IT Project Kwa Vitendo

IT Project Kwa Vitendo

fungua php.ini ambayo inakua c:/php

halafu nenda sehemu imeandikwa "display_errors=off" eka on.

Halafu seti error gani wataka kudisplay, hapa eka hivi:

error_reporting = E_ALL & E_STRICT

Unaweza kugundua tatizo hapa. there is a bug from front end when a user want to add and entry. There is no problem when you add a new entry as admin in back end.

Visit site hii nayotumia kutengeneza hii kitu. wanani. Kwenye contact directory menu chagua add entry. Then click select category ya kitu unachotaka kuadd . Chagua category yeyote ile alafu slect add category.

Ukiachagua add category kuna error message inakuja nadhani inaendana na maelezo ya error ya Php.kwamba kuna tatizo kwenye line 238 ya select.php

few line of codes karibu nahiyo line 238 ni hizi hapa chini.
PHP:
326  /**
327     * Gets the data for a field and save it in the database
328     * @param SPEntry $entry
329     * @return bool
330     */
331   public function saveData( &$entry, $request = 'POST' )
332    {
333        if( !( $this->enabled ) ) {
334            return false;
335        }
336        $data = $this->fetchData( $this->multi ? SPRequest::arr( $this->nid, array(), $request ) : SPRequest::word( $this->nid, null, $request ) );
337        $cdata = $this->verify( $entry, $request, $data );
338
339        $time = SPRequest::now();
340       $IP = SPRequest::ip( 'REMOTE_ADDR', 0, 'SERVER' );
341        $uid = Sobi::My( 'id' );
Pia na attach file la slect.php zima kwa troubleshooting. if anyone can crack is head or help to tell me nifanye nini.

NB. select.php file zima hilo hapo chini
 

Attachments

Jamani sasa mpaka now sijajua tumeamua vipi? tunasubiri michango ya mawazo mipya ama mjadala ndio unafungwa na ideas zilizopo ndio zianze kufanyiwa kazi ama bado tusubiri mawazo ama? maana sielewi elewi.

Sir Issam tunaendelea na subirpo na joomla but discussion zinaendela vile vile .

Vile vile tupeane mapendekezo ya categories au groups za contacts. za fani au biashara, mashirika, makampuni.
Nimekuwa njaribu kubrain storm hizi ndizo categroy nilizopata sasa.

Elimu-
Primary, secondary Colleges, Trainings
Sheria
Afya- Hospital & dispensary,
Usafiri-
air,Bus long travel, Bus short local travel, Taxi
Media-
magazeti, Television Radio, internet forumKilimo- Wafanyabiashara, wakulima na mashirikayanojihusiha na kilimo
Mifugo-Wafanyabiashara, watu wanaohusika na mifugo
Computer simu & internet.
Serikali- Wizara, Idara, Mikoa wilayaDini.- contatc za watu au mashirika yanayoendehsa shughuli za kidini
Event Management- Sound equipment, wakodishaji vifaa
Security-
 
kaka lile neno Powered by Sigsiu.NET naona bado lipo?

Hahahaha issam kuna kitu nilivuruga ikabidi nirudishe back up copy ya zamni ndo maana sigsiu.net imerudi ila nishaitoa.

Je Hiyo error ya kwenye add add entry umeiona?


BTN @Issam
Nimetembelea forum yako mtaalam. kuna ujumbe nimekuandika ukiona wa maana ufanyie kazi
 
@mtazamaji kaka hapo juu naona unatumia array ambayo index yako hujaidefine bado...
 
@mtazamaji kaka hapo juu naona unatumia array ambayo index yako hujaidefine bado...

kuna hii statement line 27 nadhani itakuwa inadefine array
PHP:
   class SPField_Select extends SPFieldType implements SPFieldInterface
{
You know am not very best in programming but tatizo hii kitu inafanya kazi vizuri kwenye backend .

Nadhani implimentation ya array iko kwenye hizo class za SPFieldInterface na SPFieldType. kama nimekosea nielekeze. or how could i define it ebu nipe advice nijaribu for testing


Hawa jamaa wa sobirpo pia wamesema kuna bug na wanaifanyia kazi. but ninataka kujipa challenge nione kama tunaweza kupata work arround kabla wao hawajatoa solution yao.
 
wadau mpo?
No any sugesstion on

  • contact categories
  • how the home page shoul look like
 
Ujumbe nimeuona na nitaufanyi kazi kaka, kisha msione kimya laptop yangu nimeiformat so nadownload software zangu upya kisha nikiwa ready nitajumuika
 
Vipi mkuu umefanikiwa kupandisha ile kitu?

Mkuu naona tatizo sio net yako kwani hata mm kwangu kimetokea kilichotokea kwako. Baada ya kuhangaika sana nikaenda kwenye online chat yao jamaa kuwauliza wakaniambia nirekebishe some setting kwenye FTP client.

kama ulikuwa unatumia filezilla ukiclick edit then setting . kwenye connetion bydefault timeout ilyopo ni 20 second . Jamaa kanimbia niongeze to may be 60 .
Again hata hii kwa hiyo ya 60s bado kuna file ziligoma. So nikaongeza tena. Wanasema kuna update wanafanya ndo maana. but it will back to normal kutrasfer file kubwa hata by default 20s kufanya kazi siku si nyingi.

trough hizi problem tunajifunza mapya maana tungefanya locally kwenye mashine zetu matatizo kama haya tusingeyajua.
 
Mkuu naona tatizo sio net yako kwani hata mm kwangu kimetokea kilichotokea kwako. Baada ya kuhangaika sana nikaenda kwenye online chat yao jamaa kuwauliza wakaniambia nirekebishe some setting kwenye FTP client.

Again hata hii kwa hiyo ya 60s bado kuna file ziligoma. So nikaongeza tena. Wanasema kuna update wanafanya ndo maana. but it will back to normal kutrasfer file kubwa hata by default 20s kufanya kazi siku si nyingi.

trough hizi problem tunajifunza mapya maana tungefanya locally kwenye mashine zetu matatizo kama haya tusingeyajua.

Dah! Big up mkuu, maana afadhali wewe umechukua hatua za kuwauliza kwenye forum yao...! Mimi nilibaki kukodoa mimacho tu na kulaumu net yangu....!

Ah ah ah ah uzee huu, kazi kweli kweli, wacha nchi ishikwe na vijana.
 

Dah! Big up mkuu, maana afadhali wewe umechukua hatua za kuwauliza kwenye forum yao...! Mimi nilibaki kukodoa mimacho tu na kulaumu net yangu....!

Ah ah ah ah uzee huu, kazi kweli kweli, wacha nchi ishikwe na vijana.
haahhahaha xpaster nilikuwa sijacheka siku nzima . Lakini hata kama ni uzee nadhani uzee wako sio wa akili ni wa mvi tu hahahhahaha

Unajua nilipata akili hiyo sababu na wewe ulipta tatizo hilo hilo na uzuri na ulinifahamisha. Bila taarifa yako na mimi ningejua ni net tu. Na hawa wenzetu wako mbali. pamoja nakuwa wanatoa huduma bure bado kuna mtu kaajiriwa kutatua matatizo yetu.
 
Team and project followrs
leo nimekuwa najaribu kupandisha sobipro kwenye official site yaproject nimekwama. katika test site nayotumia niliweza. So hapa tunapata fundisho kuwa diiffrent webserver and webhost can make CMS zi behave tofauti.

Can any member volunteer kujaribu kuinstall extension ya Sobipro may be kuna sehemu nakosea.?
 
Team and project followrs
leo nimekuwa najaribu kupandisha sobipro kwenye official site yaproject nimekwama. katika test site nayotumia niliweza. So hapa tunapata fundisho kuwa diiffrent webserver and webhost can make CMS zi behave tofauti.

Can any member volunteer kujaribu kuinstall extension ya Sobipro may be kuna sehemu nakosea.?
Mkuu nimeangalia kwenye hiyo site yako sijaona, au umeweka kwenye address nyingine?
 
Mkuu nimeangalia kwenye hiyo site yako sijaona, au umeweka kwenye address nyingine?

Site gani umengalia mkuu ? kwenye hii http://tanzaniadirectory.zxq.net/ tayari joomla ipo ila nimeshindwa kuinstall sobipro. baada ya kushindwa kuisntall extensio niljaribu kuhamisha hamisha folder ili none kama naweza upata suluihso lakini wapi.

Nimeiweka joomla 1.6.3 kwenye root directory ya hiyo site pia kuna directory lingine nimeliita jom ambalo ndani yake pia kuna file za joomla 1.6.2. Prvisously nilidhani inaweza kuwa ni tatizo la new version of joomla so hata ile 1.6.2 nilivyojaribu sobirpo ikagoma.


 
Hiyo hapo kwenye signature yako "teknohama.x10.mx"

Pole kwa kukuchanganya but hapana sio hiyo kamanda test ya hii project nafanya hapa wanani

Hata thread ya mwanzo kabisa nimeweka ngoja nibadilishe hii signature maana inaweza kuchanganya . hako kablogweb hakahusiani na project
 
Pole kwa kukuchanganya but hapana sio hiyo kamanda test ya hii project nafanya hapa wanani

Hata thread ya mwanzo kabisa nimeweka ngoja nibadilishe hii signature maana inaweza kuchanganya . hako kablogweb hakahusiani na project
Sawa muu ngoja nipitie uko niangalie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom