Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,175
Acha wengine tuwe watazamaji mkuu
Acha wengine tuwe watazamaji mkuu
Eeeh!!! Hayo ndyo mamboMe nawapenda weusi wenzangu
Hata chini tutalalaEeeh!!! Hayo ndyo mambo
Hata njaa mtalala
[Color= yellow]Triple A[/color]
Ili mrad tu heshima naHata chini tutalala
Hiko ndio kikubwaIli mrad tu heshima na
Upendo vichukue nafac yake
[Color= yellow]Triple A[/color]
Yes mengnecyote mtayakutaHiko ndio kikubwa
EwaaaaaaYes mengnecyote mtayakuta
Na kuyatafta mbele ya safar
[Color= yellow]Triple A[/color]
Ukiona mtu anaendekeza ngozi nyeupe ni ishara kwamba hata uafrika wake haukubali na hajiamini.
Kingine kuna mtazamo kwamba wazungu wanazingatia ile demokrasia ya 50/50 ambayo wanawake wengi wamekua wakiililia kila siku, kwa kua wanaume wengi wa kiafrika tumeonekana kutawaliwa na wanawake ni ngumu basi mwanamke akipata mzungu anaona ameulamba kweli kweli.
Kingine ni kwamba kuna mtazamo kwamba wazungu mambo yao ya kiuchumi yako poa sasa wadada wengi huzimika ni hizi rumors.
Pia naomba niseme mitazamo hii hata wanaume tunayo, kuna jamaa zako unaweza kua umekaa nao unapiga stori mmoja anaropoka ebana eeh kuna demu wa kizungu kanielewa kinyama saivi staki demu wa kibongo, mademu wa kibongo hawajui na wana njaa kali[emoji23] hizi zimefanyika sana enzi za chuo.
Rule of the thumb: waafrika tujikubali jamani, mimi nakua mkweli tu mwanamke wa kizungu hanivutii kama nitakavyomuona chausiku wangu anayekaa mbagala akiwa amejisalome, wallah chausiku wangu ananoga mnooo
Nothing is easier than blaming others for your own problems
Half cast unamanisha...Mim honestly napenda kuzaa na mzungu nipate katoto amazing i mean kawe na uzungu flan mtamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanga wapo eeh ladyajBila shaka waizungumzia damu ya kizungu kwenye ngozi ya mtoto! Basi kama ni hivyo njoo tanga uwapate wenye damu zao vijanasome member of my family![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah huo ni unyama aise ..na hapo alishamvulia na nguo ??Wanaume wa kibongo mnaudji sana ukiona mtu anachukua mzeee mzungu jua amechokaaa
Kuna rafiki yangu alinambia mpaka anaingia kaburini ngozi nyeusi hatoweza kulala nao
Anasemwa alifanya maamuzi hapo baada ya kulala na mpz wake mbongo hotel tena bei mbaya huyo kaka alitoka kana kuna kitu anafata njee hakurudi kumbe hata chumba alikuwa hajalipia dada wa watu alimwambia muhudumu wa reception kuwa wewe ni mwanamke naomba unisaidie
Mfukoni alikuwa na 20000 akampa mdada wa reception akamwachia simu akamwambia nipe masaaa 3nikufatie pesa yako chumba kilikuwa 80000. Ile simu ilikuwa smartphone ila alilazimika kuiacha. Alienda nyumbani akaleta pesa akaja akalipa akatoa simu yake. Mda huo wote yule mwanaume simu alizima
Binti aliapa ngozi nyeusi. Akaanza kumtafuta mzungu huyo babu alikuwa anapenda kula la kairo hotel yule binti alikuwa anaenda pale mida ya kula lengo ampate huyo mzungu
Alifanys zoezi hilo miezi sita, siku moja anakunywa maji babu huyo 75yrs alimsalimia na alamuomba no dada wa watu anasema hajui machozi yalitoka wapi alimpa no akakimbia nyumbani kwa furaha.
Ilipita wiki mzungu hajamtafuta. Wiki ya pili alimpigia akamuita aje sehemu dada wa watu ilibidi amwambie ukweli .
Mungu sio juma wala hamisi baada ya mwezi mzungu alimchukulia nyumba nzima wakaishi wote huyo mzungu mu scananian alimpeleka akamtambulisha kwa watoto wake na kule alishampa nyumba akienda huko anafikia kwake yaan maisha mwelele wabongo mnaudhi basi tunawavumilia tu.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] ..........mkuu ukivuta ngada basi toa mbeguMaamuzi Kutoka Juu.
Kwa upande mwingine binadamu hapangiwi cha kufanya...
Atafanya kile aonacho yeye ni sahihi bila kuvunja taratibu za eneo husika...
Hata wanawake wakizungu nao wanashobokea sana wanaume wa ki-Africa tena sana...
Cc: mahondaw