Israel Sasa inatosha

Israel Sasa inatosha

Mimi nasimama na Israel kwenye mapigano haya, ila tu kwa niliyoyaona Jana naweza kushauri kwamba Sasa inatosha. Nadhani kwa Sasa Israel isistishe mapigano na Hamas maana kwa Sasa wanaoumia sio Hamas ni raia wa kawaida wa Gaza. Kama ni kisasi kimeshalipwa. Maana mpaka Sasa wameuawa wapalestina 11,500. Ambao watoto waliokwisha uawa wanakaribia 5,000 hii inaumiza Sana.

IDF kashamsambaratisha Hamas sidhani Kama Kuna haja ya kuendelea na mashambulizi. Kwa Sasa Hamas Hana nguvu na wapalestina wamejifunza kwamba mbeleni wasifanye uchokozi kwa Israel wa aina ile.

Kuna mambo matatu nimeyaona yamenifanya nifikirie hivyo.

1. Kwanza, Jana Israel kashambulia na kuilipua kwa makombora shule ya watoto na kuua watu hamsini ikiwemo watoto wadogo. Shule hiyo inaitwa Al Buraq, na inasemekana mjukuu wa kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh aliuawa kwenye mashambulizi hayo.

Sababu kuu ya IDF kuishambulia shule hiyo ni baada ya kamanda wa Hamas Ahmed Siam aliyekuwa kwenye mapambano na IDF kwenye eneo la Hospitali ya Rantisi Kuzidiwa na kwenda kujificha kwenye shule hiyo. Hivyo Israel ikaona immalize pamoja na watoto waliokuwemo humo. Kwa kweli niliumia kuona watoto wasiokuwa na hatia wakiuawa kwa ujinga wa Hamas. Nikawaza itakuwaje kwa huko mbeleni?.

2. Pili, Kuna Jambo la kusikitisha kwenye Hospitali ya Al Shifa. Ni kwamba IDF imeizunguka hiyo Hospitali na kuanza mashambulizi. Tatizo ni kwamba Kuna vitoto vichanga karibia 39 vimo humo ndani, ndio kwanza vipo kwenye incubator. Sasa ninachoogopa IDF asije akailipua Hospitali nzima na kuua hao watoto.

Nasema hivyo kwa sababu IDF anaweza kuilipua Hospitali nzima ya Al Shifa kwa kuwa kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar kajificha humo pamoja Viongozi wachache waliobakia.

Kingine ni kwamba ndani ya Hospitali hiyo Kuna wagonjwa wengi mahtuti na wazee. Hivyo kuilipua itasababisha mauaji ya halaiki.

3. Tatu, iwapo IDF itailipua Hospitali hiyo Kuna uwezekano wa Mataifa ya kiarabu kulazimishwa kuingilia kati na kuendeleza mgogoro kuwa mkubwa na kupelekwa hata vita vya tatu vya dunia.

Maana Al Shifa imekuwa Kama mtego. Ndio maana Hamas wameruhusu watu wengi wawe pale ili Israel asipate nafasi ya kuishambulia. Maana lile ndio eneo la mwisho kabisa kwa Hamas kujilinda. Hivyo hakuna haja ya kumwaga damu nyingi. Wakubaliane Israel asogee nyuma na Hamas wawaachie mateka basi. Mambo mengine yaendelee.

Hivyo basi, naishauri Israel ifanye yafuatayo.

1. Kutangaza kusitisha haya mapigano, maana wanaoadhirika ni watoto, wanawake na wazee na sio Hamas Tena.

2. Israel atangaze kuwepo na Kambi ya jeshi itakayosimamiwa na Umoja wa Mataifa. Kambi hiyo iwe kilometa ishirini kati ya mpaka wa Israel na Gaza.

3. Israel ifanye makubaliano na Hamas ya kuondoka Al Shifa na Hamas wawaachie mateka waliowashika. Na makubaliano haya yasimamiwe na Umoja wa Mataifa.

4. Jukumu la kuisimamia Gaza liwe chini ya Mahmoud Abbas ambaye kisheria ndio Rais wa Palestina, Gaza ikiwemo. Ili kuendeleza makubaliano ya Oslo ya mwaka 1993 ili mchakato wa kuanzisha taifa la Palestine lianze..

4. Nanshauri kuwepo na makubaliano kati ya Palestina kwa niaba ya Hamas na Israel upande mwingine , kwamba hawatovamiana Tena.
Kuna uhalifu mkubwa sana wa kivita na kijinai umefanyika huko Gaza

ICC ni vyema iwezeshwe kuwashughulikia wahusika.
 
Na matanki ya maji waliyolipua yalikua na viongozi wa Hamas ndani yake!?..toka mwanzo wanalipua shule, hospital na kudai kombora la Hamas limepoteza uelekeo,wameshindwa kupambana na Hamas wanabomoa majumba na kuua vichanga
Umevurugwa sheikh make naona huelewi vile, Hamas ndio wamejigicha kwenye hizo shule, hospitali, nk kwahiyo waachwe acha ujinga bwana
 
Ujinga mtupu halafu ndio mnasema Israel ndio yenye TISS nzuri , wazayuni wameonyesha umbumbu ktk suala la Vita ,Jasusi Bora huwezi kupigapiga hovyo vitoto vichanga na wamama.

Ni Bora ya TISS yetu IPO vema ktk kukabiliana na Chadema kuliko hao mbuzi wa kizayuni.
 
Na matanki ya maji waliyolipua yalikua na viongozi wa Hamas ndani yake!?..toka mwanzo wanalipua shule, hospital na kudai kombora la Hamas limepoteza uelekeo,wameshindwa kupambana na Hamas wanabomoa majumba na kuua vichanga

Raia wema walishaondoka gaza,waliobaki ni hamas na vibara wao.
 
Ujinga mtupu halafu ndio mnasema Israel ndio yenye TISS nzuri , wazayuni wameonyesha umbumbu ktk suala la Vita ,Jasusi Bora huwezi kupigapiga hovyo vitoto vichanga na wamama.

Ni Bora ya TISS yetu IPO vema ktk kukabiliana na Chadema kuliko hao mbuzi wa kizayuni.

Lengo ni kuchoma kichaka kizima chenye nyoka ndio kinachofanyika hapo gaza,hayo ya ujasusi baki nayo wewe,gaza inaenda kuwa chini ya israel ndio lengo kuu.
 
Hujaona kuna jamaa kaleta uzi hao HAMAS bado wanaendelea kurusha maroketi yao?

Israel apeleke moto tu wataopona wata hadithia na watakua na heshima.
 
Hapo patolewe mda wagonjwa wahamishwe vichanga waliopo kwenye incubator wahamishwe pamiminwe mvua ya mabomu kwa masaa matatu bila kupumzika
 
Mimi nasimama na Israel kwenye mapigano haya, ila tu kwa niliyoyaona Jana naweza kushauri kwamba Sasa inatosha. Nadhani kwa Sasa Israel isistishe mapigano na Hamas maana kwa Sasa wanaoumia sio Hamas ni raia wa kawaida wa Gaza. Kama ni kisasi kimeshalipwa. Maana mpaka Sasa wameuawa wapalestina 11,500. Ambao watoto waliokwisha uawa wanakaribia 5,000 hii inaumiza Sana.

IDF kashamsambaratisha Hamas sidhani Kama Kuna haja ya kuendelea na mashambulizi. Kwa Sasa Hamas Hana nguvu na wapalestina wamejifunza kwamba mbeleni wasifanye uchokozi kwa Israel wa aina ile.

Kuna mambo matatu nimeyaona yamenifanya nifikirie hivyo.

1. Kwanza, Jana Israel kashambulia na kuilipua kwa makombora shule ya watoto na kuua watu hamsini ikiwemo watoto wadogo. Shule hiyo inaitwa Al Buraq, na inasemekana mjukuu wa kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh aliuawa kwenye mashambulizi hayo.

Sababu kuu ya IDF kuishambulia shule hiyo ni baada ya kamanda wa Hamas Ahmed Siam aliyekuwa kwenye mapambano na IDF kwenye eneo la Hospitali ya Rantisi Kuzidiwa na kwenda kujificha kwenye shule hiyo. Hivyo Israel ikaona immalize pamoja na watoto waliokuwemo humo. Kwa kweli niliumia kuona watoto wasiokuwa na hatia wakiuawa kwa ujinga wa Hamas. Nikawaza itakuwaje kwa huko mbeleni?.

2. Pili, Kuna Jambo la kusikitisha kwenye Hospitali ya Al Shifa. Ni kwamba IDF imeizunguka hiyo Hospitali na kuanza mashambulizi. Tatizo ni kwamba Kuna vitoto vichanga karibia 39 vimo humo ndani, ndio kwanza vipo kwenye incubator. Sasa ninachoogopa IDF asije akailipua Hospitali nzima na kuua hao watoto.

Nasema hivyo kwa sababu IDF anaweza kuilipua Hospitali nzima ya Al Shifa kwa kuwa kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar kajificha humo pamoja Viongozi wachache waliobakia.

Kingine ni kwamba ndani ya Hospitali hiyo Kuna wagonjwa wengi mahtuti na wazee. Hivyo kuilipua itasababisha mauaji ya halaiki.

3. Tatu, iwapo IDF itailipua Hospitali hiyo Kuna uwezekano wa Mataifa ya kiarabu kulazimishwa kuingilia kati na kuendeleza mgogoro kuwa mkubwa na kupelekwa hata vita vya tatu vya dunia.

Maana Al Shifa imekuwa Kama mtego. Ndio maana Hamas wameruhusu watu wengi wawe pale ili Israel asipate nafasi ya kuishambulia. Maana lile ndio eneo la mwisho kabisa kwa Hamas kujilinda. Hivyo hakuna haja ya kumwaga damu nyingi. Wakubaliane Israel asogee nyuma na Hamas wawaachie mateka basi. Mambo mengine yaendelee.

Hivyo basi, naishauri Israel ifanye yafuatayo.

1. Kutangaza kusitisha haya mapigano, maana wanaoadhirika ni watoto, wanawake na wazee na sio Hamas Tena.

2. Israel atangaze kuwepo na Kambi ya jeshi itakayosimamiwa na Umoja wa Mataifa. Kambi hiyo iwe kilometa ishirini kati ya mpaka wa Israel na Gaza.

3. Israel ifanye makubaliano na Hamas ya kuondoka Al Shifa na Hamas wawaachie mateka waliowashika. Na makubaliano haya yasimamiwe na Umoja wa Mataifa.

4. Jukumu la kuisimamia Gaza liwe chini ya Mahmoud Abbas ambaye kisheria ndio Rais wa Palestina, Gaza ikiwemo. Ili kuendeleza makubaliano ya Oslo ya mwaka 1993 ili mchakato wa kuanzisha taifa la Palestine lianze..

4. Nanshauri kuwepo na makubaliano kati ya Palestina kwa niaba ya Hamas na Israel upande mwingine , kwamba hawatovamiana Tena.
wapalestina asilimia 90 wana muono wa kihamas , usione waisrael wajinga , wamechoka sasa wanataka kuwaondoa kbs hamas
 
ingeshatosha kitambo, lakini haiwezi kutosha wakati hamas bado wanaendelea kurusha roketi na bado wameshikilia raia wao kama mateka. naamini kama wangeachia mateka na wangeacha kurusha roketi jamani israel nao ni wanadamu wangeona aibu, wangeweza kusitisha. lakini unaambiwa usitishe wakatu mtu ananyesha mvua ya roketi kwa watoto wako na amekamata mateka wako hataki kuachia, inawezekana kweli?
na walisema kama wakiachia mateka idf hawatoingia ndan ya Gaza , ila waislam muwajuwavyo ukimuacha unamuogopa ukimpiga unamuonea
 
Israel haiwezi kuimaliza HAMAS, inahitaji HAMAS iendelee kuwepo ili kutimiza malengo yake ya kujiportray kwamba ina existential threat kwa wajomba zake wamarekani na waulaya huku kimyakimya ikiendelea kumega ardhi za wapalestina kwa visingizio vya security.
 
Lycaon pictus Msaidie huyu mfuasi WA mwamposa tafsri ya kurusha maroketi mara Kwa mara Nini kitatokea.
maisha yangu yote sijawahi kusali kwa mamposa wala kwa nabii yeyote wa uongo, na nawaweka kwenye kundi la fake pastors. ila kwa kukusaidia, mnakuwa hamna akili kuwambia israel wasitishe vita, ila hamas hamuwaambii, mna maana hamas waendelee kurusha roketi na wasiachie mateka raia waliokamatwa majumbani ila israel ndio isitishe? cha kushukuru Mungu ni kwamba, raia wameitikia wito wameenda kusini, pale kaskazini mwa gaza wamebaki hamas na IDF tu, kwahiyo hakutakuwa na sababu ya cease fire tena kwasababu ni mwanajeshi kwa mwanajeshi. na mauaji kwa raia yatapungua.sasahivi hamas lazima wafe.
 
Na matanki ya maji waliyolipua yalikua na viongozi wa Hamas ndani yake!?..toka mwanzo wanalipua shule, hospital na kudai kombora la Hamas limepoteza uelekeo,wameshindwa kupambana na Hamas wanabomoa majumba na kuua vichanga
hamas hawalengwi mbona hawasong mbele sasa ? maana waisrael ndo wanauliwa ila wao ndo wanasonga mbele
 
Mimi nasimama na Israel kwenye mapigano haya, ila tu kwa niliyoyaona Jana naweza kushauri kwamba Sasa inatosha. Nadhani kwa Sasa Israel isistishe mapigano na Hamas maana kwa Sasa wanaoumia sio Hamas ni raia wa kawaida wa Gaza. Kama ni kisasi kimeshalipwa. Maana mpaka Sasa wameuawa wapalestina 11,500. Ambao watoto waliokwisha uawa wanakaribia 5,000 hii inaumiza Sana.

IDF kashamsambaratisha Hamas sidhani Kama Kuna haja ya kuendelea na mashambulizi. Kwa Sasa Hamas Hana nguvu na wapalestina wamejifunza kwamba mbeleni wasifanye uchokozi kwa Israel wa aina ile.

Kuna mambo matatu nimeyaona yamenifanya nifikirie hivyo.

1. Kwanza, Jana Israel kashambulia na kuilipua kwa makombora shule ya watoto na kuua watu hamsini ikiwemo watoto wadogo. Shule hiyo inaitwa Al Buraq, na inasemekana mjukuu wa kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh aliuawa kwenye mashambulizi hayo.

Sababu kuu ya IDF kuishambulia shule hiyo ni baada ya kamanda wa Hamas Ahmed Siam aliyekuwa kwenye mapambano na IDF kwenye eneo la Hospitali ya Rantisi Kuzidiwa na kwenda kujificha kwenye shule hiyo. Hivyo Israel ikaona immalize pamoja na watoto waliokuwemo humo. Kwa kweli niliumia kuona watoto wasiokuwa na hatia wakiuawa kwa ujinga wa Hamas. Nikawaza itakuwaje kwa huko mbeleni?.

2. Pili, Kuna Jambo la kusikitisha kwenye Hospitali ya Al Shifa. Ni kwamba IDF imeizunguka hiyo Hospitali na kuanza mashambulizi. Tatizo ni kwamba Kuna vitoto vichanga karibia 39 vimo humo ndani, ndio kwanza vipo kwenye incubator. Sasa ninachoogopa IDF asije akailipua Hospitali nzima na kuua hao watoto.

Nasema hivyo kwa sababu IDF anaweza kuilipua Hospitali nzima ya Al Shifa kwa kuwa kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar kajificha humo pamoja Viongozi wachache waliobakia.

Kingine ni kwamba ndani ya Hospitali hiyo Kuna wagonjwa wengi mahtuti na wazee. Hivyo kuilipua itasababisha mauaji ya halaiki.

3. Tatu, iwapo IDF itailipua Hospitali hiyo Kuna uwezekano wa Mataifa ya kiarabu kulazimishwa kuingilia kati na kuendeleza mgogoro kuwa mkubwa na kupelekwa hata vita vya tatu vya dunia.

Maana Al Shifa imekuwa Kama mtego. Ndio maana Hamas wameruhusu watu wengi wawe pale ili Israel asipate nafasi ya kuishambulia. Maana lile ndio eneo la mwisho kabisa kwa Hamas kujilinda. Hivyo hakuna haja ya kumwaga damu nyingi. Wakubaliane Israel asogee nyuma na Hamas wawaachie mateka basi. Mambo mengine yaendelee.

Hivyo basi, naishauri Israel ifanye yafuatayo.

1. Kutangaza kusitisha haya mapigano, maana wanaoadhirika ni watoto, wanawake na wazee na sio Hamas Tena.

2. Israel atangaze kuwepo na Kambi ya jeshi itakayosimamiwa na Umoja wa Mataifa. Kambi hiyo iwe kilometa ishirini kati ya mpaka wa Israel na Gaza.

3. Israel ifanye makubaliano na Hamas ya kuondoka Al Shifa na Hamas wawaachie mateka waliowashika. Na makubaliano haya yasimamiwe na Umoja wa Mataifa.

4. Jukumu la kuisimamia Gaza liwe chini ya Mahmoud Abbas ambaye kisheria ndio Rais wa Palestina, Gaza ikiwemo. Ili kuendeleza makubaliano ya Oslo ya mwaka 1993 ili mchakato wa kuanzisha taifa la Palestine lianze..

4. Nanshauri kuwepo na makubaliano kati ya Palestina kwa niaba ya Hamas na Israel upande mwingine , kwamba hawatovamiana Tena.
Usichokijua ni kwamba lengo la Israel sio kuua raia Bali ku deal na Hamas ubaya ni kwamba hao Hamas wanawatumia raia kama ngao wao hawajali kabisa uhai wa wapelestina wenzao, IDF wameshatoa onyo zaid ya mara kumi kwamba jamani eeh ondokeni hilo eneo soon tutaiwashia moto hiyo hospital lakin ndio kwanza raia wanazidi kuongezeka maeneo hayo na waandishi wa habari kamera zao zote wamezitegeshea humo ili kurusha umbea, kiufupi hii operation ni very complex IDF wanafanya Kila waliwezalo kupunguza civilian casualties ingekuwa Urusi hiyo hospital ingeshakuwa vifusi kitambo tu,

unaposema IDF wasitishe vita haina tofauti na pisi kali imekuja getoni kwako chuchupu kuikanda ikasalimika na kuondoka siku umejipanga vizur maokoto kama yote mfukoni unaifuatilia mpaka inapoishi anakukaribisha mpaka chumbani kwake huku kavaa kanga moja tu Kisha eti unaghairi kumkanda huo si ni ujinga mkuu?

IDF wakiondoka Gaza bila kuingia ndani ya Al Shifa watakuwa kama wameenda picnic tu kitu ambacho hakipo ninachokiona hapa option ya kuilipua hiyo hospital itakuwa ya mwisho baada ya kuhakikisha mateka wote wameokolewa kama kweli wamo, hayo mataifa ya kiarabu hayana ubavu wa kupigana na Israel muda wa wao kuingia vitani ilikuwa pale IDF walipoingia Gaza.

Netanyau alishaweka wazi malengo ya operation Iron sword kwanza ni kuifuta kabisa Hamas na miundombinu Yao pili kuokoa hao mateka, ku sacrifice maisha ya raia 11000 hata hao 239 wa Israel kwa Usalama wa nchi sio case.
 
Back
Top Bottom