Israel opened masjid Ebrahim as

Kwa taarifa yako hata Nabii Mwingira wa Efatha anadai amepaa, tena kwa maandishi (ana kitabu) na wakiristo kibao wapo hapo kwake ! Kamuulize na yeye mbona amepaa kama Yesu ? scooman
 
Ubishi wa dini uliopo ni wa ajabu kabisa maana wote humu mnatetea ukristo na uislam mnashindwa kutetea dini yenu. Ukristo ulikua utamaduni wa Hao wazungu wakauweka kwenye maandishi na kuuleta kwenye bara Giza Africa. Uislamu ulikua utamaduni wa waarabu nao wakauleta bars Giza.

Cha kushangaza hawa watu Giza kutokana na ugiza wao wakapokea Giza lililoletwa na sasa wanabishana unafikiri wamekunywa juice ya mahindi yaliyooza( pombe za kienyeji)
Mjiulize mungu wenu kwa nini mmeamua kumuacha?
Dini zenu za kiafrika kwa nini mmeamua kuziacha?
Dini za wazungu na waarabu ni bora kuliko dini zetu?
Au mmeziacha kwa kuwa manabii wetu na mitume wetu waafrika hawakujua kuandika na kusoma?
Je kisingizio ni historia haikuachwa?
He hamjui kuwa alisimia Kubwa ya viongozi na wanaojiita naamini wa dini hizo za kuja yakiwashinda wa naenda kumuomba mungu wa bara letu?
Kwa nini wewe uendelee kuamini vitu vya watu na kusahau cha kwako?
TAFAKARI BILA YA MIHEMKO
 
Inamdhalilisha nani? Hebu fafanua kidogo isijekua umekaririshwa kama jamaa zangu Fulani walikaririshwa wakaenda kukata suruali zao zikawa fupi baada ya kutambua ukweli wakaanza kujutia
suruali fupi na ndevu siku hz fashion..mtazame domo na messi
 
aise mbona sioni madhumuni ya hii thread?! so nowdays are men regard themselves 2b boyz....?!
 
Tusaidia maana naona hapa wengine wanavyoongea kama chenga vile
Wana Israel walikuwa waislam.na kila binadamu anatakiwa awe muislam.Islam ni neno la kiarabu lenye maana kujinyenyekeza au kujisalimisha kwa mungu mmoja.
Sasa basi turudi kwa musa na waisrael.
Musa alikuwa muislam akaja kuwafundisha wana Israel uislam.walimsumbua sana kiasi cha kwamba wengine walilaaniwa na mungu wakawa masokwe ilifikia mungu akaamua kuwekeana nao ahadi soma hizo aya
Wachache walimuamini musa na wengi hawakumuamini wakabaki na ibada zao za masanamu akaja yesu hivyo hivyo mpaka wakataka kumuua lakini hawakumuua.
Ndo akaja Muhammad ndo Leo unaona uislam upo huko Israel kwa kiasi hicho.swali kama unalo.
 
Tusaidia maana naona hapa wengine wanavyoongea kama chenga vile
Adam ndo Muislaam wa kwanza na Yesu ni Muislam (ni kwa mujibu ya mafundisho ya Uislam - Doctrine)
Si suala la wewe kukataa au kukubali !
 

Non sense,matapishi tu haya
 
Ulimjibu hilo swali !? Tatizo mmekalia Yesu nibebe ...nibebee...nibembeleze ! Dini hamsomi.
 
Ulimjibu hilo swali !? Tatizo mmekalia Yesu nibebe ...nibebee...nibembeleze ! Dini hamsomi.
Kwa nn nisome tamaduni za watu wakati utamaduni wangu nmeuacha?
 
Unataka kutuaminisha kwamba waarab wote ni zao la ishamael?unahakika na unachokisema?
 
Islam ni dini ya kukopi na kuigaiga....kila siku mnapekua bible kutafuta vifungu vitakavyofanana na Quran. ......bila bible Quran haijakamilika.....haijitoshelezi!kwa sababu mtume wenu hakuweza kukopi yote yanayohusu wakristo&wayahudi
 
Kwa nn nisome tamaduni za watu wakati utamaduni wangu nmeuacha?
Sasa hiyo shida yako, kwa nini ulaumu wengine walio amua kutomia nature yao ya reasoning power (kusoma na kutafuta ukweli) kujifunza na kupata elimu nyingine !
 
Islam ni dini ya kukopi na kuigaiga....kila siku mnapekua bible kutafuta vifungu vitakavyofanana na Quran. ......bila bible Quran haijakamilika.....haijitoshelezi!kwa sababu mtume wenu hakuweza kukopi yote yanayohusu wakristo&wayahudi
Wewe unafuata version gani ya Biblia, King James, New Version, Agape, Gidion, Agano la Kale, Jipya, yenye Vitabu 66 au 73 !? mlekulechoma
 
Hii si kweli usidhani vitabu vyenu hatuvisomi!kwa nini mudy alibadili kibla akiwa madina?kilichomfanya akiwa anaswali makalio anayaelekeza Jerusalem na kichwa maka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…