Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,471
- 272,048
kabisa mkuu !Wakati si milele... Ni lazima tupitie haya
kabisa mkuu !Wakati si milele... Ni lazima tupitie haya
Kweli Musiba naanza kumuamini. Alisema Jf kuna watu wana account zaidi ya sita, huyo huyo anaanzisha, ana comment na kuji like mwenyewe. Kama huu uzi huu! Kaanzisha m1 na anaji like mwenyewe kwa account tofauti, duh!Real! Huyu Magufuli asipodhibitiwa Mapeema ataenda Kwenye Utawa wa Milele like their friends, very bady!
We should wakeup although it is very Difficult for Tanzanians to do so.
Dddaaaahh true brother...aliye mtia UMASIKINI(wa kifikra) Afrika analia kwa yanayomsibu..
asante kwakujitambuaDuh...!, like father like son, like mother like daughter, like neighbor like....?
P
KWA WANASIASA
Kupiga kura kumchagua mtu haina maslahi kwangu hata kidogo
Wacha niishi kwa misingi imara ya kumtumikia muumba wangu aliyesema
"sikuumba watu na majini ila wapate kuniabudu"
Watawale milele au miaka 05 mie kwangu poa tu na huwa sipigi kura maana wanasiasa ni wale wale tu siku zote
Hata ukimwambia tuna shida jimboni ni mpaka umsujudie ndipo akukumbuke yeye anawaza kujilimbikizia mali itakayomfaa milele.
wakati wa mkutano wa SADC nilisema kile ni kijiwe cha wajinga kukumbushana namna ya kufanya ujinga zaidi. viongozi wa Africa ni wajinga na wapuuzi wanaojificha kwenye suti na mbwembwe za ulinzi mkubwa. yanyofanyika uganda ni kama hapa tu wameuliwa watu wengi sana kisiju. kwamba mtu anajinasibu kwa kupiga push up akidhani ndio utimamu wa mwiliKasumba Bekar, kijana mwenye umri wa miaka 21, mfuasi wa Bobi Wine na mmoja wa vijana wanaomkosoa Rais Yoweri Museveni mitandaoni, alitekwa juzi na watu wasiojulikana. Leo ameokotwa eneo la Kasanda (nje kidogo ya jiji la Kampala) akiwa amepigwa hadi kupoteza fahamu, na mikononi amepigiwa misumari.
Huyu ni mfuasi mwingine wa Bobi Wine kufanyiwa vitendo vya kikatili na watu wasiojulikana katika kipindi cha hivi karibuni. August 5 mwaka huu mwanamuziki Ziggy Wine, ambaye alikua akifanya kazi kwenye label ya Bobi nae alitekwa, kupigwa na kutobolewa macho, siku chache baada ya kuandika mtandaoni kuwa Rais Museveni hana tena uhalali wa kuongoza nchi hiyo. Ziggy aliokotwa akiwa mahututi lakini alifariki siku chache baadae.
Bobi Wine ametuhumu vyombo vya usalama kuhusika na vitendo hivyo vya kikatili, lakini Polisi nchini Uganda wamekanusha madai hayo na kusema wanawatafuta wahalifu wanaofanya vitendo hivyo ili kuwafikisha mahakamani.!
Mshana Jr, heshima kwako mkuu.
Kuwa mpinzani ni vita vya kiroho, kimwili na kiuchumi pia.
Ukombozi wowote una gharama, tutavumilia kadhia na mateso yote, lakini mwisho utafika.
Hata kama sio leo, utawala dhalimu lazima utoke madarakani.
Kagame atatoka kwa aibu, Museveni atatoka kwa aibu, Bobby Wine is a small axe, and Museveni is a big tree.
Kaka kibaka dhulumati naye lazima atoke.
Wapi Mugabe, Samuel Doe, Al Bashiri na wahuni wengi walio jiona kwamba wamezaliwa ili kutesa wenzao?
Nyie 2020 mnawekewa box la kura maisha yanaendelea hadi 2025 mtapiletewa Chuma kingine mnasahau mazima
Naikumbuka sana mada yako ile... Na sasa naielwa vizuri sana katika uhalisia wakewakati wa mkutano wa SADC nilisema kile ni kijiwe cha wajinga kukumbushana namna ya kufanya ujinga zaidi. viongozi wa Africa ni wajinga na wapuuzi wanaojificha kwenye suti na mbwembwe za ulinzi mkubwa. yanyofanyika uganda ni kama hapa tu wameuliwa watu wengi sana kisiju. kwamba mtu anajinasibu kwa kupiga push up akidhani ndio utimamu wa mwili
KIJANA ALIYEPIGWA KULE MAKAMBAKO KWA AMRI ZAKE ZA KIPUMBAVU NA UBABE ATAMFUATA HADI KABURINI.
TUNDU LISU ALISHAMBULIWA KWA AMRI ZAKE ZA KISHETANI AKIJIDAI RAISI MZALENDO KUMBE MWIZI TU
OMG! Ukatili ulioje?Kasumba Bekar, kijana mwenye umri wa miaka 21, mfuasi wa Bobi Wine na mmoja wa vijana wanaomkosoa Rais Yoweri Museveni mitandaoni, alitekwa juzi na watu wasiojulikana. Leo ameokotwa eneo la Kasanda (nje kidogo ya jiji la Kampala) akiwa amepigwa hadi kupoteza fahamu, na mikononi amepigiwa misumari.
Huyu ni mfuasi mwingine wa Bobi Wine kufanyiwa vitendo vya kikatili na watu wasiojulikana katika kipindi cha hivi karibuni. August 5 mwaka huu mwanamuziki Ziggy Wine, ambaye alikua akifanya kazi kwenye label ya Bobi nae alitekwa, kupigwa na kutobolewa macho, siku chache baada ya kuandika mtandaoni kuwa Rais Museveni hana tena uhalali wa kuongoza nchi hiyo. Ziggy aliokotwa akiwa mahututi lakini alifariki siku chache baadae.
Bobi Wine ametuhumu vyombo vya usalama kuhusika na vitendo hivyo vya kikatili, lakini Polisi nchini Uganda wamekanusha madai hayo na kusema wanawatafuta wahalifu wanaofanya vitendo hivyo ili kuwafikisha mahakamani.!
Dah!
Sidhani kama inawezekana kwenye nchi hii!!Mmhh inatisha, nikiangalia maandalizi yanayo fanywa hapa kwetu ni dhahiri sasa tunaye mkuu wa kukaa maisha yake yote kwenye madaraka.
Kiki za mikopo kibwagizo tunatumia vyetu wrnyewe.