ISRAEL v/s IRAN.

ISRAEL v/s IRAN.

Status
Not open for further replies.

Globu

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
9,093
Reaction score
2,602
Jee ni kweli Israel anaweza kusimama peke yake kuipiga Iran?
 
Nafikiri hulijui taifa la israeli, ki ukweli israel inaweza pigana na taifa lolote lile duniani bila ya msaada wowote kutoka kwa taifa lolote lile. Israel ni taifa teule na ni taifa la mungu

Ndugu unayosema ni kweli kabisa. Israel waliweza kumsulubu "Mungu" na kumtoa roho na kumpa umauti kwa siku tatu, mpaka pale "Mungu" alipofanya uungu wake na kujifufua na kuwapa wauaji wake hadhi ya "taifa teule". Unafikiri kuna kiumbe kinachoweza (taifa lisilo teule) linaloweza kupigana na Taifa lililomwadhibu Mungu?

"Mungu" baada ya kuadhibiwa na wababe hawa(Taifa la Israel) ilibidi awape hadhi maalum, hadhi ya uteule!

Taifa la Mungu? Nikumbushe,Kabila la "Mungu" huyu ni kabila lipi vile?
 
Nafikiri hulijui taifa la israeli, ki ukweli israel inaweza pigana na taifa lolote lile duniani bila ya msaada wowote kutoka kwa taifa lolote lile. Israel ni taifa teule na ni taifa la mungu

Mkuu you have been brain washed, soma na fanya uchunguzi. Hakuna Israel bila Marekani. Israel ni mbwa wa marekani mashariki ya kati nothing more na si kweli kwamba anaweza kupigana na taifa lolote bila msaada wa Marekani.
 
Iran inaweza kuisambaratisha mbali Israel wenyewe wanajua na si kwamba chokochoko za nyuklia ya Iran kwamba U.S the answer is NO ni ISRAEL ndio uanzisha choko choko izo.
 
Mkuu you have been brain washed, soma na fanya uchunguzi. Hakuna Israel bila Marekani. Israel ni mbwa wa marekani mashariki ya kati nothing more na si kweli kwamba anaweza kupigana na taifa lolote bila msaada wa Marekani.

Wakisimama Israel na Iran unafikiri iran atamudu? Tatizo ni kwamba waarabu woote huichangia Israel, na hapo ndipo mataifa yenye akili waweza toa msaada.
 
Israel angekuwa na uwezo wa kuipga iran angekuwa ameshapga,ww haujiulizi kwann syria na sudan ameshambulia lakini kwenda iran anamsubiri obama mbona haendi km alivyoenda syria kupga na obama amemkaushia km yy taifa teule aende tumeshachoka kelele zake kila siku ntaenda kwenda haendi
 
Iran kuna kipi kipya. Vita vikianza kupiganwa ndani ya mwezi tu mshindi kesha julikana. Hizi nchi za kiarabu kinachowaua ni technology ya mrusi ambayo wakipewa wanadhani wapo juu kumbe mrusi mwenyewe anawapa edition kiliyopitwa na wakati. Vita inamambo mengi sana. Ogopa sana sehemu ambayo mzungu anaweza kuingia na kuwagawa wananchi na serikali hapo utapigwa kiulaini tu. Vita ya Iran na Israel ndani ya mwezi tu inaisha then wanabaki waarabu wakiendelea kijilipua wenyewe kwa wenyewe tu.
 
Nafikiri hulijui taifa la israeli, ki ukweli israel inaweza pigana na taifa lolote lile duniani bila ya msaada wowote kutoka kwa taifa lolote lile. Israel ni taifa teule na ni taifa la mungu

Mkuu tafadhali usiharibu thread, mambo ya dini na Umungu usiingize hapa.
 
apo mbele ya israel hakuna mbabe coz teknolojia ya amerika anaipata israel so israel can stand alone in any war against any country
 
Ndugu unayosema ni kweli kabisa. Israel waliweza kumsulubu "Mungu" na kumtoa roho na kumpa umauti kwa siku tatu, mpaka pale "Mungu" alipofanya uungu wake na kujifufua na kuwapa wauaji wake hadhi ya "taifa teule". Unafikiri kuna kiumbe kinachoweza (taifa lisilo teule) linaloweza kupigana na Taifa lililomwadhibu Mungu?

"Mungu" baada ya kuadhibiwa na wababe hawa(Taifa la Israel) ilibidi awape hadhi maalum, hadhi ya uteule!

Taifa la Mungu? Nikumbushe,Kabila la "Mungu" huyu ni kabila lipi vile?

Naona mmeanza kuingiza uji.nga na u.puuzi wenu wa dini za mabwana zenu waarabu na wayahudi kwenye thread ya mtu.......
 
Naona mmeanza kuingiza uji.nga na u.puuzi wenu wa dini za mabwana zenu waarabu na wayahudi kwenye thread ya mtu.......

Nashukuru umezidi kunisaidia.
 
Iran kuna kipi kipya. Vita vikianza kupiganwa ndani ya mwezi tu mshindi kesha julikana. Hizi nchi za kiarabu kinachowaua ni technology ya mrusi ambayo wakipewa wanadhani wapo juu kumbe mrusi mwenyewe anawapa edition kiliyopitwa na wakati. Vita inamambo mengi sana. Ogopa sana sehemu ambayo mzungu anaweza kuingia na kuwagawa wananchi na serikali hapo utapigwa kiulaini tu. Vita ya Iran na Israel ndani ya mwezi tu inaisha then wanabaki waarabu wakiendelea kijilipua wenyewe kwa wenyewe tu.

Mkubwa take your time kusoma historia ya Iran kianzia mapinduzi ya 1979 then vita ya Iran na Iraq. Vile vile inaonekana hujui kuwa wa Iran sio waarabu. Swali jingine, unajua kilichowakuta waisrael kwenye ile vita na Hizbolah Lebanon? Try to find out from neutral sourses kwa nini walisitisha their ground invasion.
 
Ndugu unayosema ni kweli kabisa. Israel waliweza kumsulubu "Mungu" na kumtoa roho na kumpa umauti kwa siku tatu, mpaka pale "Mungu" alipofanya uungu wake na kujifufua na kuwapa wauaji wake hadhi ya "taifa teule". Unafikiri kuna kiumbe kinachoweza (taifa lisilo teule) linaloweza kupigana na Taifa lililomwadhibu Mungu?

"Mungu" baada ya kuadhibiwa na wababe hawa(Taifa la Israel) ilibidi awape hadhi maalum, hadhi ya uteule!

Taifa la Mungu? Nikumbushe,Kabila la "Mungu" huyu ni kabila lipi vile?

naomba urudie tena naona kama umeweka unga wa ngano kwenye maji ya ugali
 
Nashukuru umezidi kunisaidia.

Yeah_watu wengine wanaudhi sana mkuu,..mtu umeanzisha thread kwa maana nzuri tu_wenyewe wanadandia na kuanza kutukanana na kashfa juu ya imani za wengine..wakati zote hizo ni za kuletwa na wote tumekaririshwa tangia utotoni...mijitu inapenda kujipendekeza sana kwa mabwana zao waarabu na wayahudi wakati wenzao hata hawana habari nao...ni uji.nga tu

Anyway_miafrika ndio tulivyo..by Nyani Ngabu...JF member
 
mimi nachojua katika vita, hamna mshindi. Baada ya vita kwisha wote mnakuwa mmepoteza, ama raia, mali,na hata uchumi lazima uyumbe. Vita haina mshindi bhana! Embu wekeni hapa ni nchi ipi ilishinda kwenye vita dhidi ya nchi nyingine!
 
Ndugu unayosema ni kweli kabisa. Israel waliweza kumsulubu "Mungu" na kumtoa roho na kumpa umauti kwa siku tatu, mpaka pale "Mungu" alipofanya uungu wake na kujifufua na kuwapa wauaji wake hadhi ya "taifa teule". Unafikiri kuna kiumbe kinachoweza (taifa lisilo teule) linaloweza kupigana na Taifa lililomwadhibu Mungu?

"Mungu" baada ya kuadhibiwa na wababe hawa(Taifa la Israel) ilibidi awape hadhi maalum, hadhi ya uteule!

Taifa la Mungu? Nikumbushe,Kabila la "Mungu" huyu ni kabila lipi vile?

teh teh teh,

hivi watu kama ninyi huwa mnajiuliza katika kitabu chenu kitukufu manabii wote ni waisrael kasoro yule wakwenu tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom