Israel Sasa inatosha

na walisema kama wakiachia mateka idf hawatoingia ndan ya Gaza , ila waislam muwajuwavyo ukimuacha unamuogopa ukimpiga unamuonea
Wakiachwa watasema Hamas imeshinda vita
Kama wanavyosema Hizbullah alimshinda Israel
 
No, shule hamna. Ila walifichwa hapo ili kuzuia Israel kuishambulia. Sasa makombora yakawa yanatokea hapo. Ndipo Israel kuishambulia bila kujali ni shule.
Haya mambo kwa kweli. Sema ukienda kwenye masuala ya ulinzi na usalama huruma unaachana nayo. Sio Hamas wala Jeshi la Israel wanaoonyesha huruma.

Wao wanasema huruma itasababisha wewe ndio uuawe.

Mungu atusaidie
 
Maislamu yote ni magaidi hata yaliyoko tumboni, haya mahamas, Bokoharam, Al shabab hayakua matoto ?! Piga shaba manyangau yote makubwa na madogo
Mbona ww ulijulikana kuwa ni shoga ukiwa bado tumboni mwa mama yako na hakuna aliye kuuwa?
 

Kama walitangaziwa waondoke na wamekaidi sioni sababu ya kusitishwa kwa hiyo operation. Waliobaki waliona watamudu kinachoendelea
 
Vita iendelee mpaka mateka waachiwe,wale vijana wetu wa Tanzania nao ni miongoni mwao.Nasema tena Israel [emoji1134] piga hao panya buku adi watoke mashimonii.
 
Suala lakuifuta hamas Hilo mulisahau kuua wasio hatia mshazoea ndio maana mnaripua mpaka matank ya maji au yalikua na underground
Sawa zidi kulipuka hakuna shida. Jenga wao watakuja kubomoa mkifyatua maroketi
 
Suala la wao kuendelea au kuacha kupigana hilo ni juu yao mm na ww hatuna maamuzi juu ya hayo.

Lamsingi dunia nzima ime jua ya kuwa jeshi la Israel bila Marekani ni JWTZ iliyo chagamka, kwanza hata hapo nimewapendelea.
Mara hii tena mnalialia mnadai Israel ina Marekani. Kwa akili zenu mlidhani kuteka watu na kujificha hospitalini mtaachwa?

Hamas mashujaa watoke mafichoni, wamekuwa panyabuku
 
Ina maana wanafunzi bado wanaenda shule huko gaza? Sounds really absurd!

Hii hali iliyoko huko ni bora watii lile agizo la kuondoka. Pia waache mikusanyiko kama hiyo.
Hao ni vichwa ngumu. Kazi iendelee.
 
Naamini chini ya Al shifa Kuna tunnels maana isingekua hivyo watu wangekwisha ondoka. Haiwezekani mapigano toka yanaanza IDF inatoa angalizo la watu kuondoka Gaza ila hapo hospitali Kuna watu elfu hamsini bado wapo tu. Kuna kinachofichwa hapo nyuma yake.
 
Na matanki ya maji waliyolipua yalikua na viongozi wa Hamas ndani yake!?..toka mwanzo wanalipua shule, hospital na kudai kombora la Hamas limepoteza uelekeo,wameshindwa kupambana na Hamas wanabomoa majumba na kuua vichanga
Hayo matenki wateule waliyalipua maksudi ili Hamas wasijitawadhe wakienda kuswali na kuendekeza na kupenda anasa kwa kunywa maji safi na salama.

Bakhresa awapelekee huko maji ya uhai.

Swahiinn.

NO MERCY
 
Hayo matenki wateule waliyalipua maksudi ili Hamas wasijitawadhe wakienda kuswali na kuendekeza na kupenda anasa kwa kunywa maji safi na salama.

Bakhresa awapelekee huko maji ya uhai.

Swahiinn.

NO MERCY
Umechambisha wazee wangapi huko ulaya Leo!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…