Isiwe furaha ya muda tuu

Isiwe furaha ya muda tuu

Hili la wazee wa EAC linatisha saana,ni vizuri kuwauliza wenye kumjua na kumuogopa MWENYEZIMUNGU ni nini madhara yake.Kuna mtu anaandika saana jinsi Karma inavyotukula sisi walimwengu.
 
Hii ngoma bado mbichi sana... Ndege imerudi lakini deni bado liko pale pale na linazidi kuongezeka kutokana na riba
Bwana stein kadhamiria... Hata kama hatakata rufaa south Africa bado kuna mahakama ya Africa anaweza kukimbilia huko na bado kuna mahakama ya haki za binadamu
Nyie watu mnahangaika mpaka mnatia huruma
Hizo wishful thinking zenu,mmezigeuza kuwa washauri wa mkulima
Mzungu hawezi kupata kitu mpaka arudi mahakama kuu
Kosa alilofanya ni kuacha arbitration,na kusajili makubaliano mapya mahakama kuu
Hakuna mahakama yoyote duniani inayoweza kukamata mali za serikali kwa kutumia hukumu ya nchi ingine,labda ingekua MIGA ya Tundu lissu
Halafu aliekwambia matako ya sufuria yanaogopa moto ni nani?
Mawakili bingwa kama hawa wataogopaje kushitakiwa
Palamagamba Kabudi_FM
DR Ndumbaro~DFM
Professor Kilangi~AG
Dr Ally Possi~DAG
Na wengineo sijawataja,unashindwaje kesi ukiwa na timu kali kama hiyo
 
Nyie watu mnahangaika mpaka mnatia huruma
Hizo wishful thinking zenu,mmezigeuza kuwa washauri wa mkulima
Mzungu hawezi kupata kitu mpaka arudi mahakama kuu
Kosa alilofanya ni kuacha arbitration,na kusajili makubaliano mapya mahakama kuu
Hakuna mahakama yoyote duniani inayoweza kukamata mali za serikali kwa kutumia hukumu ya nchi ingine,labda ingekua MIGA ya Tundu lissu
Halafu aliekwambia matako ya sufuria yanaogopa moto ni nani?
Mawakili bingwa kama hawa wataogopaje kushitakiwa
Palamagamba Kabudi_FM
DR Ndumbaro~DFM
Professor Kilangi~AG
Dr Ally Possi~DAG
Na wengineo sijawataja,unashindwaje kesi ukiwa na timu kali kama hiyo
Duu shuzi limepata mjambaji.... Matako yote pwiii puuu.... Pwiii puu... Pwiii puu
 
mshana Jr heshima yako kiongozi,kama hutojali naomba unipm mkuu,mm device yangu inagoma kuanzisha convesation.Sorry kwa usumbufu.
 
Huyo musiba kwa kauli zake zile hivi ni kwamba ana daw ambazo serikali haimuoni tunamuona tuu sisi wana nji? Au labda ni Mzimu
 
Nyie watu mnahangaika mpaka mnatia huruma
Hizo wishful thinking zenu,mmezigeuza kuwa washauri wa mkulima
Mzungu hawezi kupata kitu mpaka arudi mahakama kuu
Kosa alilofanya ni kuacha arbitration,na kusajili makubaliano mapya mahakama kuu
Hakuna mahakama yoyote duniani inayoweza kukamata mali za serikali kwa kutumia hukumu ya nchi ingine,labda ingekua MIGA ya Tundu lissu
Halafu aliekwambia matako ya sufuria yanaogopa moto ni nani?
Mawakili bingwa kama hawa wataogopaje kushitakiwa
Palamagamba Kabudi_FM
DR Ndumbaro~DFM
Professor Kilangi~AG
Dr Ally Possi~DAG
Na wengineo sijawataja,unashindwaje kesi ukiwa na timu kali kama hiyo
Wewe ni taahira ila bado haujajitambua
 
Je Ni kweli xenophobia ndio imesitisha safari zetu SA ni woga wa kesi maana Bado IPO mahakamani????
MUDA UTASEMA.
 
Uko sahihi mkuu. Hebu fikiria hili: eti umeshinda kesi lakini gharama za kesi pia uzilipe wewe. Kuna mambo hayajakaa sawa lakini bora ndege imerudi.

Honesty (ukweli) ni bidhaa hadimu katika uongozi wa nchi zetu hizi.
Tazama hapa halafu utuambie nani anapaswa kulipia gharama za uendeshaji wa kesi hiyo?
Screenshot_20190907-073821.jpeg
Screenshot_20190907-074804.jpeg
 
Back
Top Bottom