Israel imeichokoza vipi Iran? Kwamba mashambulizi ya miaka yote ya vikundi vya Hezbollah, Hamas na Houth ambayo yamekuwa yakielekezwa nchini Israel ambayo mafunzo, pesa, vyote vinafadhiliwa na Iran huo haukuwa uchokozi?
Mlitaka Israel aendelee kupambana na proxies wa Iran yaani Hezbollah, Hamas na Houth? Wakati anayewawezesha yupo ametulia akiwa na amani?
Akipambana na hao proxies mnasema anaua wanawake na watoto, akipimpiga Iran mnasema mchokozi, mlitaka afanyaje?
Bunafsi nilikuwa nashangaa na kuwaona Usrael ni wendawazimy juhangaika na Hamas, Houth na Hezbollah wbadala ya kumtandika Iran.
Tena Israel ni watu wenye kujali sana, ina makombora yanayokwenda masafa ya mbali kuliko Iran lakini imeamua kutumia zaidi ndege.