Nyie watu mnahangaika mpaka mnatia hurumaHii ngoma bado mbichi sana... Ndege imerudi lakini deni bado liko pale pale na linazidi kuongezeka kutokana na riba
Bwana stein kadhamiria... Hata kama hatakata rufaa south Africa bado kuna mahakama ya Africa anaweza kukimbilia huko na bado kuna mahakama ya haki za binadamu
Duu shuzi limepata mjambaji.... Matako yote pwiii puuu.... Pwiii puu... Pwiii puuNyie watu mnahangaika mpaka mnatia huruma
Hizo wishful thinking zenu,mmezigeuza kuwa washauri wa mkulima
Mzungu hawezi kupata kitu mpaka arudi mahakama kuu
Kosa alilofanya ni kuacha arbitration,na kusajili makubaliano mapya mahakama kuu
Hakuna mahakama yoyote duniani inayoweza kukamata mali za serikali kwa kutumia hukumu ya nchi ingine,labda ingekua MIGA ya Tundu lissu
Halafu aliekwambia matako ya sufuria yanaogopa moto ni nani?
Mawakili bingwa kama hawa wataogopaje kushitakiwa
Palamagamba Kabudi_FM
DR Ndumbaro~DFM
Professor Kilangi~AG
Dr Ally Possi~DAG
Na wengineo sijawataja,unashindwaje kesi ukiwa na timu kali kama hiyo















Wewe ni taahira ila bado haujajitambuaNyie watu mnahangaika mpaka mnatia huruma
Hizo wishful thinking zenu,mmezigeuza kuwa washauri wa mkulima
Mzungu hawezi kupata kitu mpaka arudi mahakama kuu
Kosa alilofanya ni kuacha arbitration,na kusajili makubaliano mapya mahakama kuu
Hakuna mahakama yoyote duniani inayoweza kukamata mali za serikali kwa kutumia hukumu ya nchi ingine,labda ingekua MIGA ya Tundu lissu
Halafu aliekwambia matako ya sufuria yanaogopa moto ni nani?
Mawakili bingwa kama hawa wataogopaje kushitakiwa
Palamagamba Kabudi_FM
DR Ndumbaro~DFM
Professor Kilangi~AG
Dr Ally Possi~DAG
Na wengineo sijawataja,unashindwaje kesi ukiwa na timu kali kama hiyo
Nitajitambuaje wakati umeshanigundua ni taahiraWewe ni taahira ila bado haujajitambua
Naamini katoa angalizo kwa muda sahihi.Kama "kikundi" chenye mamlaka hakitatumia akili na busara,bw.Steyn atapiga hat-tricks tani yake kila mechi.Itakuwa kilio.Unatumika na mabeberu
Endeleza utaahira wako huo maana CCM lumumba sifa ni kujitoa ufahamuNitajitambuaje wakati umeshanigundua ni taahira
Tazama hapa halafu utuambie nani anapaswa kulipia gharama za uendeshaji wa kesi hiyo?Uko sahihi mkuu. Hebu fikiria hili: eti umeshinda kesi lakini gharama za kesi pia uzilipe wewe. Kuna mambo hayajakaa sawa lakini bora ndege imerudi.
Honesty (ukweli) ni bidhaa hadimu katika uongozi wa nchi zetu hizi.


Dah...kichwa kimoja?...niguse unukeKichwa kimoja kinasumbua taifa zima.....Ningekuwa Kim Jong Un ningetest kombora moja lipite South Africa kisha lirudi Marekani road
![]()



