Israel imekosea kama Hamas ilivyokosea

Israel imekosea kama Hamas ilivyokosea

Wanasema Israel ni taifa la Mungu lakini inaonekana kama ni taifa Marekani tu. Haimtegemei Mungu kwa Kila kitu bali inamtegemea Marekani kwa Kila kitu, hailindwi na Mungu inalindwa na Marekanani. Je, ni taifa la Mungu?

Hamas walianzisha ugomvi na Israel ikapata sababu ya kupiga hadi Leo. Sasa nayo imemchokoza Iran, je Iran nayo wamepata sababu ya kumtandika Israel?
Unawaza inversely proportional na uhalisia.Aliyekuwa anasema kwa deko na tambo atamfuta mwenzake kwenye uso wa dunia ulishawahi kumsikia?Na wale nchi sita waliotaka kuichakaza Israel mwaka 1968 unawajua?Tafuta jibu ndiyo utajua kwa nini Ina "I" ngapi!
 
Makao makuu ya Mossed yamepigwa, Kuna nini tena hapo
Hayo Makao Makuu ya Mossad ni ya aina gani? Yamejengwa na material yapi? Maana hata October, 2024 iliripotiwa kuwa yamepigwa Kombora na kusambaratishwa kabisa, sasa hivi tena yamepigwa kimbora na kusambaratishwa. Kumbe hayo Makao makuu ya Mossad huwa yakipigwa kombola yanainuka, yanajifuta vumbi ma kuendelea kusubiri kombora lingine?
 
Hayo Makao Makuu ya Mossad ni ya aina gani? Yamejengwa na material yapi? Maana ha October, 2024 iliripotiwa kuwa yamepigwa Kombora na kusambaratishwa kabisa, sasa hivi tena yamepigwa kimbora na kusambaratishwa. Kumbe hayo Makao makuu ya Mossad huwa yakipigwa kombola yanainuka, yanajifuta vumbi ma kuendelea kusubiri kombora lingine?
Anajua Mossad ni jengo huyo CCM sugu.
 
Humu ndani nimeona kuna ujinga mwingi sana katika uletaji wa taarifa. Watu wanaleta taarifa za kuifuta machozi bila kuangalia athari za upotoshaji huo na kwa mtandao wautumiao
Lete taarifa sahihi ulizonazo. Israel kapiga mkwara na marufuku mtu yeyote kupiga picha mabomu yanavyotua na uharibifu unaopatoa, utaupata wapi Ukweli kutoka kwa netanyahu?
 
Lete taarifa sahihi ulizonazo. Israel kapiga mkwara na marufuku mtu yeyote kupiga picha mabomu yanavyotua na uharibifu unaopatoa, utaupata wapi Ukweli kutoka kwa netanyahu?
Kwakuwa amepiga marufuku hiyo haikufanyi wewe uwe muongo muongo

Halafu hakuna popote kwenye hiyo marufuku sababu kila kitu kipo wazi na vyombo vya habari vinaendelea ku report, marufuku iliyotelewa ni ya maofisa na viongozi wa serikali kutoa taarifa pasipo utaratibu au pasipo taarifa kupimwa, hivyo marufuku hiyo wala haihusiani na vyombo vya habari ku report yanayoendelea
 
Wanasema Israel ni taifa la Mungu lakini inaonekana kama ni taifa Marekani tu. Haimtegemei Mungu kwa Kila kitu bali inamtegemea Marekani kwa Kila kitu, hailindwi na Mungu inalindwa na Marekanani. Je, ni taifa la Mungu?

Hamas walianzisha ugomvi na Israel ikapata sababu ya kupiga hadi Leo. Sasa nayo imemchokoza Iran, je Iran nayo wamepata sababu ya kumtandika Israel?
Mungu Akitaka kukuinua hukuinulia watu
Vilevile akitaka kukushusha hukuinulia watu
 
Hakufa lakini, netanyahu Kenda kujificha kusikojulikana. Marekani kasema hawezi kuongizwa kwenye vita vya netanyahu, ameuona mziki wa Iran sio wa kitoto.
Sasa kama anamuamini Allah hatoruhusu bomu kuwapiga alikimbia kwa nn
 
Kwakuwa amepiga marufuku hiyo haikufanyi wewe uwe muongo muongo

Halafu hakuna popote kwenye hiyo marufuku sababu kila kitu kipo wazi na vyombo vya habari vinaendelea ku report, marufuku iliyotelewa ni ya maofisa na viongozi wa serikali kutoa taarifa pasipo utaratibu au pasipo taarifa kupimwa, hivyo marufuku hiyo wala haihusiani na vyombo vya habari ku report yanayoendelea
Upotoshaji huo. Amri waliyopewa wananchi wa Israel ni kuonyesha interceptions ya mabovu ya Iran tu. Hata Al Jazeera imepogwa marufuku kuripoti. Watu wajanja wanaripoti kinishi tu
 
Ayatollah ndiye mchokozi, kautaka mwenyewe maana ndiye mmiliki, mfadhili, mtetezi na mlezi wa makundi yote ya magaidi yanayoshambulia Israel siku zote - Hamas, Hezbollah, Houthi, ISIS, nk.
Mpaka hapo ushafeli.
ISIS ni kundi linalofadhiliwa na USA na Israel wenyewe.
Hamas watetezi wa Palestine, Hizbollah watetezi wa Lebanon na Houthi watetezi wa Yemen.
Ni vichaa kama wewe tu ndio atawaita hao magaidi.
Marekani mwenyewe anawaita hao armed groups sio terrorists.
 
Hayo Makao Makuu ya Mossad ni ya aina gani? Yamejengwa na material yapi? Maana hata October, 2024 iliripotiwa kuwa yamepigwa Kombora na kusambaratishwa kabisa, sasa hivi tena yamepigwa kimbora na kusambaratishwa. Kumbe hayo Makao makuu ya Mossad huwa yakipigwa kombola yanainuka, yanajifuta vumbi ma kuendelea kusubiri kombora lingine?
Kwani hayawezi kujengeka??
Mbona swali la kijinga hili?
 
Back
Top Bottom