Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 338
- 891
Kumekuwa na tetesi kuwa timu kubwa vigogo hapa nchini za Simba na Yanga zote zinaiwania saini ya straika Simon Msuva.
Msuva yupo nchini tangu mwezi Juni mwaka huu, baada ya kumaliza mkataba na klabu yake ya Al-Qadsiah, ya Saudi Arabia.
Yanga imeripotiwa kurdi tena upya kufanya mazungumzo nae ili kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji ya klabu hiyo kabla ya dirisha la usajili la Ligi Kuu Tanzania Bara halijafungwa, hapo Agosti 31.
Endapo Yanga itafanikiwa kupata saini ya Msuva basi ataruhusiwa kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika, kuanzia hatua ya makundi.
Simba yenyewe hadi sasa inaruhusiwa na CAF kusajili hadi Agosti 31, huku ikidaiwa kuwa wako katika mpango wa kumsainisha.
JE KATIKA VITA HII NI GSM AU MO DEWJI NANI KUIBUKA MSHINDI
Msuva yupo nchini tangu mwezi Juni mwaka huu, baada ya kumaliza mkataba na klabu yake ya Al-Qadsiah, ya Saudi Arabia.
Yanga imeripotiwa kurdi tena upya kufanya mazungumzo nae ili kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji ya klabu hiyo kabla ya dirisha la usajili la Ligi Kuu Tanzania Bara halijafungwa, hapo Agosti 31.
Endapo Yanga itafanikiwa kupata saini ya Msuva basi ataruhusiwa kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika, kuanzia hatua ya makundi.
Simba yenyewe hadi sasa inaruhusiwa na CAF kusajili hadi Agosti 31, huku ikidaiwa kuwa wako katika mpango wa kumsainisha.
JE KATIKA VITA HII NI GSM AU MO DEWJI NANI KUIBUKA MSHINDI