The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Rais wa Israel amelaani kitendo cha Sweden kuruhusu uchomaji wa biblia ya kiyahudi ya Torah
Kumbuka hivi karibuni Sweden ilitoa kibali cha uchomaji wa quran.
Sweden inasema ni haki ya mtu kufanya anachokitaka ili mradi havunji sheria.
Updates
Jamaa aliekua achome Biblia na Torah kwenye ubalozi wa Israel ameahirisha huo mpango na kisha kuanzisha maandamano kupinga uchomaji wa Quran uliofanyika mwezi uliopita.
Bwana Ahmad Aloush amesema alitangaza hivyo kwamba atachoma biblia na torah ili kuwakwaza watu kama vile yule jamaa aliechoma quran alivyowakwaza watu.
Bwana Ahmad Aloush amesema kwenye maandamano hayo ambayo alikua peke yake kwamba lengo lake lilikua kufikisha ujumbe kwmaba uchomaji wa Quran haikua jambo jema na pia kulaani sheria za sweden ambazo anasema hazina mipaka na kusema lazima uhuru uwe na mipaka.
Soma updates hapa chini.
Kumbuka hivi karibuni Sweden ilitoa kibali cha uchomaji wa quran.
Sweden inasema ni haki ya mtu kufanya anachokitaka ili mradi havunji sheria.
Updates
Jamaa aliekua achome Biblia na Torah kwenye ubalozi wa Israel ameahirisha huo mpango na kisha kuanzisha maandamano kupinga uchomaji wa Quran uliofanyika mwezi uliopita.
Bwana Ahmad Aloush amesema alitangaza hivyo kwamba atachoma biblia na torah ili kuwakwaza watu kama vile yule jamaa aliechoma quran alivyowakwaza watu.
Bwana Ahmad Aloush amesema kwenye maandamano hayo ambayo alikua peke yake kwamba lengo lake lilikua kufikisha ujumbe kwmaba uchomaji wa Quran haikua jambo jema na pia kulaani sheria za sweden ambazo anasema hazina mipaka na kusema lazima uhuru uwe na mipaka.
Soma updates hapa chini.