Israel yaishambulia Iran, milipuko yasikika katika mji mkuu wa Tehran

Israel yaishambulia Iran, milipuko yasikika katika mji mkuu wa Tehran

Huo sasa ni uchokozi!

Hakukuwa na sababu yoyote ya msingi ya kuishambulia Iran.
Ni sahihi. Hawa nao wanachosema. Wao ni kugombana na wenzao kila siku bila sababu.

Dunia yetu ni sehemu salama ya kuishi na sio kuuana kila siku bila sababu.
 
Haya kuanzisha vita si hoja kuimaliza vita msije omba peace badaye huko UN. Kule Israel wameanzisha wao na wako na wasi wasi.
Tatizo si kuanzisha vita kuimaliza hio vita tuone ka a Israel atakuwa na pumzi ndefu yeye na US.

US yupo kwenye hi vita anajidai hahusiki ni muongo sana na Iran alisha sema Israel hana ubavu wakupigana na Iran lazima US atakuwepo kwenye vita.
 
Haya kuanzisha vita si hoja kuimaliza vita msije omba peace badaye huko UN. Kule Israel wameanzisha wao na wako na wasi wasi.
Wanaokimbiliaga UN wanajulikana

Sio muda utaanza kusikia Free Iran

Ubao hadi sasa unasoma Israel 2 - 0 Iran

Iran waliapa kulipiza mara ya mwisho lakini mpaka leo Kimya, leo tena wamegongwa ngoja tuone
 
Yaani Mji mkuu unapigwa kama Beirut
Hao wao huwa wanapiga majumba tusubiri Iran atakavyo yaporomosha hayo majumba ya Tela Aviv. Sababu Israel yeye ni kawaida kupiga kwrnye civilian area yeye hajawahi kupigiwa civilian area zao na uhakika Iran atapiga na yeye civilian area kule Tela Aviv tusubiri.
 
Kuanzisha vita sio hoja je kuimaluza vita ndio hapo kazi sa tusubiri kipigo atakacho pokea kutoka Iran
Bro natamani nikuone we na Ritz au yule mkenya MK254 mnaonekanaje maana ni mashabiki wa mauaji kwa mgongo wa kidini.

Binafsi sijaona umuhimu wa hii vita kwani watu wasio na hatia wanauawa bila sababu. Kwani kosa la Iran ni nini? Haya mazungu ni majitu ya ya hovyo sana.
 
Huo sasa ni uchokozi!

Hakukuwa na sababu yoyote ya msingi ya kuishambulia Iran.
Dah! nilikuwa napitia maoni nikakumbuka. Leo ulisema ''Uelewa wa Watanzania ni wa chini sana'' .
Nimekuelewa kwanini ulikuwa ''frustrated'' in a way.

Huu ni uchokozi kama ule wa kumuua kiongozi wa Hamas halafu media zinasema Iran ilishambulia Israel.
Iran wakijibu utasikia imeshambulia Israel. Hapa kwetu ni ushabiki tu.
 
Back
Top Bottom