Isome kwa tafakuri

Isome kwa tafakuri

KWA WANASIASA

Kupiga kura kumchagua mtu haina maslahi kwangu hata kidogo
Wacha niishi kwa misingi imara ya kumtumikia muumba wangu aliyesema

"sikuumba watu na majini ila wapate kuniabudu"

Watawale milele au miaka 05 mie kwangu poa tu na huwa sipigi kura maana wanasiasa ni wale wale tu siku zote

Hata ukimwambia tuna shida jimboni ni mpaka umsujudie ndipo akukumbuke yeye anawaza kujilimbikizia mali itakayomfaa milele.
 
There is a place you long for God to come down to punish people right away but God lets a bad man do what he believes he will one day turn away from evil and repent, if you do not decide to stop sinning against God then anger comes and can erase the family and even be known, I write The greatest pain for what I hear and see makes me feel it is not this Tanzania that was a country of happiness and peace as we traveled to our fellow countries saying you came from Tanzania.

God help a young Ugandan recover from a bad payday, not today or tomorrow, but that payment has never been so shameful.
 
Mmhh inatisha, nikiangalia maandalizi yanayo fanywa hapa kwetu ni dhahiri sasa tunaye mkuu wa kukaa maisha yake yote kwenye madaraka.
Kiki za mikopo kibwagizo tunatumia vyetu wrnyewe.
Vijana wa uvccm wako kwenye makambi yao wanajiandaa.
 
Ma.boya sana sisi tunaumizana kwa sababu ya wanasiasa ambao wananeemeka mara 100 ya kwetu.

Walomchoma huyu utakuta hawana uhakika hata wa usalama wao wenyewe na pengine hawajalipwa hata bonus.

We are are so busy boosting those m.fvck egos on own expenses.
Hao tunao wapigania wana bima hadi za maisha wakifa wao familia ziko vizuri. Then hata kikinuka wote watalindwa hata na ubalozi.

Wengine kesho wako Dodoma watapiga meza siku mbili wataondoka na vyao.

Dada zenu wamesoma vidigrii sasa inabidi wadange kupata kazi.
Yule kaka ako mwalimu anaishi kwa mikopo miaka nenda rudi.
Yule dada ako kawa daktari mkajua mmetoboa anaishi kwa stress.
Vikampuni uchwara vyote chali.
Na kuna wenzangu na mie humu mama zao wapo vijijini mpaka leo wanatumia kuni.
Mkachimbe hata visima kwenu muwapumzishe mama wenu kuliko kutumwa kwenda kumuumiza maskini wa Mungu.
 
Mmhh inatisha, nikiangalia maandalizi yanayo fanywa hapa kwetu ni dhahiri sasa tunaye mkuu wa kukaa maisha yake yote kwenye madaraka.
Kiki za mikopo kibwagizo tunatumia vyetu wrnyewe.
Wakwetu mjanja, katumbua kote majeshi kaacha, na mshahara kawaongeza ili wamlinde.
 
Meza inageuka adui wa afrika anakua muafrika mwenyewe
 
Hawa madikteta wa Eastafrica wao wanaona kua nchi mali yao heri wajigeuze wafalme waendelee kutawala milele,m7,jiwe,kagame,nkuruzinza ndio wanateka na kuua wapinzani kila uchwao
Kasumba Bekar, kijana mwenye umri wa miaka 21, mfuasi wa Bobi Wine na mmoja wa vijana wanaomkosoa Rais Yoweri Museveni mitandaoni, alitekwa juzi na watu wasiojulikana. Leo ameokotwa eneo la Kasanda (nje kidogo ya jiji la Kampala) akiwa amepigwa hadi kupoteza fahamu, na mikononi amepigiwa misumari.

Huyu ni mfuasi mwingine wa Bobi Wine kufanyiwa vitendo vya kikatili na watu wasiojulikana katika kipindi cha hivi karibuni. August 5 mwaka huu mwanamuziki Ziggy Wine, ambaye alikua akifanya kazi kwenye label ya Bobi nae alitekwa, kupigwa na kutobolewa macho, siku chache baada ya kuandika mtandaoni kuwa Rais Museveni hana tena uhalali wa kuongoza nchi hiyo. Ziggy aliokotwa akiwa mahututi lakini alifariki siku chache baadae.

Bobi Wine ametuhumu vyombo vya usalama kuhusika na vitendo hivyo vya kikatili, lakini Polisi nchini Uganda wamekanusha madai hayo na kusema wanawatafuta wahalifu wanaofanya vitendo hivyo ili kuwafikisha mahakamani.!
 
Back
Top Bottom