Isome kwa tafakuri

Isome kwa tafakuri

Real! Huyu Magufuli asipodhibitiwa Mapeema ataenda Kwenye Utawa wa Milele like their friends, very bady!
We should wakeup although it is very Difficult for Tanzanians to do so.
Kweli Musiba naanza kumuamini. Alisema Jf kuna watu wana account zaidi ya sita, huyo huyo anaanzisha, ana comment na kuji like mwenyewe. Kama huu uzi huu! Kaanzisha m1 na anaji like mwenyewe kwa account tofauti, duh!
 
Hawa madikteta wa Eastafrica wao wanaona kua nchi mali yao heri wajigeuze wafalme waendelee kutawala milele,m7,jiwe,kagame,nkuruzinza ndio wanateka na kuua wapinzani kila uchwao
Kuna mmoja hujamtaja
 
They extend terms of ruling not because of having new ideas, or things to accomplish, but fears of repercussions.
 
KWA WANASIASA

Kupiga kura kumchagua mtu haina maslahi kwangu hata kidogo
Wacha niishi kwa misingi imara ya kumtumikia muumba wangu aliyesema

"sikuumba watu na majini ila wapate kuniabudu"

Watawale milele au miaka 05 mie kwangu poa tu na huwa sipigi kura maana wanasiasa ni wale wale tu siku zote

Hata ukimwambia tuna shida jimboni ni mpaka umsujudie ndipo akukumbuke yeye anawaza kujilimbikizia mali itakayomfaa milele.

Huu Ukweli watu wengi hawawezi kuuona kabisa,isipokuwa wachache waliorehemewa na Mola na wenye kutafakari mambo kwa yakini na maarifa. Kuna watu huwa wanaona ukombozi kwa wenzao ni jukumu lao tena kwa misingi ya kidemokrasia ndio kazi yao iliyowafanya waumbwe na kuishi. Hapa huwa wanajidanganya sana.

Sisi watu tunaopenda dini huwa tuna omba amani tu,ili shughuli zetu ziende vizuri,wake zetu waishi,watoto wasome,ibada zetu ziende vyema na kwa utulivu muda wa kifo ufike tuitwe MWENDA ZAKE.

Watu akili hawana,unajua Mola wetu anajua sana kupangilia mambo,kila jambo lina asili yake.

Nasema hivi :

"MSITEGEMEE KUPATA VIONGOZI MUADILIFU HALI YA KUWA NYINYI RAIA WENYEWE NI WAJINGA WAJINGA NA WAOVU KUPITA KIASI,MOLA ANAWAWEKEA VIONGOZI WA MFANO WENU ILI KUWANYOOSHA"

Huu Ukweli utafika mpaka Magharibi ya mbali.
 
Kasumba Bekar, kijana mwenye umri wa miaka 21, mfuasi wa Bobi Wine na mmoja wa vijana wanaomkosoa Rais Yoweri Museveni mitandaoni, alitekwa juzi na watu wasiojulikana. Leo ameokotwa eneo la Kasanda (nje kidogo ya jiji la Kampala) akiwa amepigwa hadi kupoteza fahamu, na mikononi amepigiwa misumari.

Huyu ni mfuasi mwingine wa Bobi Wine kufanyiwa vitendo vya kikatili na watu wasiojulikana katika kipindi cha hivi karibuni. August 5 mwaka huu mwanamuziki Ziggy Wine, ambaye alikua akifanya kazi kwenye label ya Bobi nae alitekwa, kupigwa na kutobolewa macho, siku chache baada ya kuandika mtandaoni kuwa Rais Museveni hana tena uhalali wa kuongoza nchi hiyo. Ziggy aliokotwa akiwa mahututi lakini alifariki siku chache baadae.

Bobi Wine ametuhumu vyombo vya usalama kuhusika na vitendo hivyo vya kikatili, lakini Polisi nchini Uganda wamekanusha madai hayo na kusema wanawatafuta wahalifu wanaofanya vitendo hivyo ili kuwafikisha mahakamani.!
wakati wa mkutano wa SADC nilisema kile ni kijiwe cha wajinga kukumbushana namna ya kufanya ujinga zaidi. viongozi wa Africa ni wajinga na wapuuzi wanaojificha kwenye suti na mbwembwe za ulinzi mkubwa. yanyofanyika uganda ni kama hapa tu wameuliwa watu wengi sana kisiju. kwamba mtu anajinasibu kwa kupiga push up akidhani ndio utimamu wa mwili
KIJANA ALIYEPIGWA KULE MAKAMBAKO KWA AMRI ZAKE ZA KIPUMBAVU NA UBABE ATAMFUATA HADI KABURINI.
TUNDU LISU ALISHAMBULIWA KWA AMRI ZAKE ZA KISHETANI AKIJIDAI RAISI MZALENDO KUMBE MWIZI TU
 
Mshana Jr, heshima kwako mkuu.
Kuwa mpinzani ni vita vya kiroho, kimwili na kiuchumi pia.
Ukombozi wowote una gharama, tutavumilia kadhia na mateso yote, lakini mwisho utafika.
Hata kama sio leo, utawala dhalimu lazima utoke madarakani.
Kagame atatoka kwa aibu, Museveni atatoka kwa aibu, Bobby Wine is a small axe, and Museveni is a big tree.
Kaka kibaka dhulumati naye lazima atoke.
Wapi Mugabe, Samuel Doe, Al Bashiri na wahuni wengi walio jiona kwamba wamezaliwa ili kutesa wenzao?
Nyie 2020 mnawekewa box la kura maisha yanaendelea hadi 2025 mtapiletewa Chuma kingine mnasahau mazima
 
wakati wa mkutano wa SADC nilisema kile ni kijiwe cha wajinga kukumbushana namna ya kufanya ujinga zaidi. viongozi wa Africa ni wajinga na wapuuzi wanaojificha kwenye suti na mbwembwe za ulinzi mkubwa. yanyofanyika uganda ni kama hapa tu wameuliwa watu wengi sana kisiju. kwamba mtu anajinasibu kwa kupiga push up akidhani ndio utimamu wa mwili
KIJANA ALIYEPIGWA KULE MAKAMBAKO KWA AMRI ZAKE ZA KIPUMBAVU NA UBABE ATAMFUATA HADI KABURINI.
TUNDU LISU ALISHAMBULIWA KWA AMRI ZAKE ZA KISHETANI AKIJIDAI RAISI MZALENDO KUMBE MWIZI TU
Naikumbuka sana mada yako ile... Na sasa naielwa vizuri sana katika uhalisia wake
 
Kasumba Bekar, kijana mwenye umri wa miaka 21, mfuasi wa Bobi Wine na mmoja wa vijana wanaomkosoa Rais Yoweri Museveni mitandaoni, alitekwa juzi na watu wasiojulikana. Leo ameokotwa eneo la Kasanda (nje kidogo ya jiji la Kampala) akiwa amepigwa hadi kupoteza fahamu, na mikononi amepigiwa misumari.

Huyu ni mfuasi mwingine wa Bobi Wine kufanyiwa vitendo vya kikatili na watu wasiojulikana katika kipindi cha hivi karibuni. August 5 mwaka huu mwanamuziki Ziggy Wine, ambaye alikua akifanya kazi kwenye label ya Bobi nae alitekwa, kupigwa na kutobolewa macho, siku chache baada ya kuandika mtandaoni kuwa Rais Museveni hana tena uhalali wa kuongoza nchi hiyo. Ziggy aliokotwa akiwa mahututi lakini alifariki siku chache baadae.

Bobi Wine ametuhumu vyombo vya usalama kuhusika na vitendo hivyo vya kikatili, lakini Polisi nchini Uganda wamekanusha madai hayo na kusema wanawatafuta wahalifu wanaofanya vitendo hivyo ili kuwafikisha mahakamani.!
OMG! Ukatili ulioje?
 
Kuna mambo yanasiktisha sana...

Serikali za Africa zote ni pasua kichwa...


Cc: mahondaw
 
Ushauri mzuri ni huu. Kama una kazi au biashara, ifanye halafu jioni uende nyumbani ukaione familia. Full stop. Mambo mengine achana nayo.
 
Mmhh inatisha, nikiangalia maandalizi yanayo fanywa hapa kwetu ni dhahiri sasa tunaye mkuu wa kukaa maisha yake yote kwenye madaraka.
Kiki za mikopo kibwagizo tunatumia vyetu wrnyewe.
Sidhani kama inawezekana kwenye nchi hii!!
Ni hofu tu ya yasiyojulikana.
Miaka kumi ikiisha anasepa zake otherwise wao wenyewe ccm watatifuana huko ndani..
 
Back
Top Bottom