Sole Proprietor
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 223
- 254
Nani kakuambia China wananchi wana maamuzi na uwepo wa raisi na muda
wa kukaa madarakani? Saa nyingine upeo wa watu kama ninyi ndio unaotaka kunilazimisha niamini kuwa sisiemu itaendelea kutawala. Lakini aamini nakwabia kabla jogoo hajawika mkesha wa 2022 utakuwa umeikana CCM Mara tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
wa kukaa madarakani? Saa nyingine upeo wa watu kama ninyi ndio unaotaka kunilazimisha niamini kuwa sisiemu itaendelea kutawala. Lakini aamini nakwabia kabla jogoo hajawika mkesha wa 2022 utakuwa umeikana CCM Mara tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app