Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,035
- 828,828
- Thread starter
- #21
Nimekuelewa vema... Basi acha tu pongezi zangu kwao nisizibatilishe naweza kuwekwa kwenye kundi la watumwa na mabeberuMawakili wetu walikuwa wasikilizaji tu kazi imefanywa na yule sa. Sidhani kama wakili anaweza kufanya kazi za uwakili katika nchi nyingine bila kuwa registered kule. Pia bado hatujaambiwa ukweli halisi mazingira ya kuachiwa ndege yetu ndio maana tumesitisha safari za huko kwa kisingizio cha vurugu



