Haukuwa na haja ya kutumia reference ya Biblia , kama huamini kuwa Israel Ni taifa teule. Maana Biblia ndo inaonyesha kuwa Israel Ni taifa teule, Asilimia kubwa kuanzia Mwanzo Hadi cha mwisho inaelezea taifa la Israeli Inaonyesha Mungu ndiye aliamua na aliyelichagua liwe taifa teule.
Mukusudi na njia za Mungu huwezi kuzielewa kisiasa na kidini,
Matendo yao hayaondoi uteule wao, Ni sawa mtoto wako akivuta bangi au akikukosoe anabaki kuwa mtoto wako ila hukumu na adhabu ndo utaamua umpe ya namna gani,