Itakuwaje Kama Nyota Itaiangukia Dunia?

Itakuwaje Kama Nyota Itaiangukia Dunia?

Wote tunatambua kuwa Nyota ni kubwa.

Maradufu ya dunia, swali langu ni itakuwa vipi siku Nyota ikikosa uelekeo na kuja upande wetu? Je, ikiwa inaanguka itakuwa ikiteketea kama kimondo? Na kuna uwezekano wa kufika Duniani ikiwa Kama ilivyo? Kipande? Au iungulie yote njiani?


Nota hazitembei ila kitu kinachoweza kuja kuanguka duniani ni magimba makubwa (asteroid)kama kile kilichoanguka urusi mwezi frebruary 13 2013.Na hayo yako mengi sana kwa wingi wa mbilioni ya size tofauti.Hata kupotena kwa Dinosaurs miaka zaidi ya 60milioni iliyopita ni kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa na kusababisha mimea mingi na wanyama kufa na sababu kubwa inasemekana ni kutokea mlipuko mkuwa uliotokana na kuanguka kwa gimba kuwa katika gulf ya mexico na kuleta madhara makubwa ikiwemo miliuko ya volcano,sunami na matetemeko ya ardhi.
 
Swali la msingi ni force of gravity inaanzia wapi? Je ipo ktk space yote? Kama sivyo hamna cha luanguka hapo vitabaki hapo hapo vilipo.
 
Hahahaa hilo nimelizingatia kaka ndo maana nikaweka ile theory ya kimondo, kwamba kinapokosa uelekeo huanguka na kwenye kuangua huteketea kikiwa njiani, na mara nyingi huwa hata havitufikii sababu huungulia huko huko angani, swali kubwa juu ya nyota ni itakuwaje ikiwa nayo ina tabia ya kupukutika ikiwa inaanguka,!?

Maana hata kama nyundo ni kubwa ila inapukutika kwenye motion ya kumuangukia mende, inaweza isimfikie mende!, yote ikayeyukia njiani! Na mende akasalimika...
Hahahaa hilo nimelizingatia kaka ndo maana nikaweka ile theory ya kimondo, kwamba kinapokosa uelekeo huanguka na kwenye kuangua huteketea kikiwa njiani, na mara nyingi huwa hata havitufikii sababu huungulia huko huko angani, swali kubwa juu ya nyota ni itakuwaje ikiwa nayo ina tabia ya kupukutika ikiwa inaanguka,!?

Maana hata kama nyundo ni kubwa ila inapukutika kwenye motion ya kumuangukia mende, inaweza isimfikie mende!, yote ikayeyukia njiani! Na mende akasalimika...
Jua au nyota ikiikaribia Dunia nikuwa Dunia itavutwa na motion ya hiyo nyota na viumbe hai wote watateketea na kwa kuwa kutakuwa na joto Kali Maji yote ktk uso wa Dunia yatatoweka (evaporation) na kuhamia sehemu nyingine kwenye mazingira na hali ya hewa iliyo rafiki
 
Nyota kuanguka haiwezi ila hata ikatokea hivyo wapo viumbe watakao survive
Hakuna viumbe watakao survive nyota ni Jua hutoa joto Kali ikiikaribia Dunia viumbe wote watateketea kwa kuungua na Maji yatatoweka ktk uso wa Dunia.
Na Dunia itavutwa na kuwa ktk motion ya hiyo nyota uwezekano wa kutoka inje ya milk away Galax na kukutana na hewa nyingine isiyofaa kwa viumbe.
Majira yatabadirika
 
Solar yetu ni Closed system ni ngumu kitu kama nyota kupita na kuivuruga Jua lina mass na gravity kubwa sana ya kulinda sayari zinazoli orbit japo ipo midude ya nyota zaidi ya nyota yetu jua ila elewa angani kila kitu kipo ktk motion na kina orbit kitu fulani chenye gravity kubwa ,Incase ya vimomdo yupo Jupiter hii ni sayari kubwa kweli na gravity yake ni kubwa nayo hutoa ulinzi kwa vitu kama mawe
 
Haiwezekani, ila kama ikiwezeka hiyo nyota kabla haijafika, dunia itaifata kwa kasi kubwa sana mithili ya mbwa anayejipeleka kwa chatu na kuteketea kabisa. Na huo ndio utakuwa mwisho wake.
Yaani kwa ufupi kwa ukubwa wa nyota ikithubutu kupita karibu na sisi, tutaifata wenyewe kwa speed ya 4G.
Hivi vyombo vya masafa marefu vinaposafiri huwa haviwezi kupatwa na dhoruba kama hiyo ya kuvutwa?
 
Solar yetu ni Closed system ni ngumu kitu kama nyota kupita na kuivuruga Jua lina mass na gravity kubwa sana ya kulinda sayari zinazoli orbit japo ipo midude ya nyota zaidi ya nyota yetu jua ila elewa angani kila kitu kipo ktk motion na kina orbit kitu fulani chenye gravity kubwa ,Incase ya vimomdo yupo Jupiter hii ni sayari kubwa kweli na gravity yake ni kubwa nayo hutoa ulinzi kwa vitu kama mawe
Jupter inatoa ulinzi kwa sayari zote au kwa yenyewe tu?
 
Ikitokea hivyo mkuu ni binadamu kujimegea hilo linyota kuuza vipande na kuwa mabilionea kama wa chuga umasikini baibai tuombe mungu mkuu zianguke walau 6 tuneemeke.
 
mkuu kwanza galaxy tuliyopo ni milky way na sio virgo, pili nyibta hazizunguki structure yoyote ni stationary.
Kila kitu kilichopo angani kipo katika motion hakuna kitu kilicho stationary. Mfano dunia inajizungusha yenyewe kwa spidi ya 1,600 km/h inazunguka jua kwa spidi ya 110,000 km/h vivyo hivyo jua na sayari zake (solar system) inazunguka center ya galaksi kwa spidi ya angalau 800,000km/h na solar system inakamilisha mzunguko wake kwa miaka 225 mil.
Nyota iliyoko karibu sana na mfumo wetu wa jua inachukua walau miaka minne ili mwanga wake uweze kutufikia na mwaka mmoja wa mwanga ni kama 9.4trilion km sasa zidisha kwa 4. Kwa speed kali kabisa kama dunia yetu ikivutwa katika hiyo nyota basi itabidi itembee km hizo 9.4 x 4 (~ 38kmtrln) trln. Sijui kama utakuwa bado unaishi. picha ya nyota kubwa kama ukiringanisha na dunia yetu ni kama uchukue ndimu uilinganishe na ghorofa la BOT, sasa dunia ikivutwa na nyota kwanza haitafika na kuipiga bali itayeyuka yote nawewe huwezi ishuhudia sababu kabla ya kuyeyushwa dunia unaanza kuyeyushwa wewe joto lake laweza fika 5000 centigrade.
 
Kila kitu kilichopo angani kipo katika motion hakuna kitu kilicho stationary. Mfano dunia inajizungusha yenyewe kwa spidi ya 1,600 km/h inazunguka jua kwa spidi ya 110,000 km/h vivyo hivyo jua na sayari zake (solar system) inazunguka center ya galaksi kwa spidi ya angalau 800,000km/h na solar system inakamilisha mzunguko wake kwa miaka 225 mil.
Nyota iliyoko karibu sana na mfumo wetu wa jua inachukua walau miaka minne ili mwanga wake uweze kutufikia na mwaka mmoja wa mwanga ni kama 9.4trilion km sasa zidisha kwa 4. Kwa speed kali kabisa kama dunia yetu ikivutwa katika hiyo nyota basi itabidi itembee km hizo 9.4 x 4 (~ 38kmtrln) trln. Sijui kama utakuwa bado unaishi. picha ya nyota kubwa kama ukiringanisha na dunia yetu ni kama uchukue ndimu uilinganishe na ghorofa la BOT, sasa dunia ikivutwa na nyota kwanza haitafika na kuipiga bali itayeyuka yote nawewe huwezi ishuhudia sababu kabla ya kuyeyushwa dunia unaanza kuyeyushwa wewe joto lake laweza fika 5000 centigrade.
nashukuru kwa elimu hii nadhani nitafuatilia zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom