Ishu ya Kitilya(TRA) kuibua wengi sana, wengine tusiowategemea!

Ishu ya Kitilya(TRA) kuibua wengi sana, wengine tusiowategemea!

Ccm hyo hiyo iliyotufikisha hapa,ndo mnategemea iwaletee chenjez,mnaota nyinyi..
Mkululu jiwe mwenyw mpigaji tu unafkr kwanini hazina kamuweka dotto mpwa wake???¿
System za kulindana kwa kupeana ulaji,mwizi mpiga mwizi akijinadi sio mwz
 
Le Profeseri mwenyewe anakwea mipipa tu kama hayamuhusu vile. Mikataba ya kuchota rasilimali za nchi kwenda kwa wachina iwekwe wazi

Ukweli ndio huo wengi wanateseka kwasababu walikuwa punda wa Kikwete ; yeye kakaa pembeni huku wakina Mattaka wanaumia!!
 
Back
Top Bottom