Hapa mkuu unachanganya GDP ( Gross domestic product) na Per capita income. GDP ndio uchumi wa nchi kwa ujumla wake. Lkn per capita ndio uchumi wa mtu mmoja mmoja. Mfano , Kwa Sasa China inaongoza kwa uchumi mkubwa dunian lkn per capita iko chin ukilinganisha na nchi Kama Norway etc. Kupima uchumi wa nchi angalia GDP na norminal na purchasing power parity. Kukokotoa kutapunguza Per capita kulingana na idadi ya raia wa nchi husika lkn Kama GDP iko juu baado nchi itakua juu kimaendeleo. Japan ni nchi ambayo ni ndogo lkn ipo juu Sana kimaendeleo kwahiyo kuzidi urusi sio shida. Urusi zmeshindwa kuendelea kwa sabb za kimfumo Kama zilivyo nchi za Africa