Israel imekosea kama Hamas ilivyokosea

Israel imekosea kama Hamas ilivyokosea

Gharama ya kujenga miundombinu ya majengo na barabara ni ndogo sana

Irani anapigwa kwenye uwekezaji wa miaka na miaka ambayo itamchukua tena miaka kuisimamisha

IRAN anapigwa kwenye mshono tu
 
🚮
Msikilize hapa Trump akitangaza mafanikio ya kuua kiongozi mkuu wa hilo kundi la kigaidi la Kobaz ISIS, Ustaadh ABU BAKR AL-BAGHDADI..


View: https://youtu.be/zdZ9C_IrAD8?si=vCVB1TtZsrK3SMTP

Endelea kudanganyika na propaganda za wamagharibi.
Hao ISIS waliwahi kupokelewa na kutibiwa na Netanyahu.
Ila ndio hivyo wakikutumia wakiona huna thamani wanakupa jina baya wakuue basi.
Rais mpya wa Syria alikua Gaidi most wanted wa Al Qaeda.
Leo hii amekubalika na USA hao hao.
 
Hao ISIS waliwahi kupokelewa na kutibiwa na Netanyahu.
Huo siyo uthibitisho. Hata muuaji wa kawaida akiumwa anatibiwa.
Leta proof kuwa ISIS, al Qaeda, nk yanamilikiwa na US !!

Ogopa sana porojo za vijiweni maana 99% ni uongo, uzushi
 
Huo siyo uthibitisho. Hata muuaji wa kawaida akiumwa anatibiwa.
Leta proof kuwa ISIS, al Qaeda, nk yanamilikiwa na US !!

Ogopa sana porojo za vijiweni maana 99% ni uongo, uzushi
Huna unachojua wewe.
ISIS walifunguliwa mlango na Israel na wakatibiwa unasema stori za vijiweni??
Na Netanyahu aliwatembelea kabisa na kuwapa pole?
Embu kamsikilize Hillary Clintona juu ya makundi ya kiasi waliyoyaunda CIA wenyewe.
Katafute video yake hata You tube ipo.
 
Huo siyo uthibitisho. Hata muuaji wa kawaida akiumwa anatibiwa.
Leta proof kuwa ISIS, al Qaeda, nk yanamilikiwa na US !!

Ogopa sana porojo za vijiweni maana 99% ni uongo, uzushi
You're so naive.

Ukiambiwa Sadam Hussein kasaidiwa sana na Marekani wakati wa vita ya Iraq na Iran, lakini baadaye kaja kunyongwa na hao hao Marekani utasema ni porojo za vijiweni.

Al Qaeda ya Osama kusaidiwa na kufadhiliwa na Marekani Al Qaeda wakipambana na USSR Afghanistan nayo utasema porojo.
 
Unawaza inversely proportional na uhalisia.Aliyekuwa anasema kwa deko na tambo atamfuta mwenzake kwenye uso wa dunia ulishawahi kumsikia?Na wale nchi sita waliotaka kuichakaza Israel mwaka 1968 unawajua?Tafuta jibu ndiyo utajua kwa nini Ina "I" ngapi!
Kauli hai, bado haijafutwa. Na ikiwa Israel itashindwa kuiangamiza Iran wakati huu basi Iran itaiangamiza Israel wakati ujao.
 
Mkuu hudhani kuwa hapa vita ilipofikia ndipo Israel ilipopataka ili kutimiza lengo lake? Sidhani kwamba tukio Israel ililolifanya ilitegemea Iran ikae kimya. Halafu ukishaona 🇺🇸 inaanza kutoa matangazo kuwa imekataa mtu fulani sijui asiuawe mara nyingi linakuwa kinyume chake. Tusibiri tuone.
Kaka sio rahisi hivyo. Nyuma ya Israel yapo mataifa yenye nguvu na nyuma ya Iran yapo mataifa yenye nuclear. Lakini Iran inajiweza wenyewe na mafuta na gesi inayokwenda nchi za Ulaya yanapita Iran na Israel. Mzozo sio rahisi huu , hata wazungu wamechanganyikiwa, hawakukua Iran Ina uwezo mkubwa kiasi hiki

Kula chuma hicho:
View: https://youtu.be/vYeZxJ6xGeg?si=Cc0CYQWcxoJkuA_y
 
Naongezea hivi kwanini waislamu wawe wengi Isreal kuliko idadi ya wakristo?
Ni nchi ya waislam, finito. Nyingine ni Alfu Lela Ulela. Sawa na Rwanda kudai Goma ni sehemu ya Rwanda, wanaitaka. Kama Kila watu watadai maeneo yao ya asili kabla ya uvamizi wa wakoloni hata Marekani itafutika, sio kwao. Israel pekee iliachiwa ifanye ujinga huo. Na kama tukiruhusu ujinga huo huu wa Israel wa kukalia nchi ya Palestine kuwa ni eneo lao la asili, nasi ukanda wote wa maili 100 pwani ya bahari ya Hindi ya Afrika Mashariki ni mali ya Zanzibar, yaani Mkoa wa pwani na morogoro, Tanga na Mtwara ni Zanzibar.
 
Wanasema Israel ni taifa la Mungu lakini inaonekana kama ni taifa Marekani tu. Haimtegemei Mungu kwa Kila kitu bali inamtegemea Marekani kwa Kila kitu, hailindwi na Mungu inalindwa na Marekanani. Je, ni taifa la Mungu?

Hamas walianzisha ugomvi na Israel ikapata sababu ya kupiga hadi Leo. Sasa nayo imemchokoza Iran, je Iran nayo wamepata sababu ya kumtandika Israel?
Imeandikwa jisaidie NAMI nitakusaidia
 
Asipo chapika Israel katika vita hii nitaamini kweli Israel ni Taifa la Mungu

Maana kitendo Cha kigaidi walicho kifanya Israel kuuwa viongozi wa Iran kinampa Iran haki ya kuishambulia Israel anavyotaka
 
Ni nchi ya waislam, finito. Nyingine ni Alfu Lela Ulela. Sawa na Rwanda kudai Goma ni sehemu ya Rwanda, wanaitaka. Kama Kila watu watadai maeneo yao ya asili kabla ya uvamizi wa wakoloni hata Marekani itafutika, sio kwao. Israel pekee iliachiwa ifanye ujinga huo. Na kama tukiruhusu ujinga huo huu wa Israel wa kukalia nchi ya Palestine kuwa ni eneo lao la asili, nasi ukanda wote wa maili 100 pwani ya bahari ya Hindi ya Afrika Mashariki ni mali ya Zanzibar, yaani Mkoa wa pwani na morogoro, Tanga na Mtwara ni Zanzibar.
Waisrael wapo 9.8 MILION Wanaoamini Uislamu 1.77 MILION
Ukristo 190000
Wayahudi wenyew 7.2
Druze na wengine 700000 sasa nani kakwambia ISRAEL waislamu Wengi Tena kwa taarifa Yako katika Muislam hapewi course ya ukomando ni Wayahudi wenyew wanaomuamini Yelohim au Adonai au Emmanuel au ELISHEDHAI
 
Asipo chapika Israel katika vita hii nitaamini kweli Israel ni Taifa la Mungu

Maana kitendo Cha kigaidi walicho kifanya Israel kuuwa viongozi wa Iran kinampa Iran haki ya kuishambulia Israel anavyotaka
Israel wana mungu wao wa vita ambaye ni Marekani.
 
Back
Top Bottom