stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 8,888
- 17,540
Utaitwa kituo Cha polisi kilichokaribu utatrend sana kwenye magazeti yote ya Ndani mpaka nje mpaka kimataifa nadhani watakuchukua mpaka video kabisa taarifa zako zitasomwa kwenye platforms zote za social media utakua gumzo utazungumzwa na kila mtu wapo watakaokucheka wapo watakao tafuta mbinu na namna ya kukutetea, kumbuka ukienda polisi hautorudi kwa kosa ulilofanya utachukuliwa maelezo utawekwa lupango moja kwa moja segedance utakaa huko mpaka kesi yako itakaposomwa utaenda kusomewa kesi ukiwa na utitiri wa wanahabari wengi wanaokuzonga, utaambiwa na kuulizwa na Jaji au Hakimu je! unakubari shitaka lililopo mbele yako au unakana shitaka?! Ukikubari kesi haitochukua mda utachezea mvua ya kutosha ili iwe funzo kwa wengine na utapewa haki yako ya kukata rufaa na ukikana basi utaanza utaratibu wa kukusanya ushahidi kukuthibitishia kua umefanya wewe na sio mwingine, kupitia wewe wengine watajifunza kwanini ni kosa mtu kuichoma KATIBA YA NCHI YAKEHivi nini kitatokea iwapo nitachoma katiba ya nchi?