MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,213
- 22,278
- Thread starter
- #21
Acha porojo. Biblia nimesoma kuliko unavyodhani. Israel wanachofanya ni upuuziWapalestina wanavyokong'otwa huko gaza ndio kunakufanya useme Israel sio taifa teule?. Unahitaji muda zaidi kutafakari hili, munkari wako kwenye wapalestina kuuliwa kama kuku kusikufanye useme Israel sio taifa teule. Kaisome biblia vzr (kama wewe ni mkristo). Kama sio mkristo, achana na hy batam bro, utaishia pabaya.
Kutangatanga kwao ni maandiko yanatimia ...... ilikuwa lazima wachukuliwe utumwani. Walipokuwa utumwani ndio wapalestina wakajitwalia nchi yao, wenye nchi wamerudi bro, safisha safisha inaendelea.
Na usichojua ni kwamba vita ya 3 ya dunia kitovu chake ni Jerusalem, Israel. Hata biblia imetabir hilo na dalili zimeanza kuonekana.