inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,740
- 22,490
Wacha watupite,dunia haiishi keshoHili pia ni kwel👍! nchi ndogo jangwa ila imetupita kila kitu muhimu!!
Wacha watupite,dunia haiishi keshoHili pia ni kwel👍! nchi ndogo jangwa ila imetupita kila kitu muhimu!!
tuambie Japan ni mara ngapi ya Russia, na Ujerumani je ni mara ngapi ya Russia, je kiuchumi ni nchi zipi zina uchumi mkubwa? Vitu vingine havina hata mantiki. Ni uvivu au ufinyu wa uelewa. Nchi ndogo inaweza ikawa na GDP kubwa kwasababu kihesabu denominator yake ni ndogo wakati wa kukokotoa GDP. Australia kieneo ni kubwa sana lakini kiuchumi imezidiwa na vinchi vidogo km Japan, Ujerumani, Uingereza, Ufaransa n.k. Hoja yako haina mantikiTanzania: 945,087 km²
- Ukubwa(kilomita za mraba)
Vs
Israe:22,145km²
Tanzania ni kubwa mara 43 ya israel.
Tanzania:$85.42billion
- Uchumi(pato la Taifa/ GDP in $)
Vs
Israel:$521.696billion
Israel inauchumi mkubwa mara 6 ya Tanzania.
Tanzania: Watu million 61
- Idadi ya watu(population)
Vs
Irael:watu million 9
Tanzania inawatu karibia mara 7 zaidi ya israel.
Copy right Beginning
😂😂😂😂😂 unajua ulichoandika?!! Acha kujidai mjanja kwenye hamna.tuambie Japan ni mara ngapi ya Russia, na Ujerumani je ni mara ngapi ya Russia, je kiuchumi ni nchi zipi zina uchumi mkubwa? Vitu vingine havina hata mantiki. Ni uvivu au ufinyu wa uelewa. Nchi ndogo inaweza ikawa na GDP kubwa kwasababu kihesabu denominator yake ni ndogo wakati wa kukokotoa GDP. Australia kieneo ni kubwa sana lakini kiuchumi imezidiwa na vinchi vidogo km Japan, Ujerumani, Uingereza, Ufaransa n.k. Hoja yako haina mantiki
acha stor za kwenye vijiwe vya kahawaIsrael ni mfuko wa pembeni wa west na USA,yaani wanatia hela humo,na kufunguliwa milango wauze bidhaa zao huko bila vizingiti
Tutawapita tu one dayWacha watupite,dunia haiishi kesho
Ungejisumbua kidogo walau kwa ku-googleacha stor za kwenye vijiwe vya kahawa
Wataongezeka,ardhi ileile,wakati sisi bado tuna mapori mengi na hatuja-exploit rasilimali zetu walau kwa 50% badoTutawapita tu one day
Tumewazidi kila kitu wao wamtuzidi akili tu na sisi tumezid ujinga njaa/uzalendo wa viongoz wetu umewafikisha wao hapo na sis hapatuje kwenye rasilimali za tz vs israel
Ndio maana nimekuuliza hiyo habari yako imelenga kutuambia nn?Kiongoz nimelenga kuhabarisha tu.
Hapa mkuu unachanganya GDP ( Gross domestic product) na Per capita income. GDP ndio uchumi wa nchi kwa ujumla wake. Lkn per capita ndio uchumi wa mtu mmoja mmoja. Mfano , Kwa Sasa China inaongoza kwa uchumi mkubwa dunian lkn per capita iko chin ukilinganisha na nchi Kama Norway etc. Kupima uchumi wa nchi angalia GDP na norminal na purchasing power parity. Kukokotoa kutapunguza Per capita kulingana na idadi ya raia wa nchi husika lkn Kama GDP iko juu baado nchi itakua juu kimaendeleo. Japan ni nchi ambayo ni ndogo lkn ipo juu Sana kimaendeleo kwahiyo kuzidi urusi sio shida. Urusi zmeshindwa kuendelea kwa sabb za kimfumo Kama zilivyo nchi za Africatuambie Japan ni mara ngapi ya Russia, na Ujerumani je ni mara ngapi ya Russia, je kiuchumi ni nchi zipi zina uchumi mkubwa? Vitu vingine havina hata mantiki. Ni uvivu au ufinyu wa uelewa. Nchi ndogo inaweza ikawa na GDP kubwa kwasababu kihesabu denominator yake ni ndogo wakati wa kukokotoa GDP. Australia kieneo ni kubwa sana lakini kiuchumi imezidiwa na vinchi vidogo km Japan, Ujerumani, Uingereza, Ufaransa n.k. Hoja yako haina mantiki