Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,717
- 29,074
Mzuka Wanajamvi.
Wasomali Mogadishu waogopa kuandamana mitaani kuiunga mkono Hamas na Palestina na kuwalaani wateule na taifa teule la Israel.
Hofu hiyo ya maandamano ni kuogopa kulipuliwa na wajitoa mhanga kutoka kundi la kigaidi la Alshabaab (waislam wa kweli) wanaofuata na kutii kila nukta ya Quran na hadith.
Hata hivyo wameshauriwa badala ya kuandamana wailaani taifa teule kwenye mitandao ya kijamii kama Tiktok.
Wasomali Mogadishu waogopa kuandamana mitaani kuiunga mkono Hamas na Palestina na kuwalaani wateule na taifa teule la Israel.
Hofu hiyo ya maandamano ni kuogopa kulipuliwa na wajitoa mhanga kutoka kundi la kigaidi la Alshabaab (waislam wa kweli) wanaofuata na kutii kila nukta ya Quran na hadith.
Hata hivyo wameshauriwa badala ya kuandamana wailaani taifa teule kwenye mitandao ya kijamii kama Tiktok.