tu bali hata mwezi (moon) unamakorongo sana sababu ya kugongwa na vimondo hivyo sio dunia pekee ndiyo hugongwa ila kwa vile mwezi hauna anga hewa wimondo hivyo huigonga direct kwa hapa duniani shukrani zielekezwe kwa anga hewa kwani ndiye atukingaye!
 
Wote tunatambua kuwa Nyota ni kubwa.

Maradufu ya dunia, swali langu ni itakuwa vipi siku Nyota ikikosa uelekeo na kuja upande wetu? Je, ikiwa inaanguka itakuwa ikiteketea kama kimondo? Na kuna uwezekano wa kufika Duniani ikiwa Kama ilivyo? Kipande? Au iungulie yote njiani?
What I know a star is a mass of hot gasses like atomic fission .I don't understand how a gas can fall onto a solid object like Earth.
 
Kila kitu kitu kwenye universe kipo kwenye motion. Sayari zinazunguka jua, jua linazunguka center ya galaxy, galaxy zinazunguka center ya super structure etc.
Duh, kila mmoja ana hoja yake, nimependa hoja yako,
 
Nadhani hili swali lako wala halihitaji hata mtu uwe na elimu kubwa ya masuala ya anga bali ni kiasi cha kupasha moto ubongo wako na unakuwa jibu umeshalipata.
Ni sawa na kuuliza inakuwaje iwapo nyundo ikitua juu ya mende.

Ukiutafakari ukubwa wa jua na udogo wa dunia kwa jua alafu ije iangukiwe bila shaka jibu utakuwa nalo....naamini hakuna atayeweza kujua au kushuhdia kitakachotokea kwani sidhani kama kuna kiumbe kitachobaki kushuhudia maana wote tutafariki
I hope you do stand to be corrected mkuu. Jua ni mkusanyiko wa gases mbalimbali na sio solid matter kama unavyoona jiwe au mwamba wa aina fulani mkubwa. Sun is just a growing sphere(ball) of very hot gases comprising Hydrogen 72% and Helium 28%. Pia kuna gases za aina nyingine ambazo zinaujazo mchache.
Nikirudi kwenye swali la mtoa mada; Dunia haiwezi kuangukiwa na jua, kwa maelezo ya hapo juu, pili mkusanyiko huu wa gases hauwezi kupita karibu na dunia na viumbe bado vikawepo kwasababu ya reaction ya gases hizi(Hydrogen &Helium) zinapoungana huzalisha nguvu ya nyuklia/joto kali sana ambalo hakuna kiumbe wala chuma cha aina yoyote kinachoweza kubaki bila kuyayuka. Definitely mpaka hapo jibu unalo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom