Yana sentensi moja aliyosema Lissu inayo endana na headline yako tafadhari ...Nimesikiliza,Nimeelewa na Nikashangaa sana....
Taja sentensi moja aliyosema Lissu inayo endana na headline yako tafadhari ...Nimesikiliza,Nimeelewa na Nikashangaa sana....
Nimejongea kwenye mjadala, maswali yangu hujayajibu.Nimechokoza mjadala ili tujadili inawezekana ni hofu yangu tu ila nafikiri ni sahihi kuhoji uelekeo wake wa kisiasa isije kuwa kesha hama kambi
Maswali ya kijinga!Nimemsikiliza Tundu Lissu akihojiwa na mwandishi wa BBC
Nimeshtuka sana baada ya kugundua kwamba TUNDU LISSU ninayemfahamu sio niliyemsikia katika maongezi yake.Je anafikir atapewa zawadi ya Urais kwa sababu tu alipigwa RISASI?Kwamba tutamzawadia URAIS kama kumpa pole kwa masahibu aliyoyapata?
TUNDU LISU ana SERA GANI?ANASIMAMIA NINI?JE ANATAKA KWELI KUWA RAIS WA HII NCHI?ANAO UWEZO WA KUWA RAIS WA HII NCHI?
Tuache masihara na cheo cha Urais sio cheo cha Mchezo Mchezo kusema kwamba tunampa mtu kwa sababu tu alipigwa RISASI bila kujua hasa ni nini anachokisimamia na nini anachokiamini
Nimeshangazwa sana na namna anavyozungumza na misimamo yake kuhusu maswala ya msingi haieleweki.Naona kama Tundu Lisu ameshakuwa addicted na Upinzani kiasi kwamba thinkinga yake iko katika kukosoa na kuhoji na kupinga na sio kupanga na kutekeleza maswala yenye maslahi
Niwaulize CHADEMA na TUNDU LISSU MWENYEWE JE Unautaka Urais ILI nini?KWELI unautaka Urais au unataka kugombea Urais?
Sheria zina nafasi ya kukuondolea umaskini, hata hilo hujui?Kwahiyo utawala wa sheria ndo utatuondoa kwenye umaskini.
Umeandika pumba, karudie mahojiano yake tena na usipoelewa ni afadhali ukaomba kuelimishwa.Nimemsikiliza Tundu Lissu akihojiwa na mwandishi wa BBC
Nimeshtuka sana baada ya kugundua kwamba TUNDU LISSU ninayemfahamu sio niliyemsikia katika maongezi yake.Je anafikir atapewa zawadi ya Urais kwa sababu tu alipigwa RISASI?Kwamba tutamzawadia URAIS kama kumpa pole kwa masahibu aliyoyapata?
TUNDU LISU ana SERA GANI?ANASIMAMIA NINI?JE ANATAKA KWELI KUWA RAIS WA HII NCHI?ANAO UWEZO WA KUWA RAIS WA HII NCHI?
Tuache masihara na cheo cha Urais sio cheo cha Mchezo Mchezo kusema kwamba tunampa mtu kwa sababu tu alipigwa RISASI bila kujua hasa ni nini anachokisimamia na nini anachokiamini
Nimeshangazwa sana na namna anavyozungumza na misimamo yake kuhusu maswala ya msingi haieleweki.Naona kama Tundu Lisu ameshakuwa addicted na Upinzani kiasi kwamba thinkinga yake iko katika kukosoa na kuhoji na kupinga na sio kupanga na kutekeleza maswala yenye maslahi
Niwaulize CHADEMA na TUNDU LISSU MWENYEWE JE Unautaka Urais ILI nini?KWELI unautaka Urais au unataka kugombea Urais?
Eeenh Heee, mkuu 'andoza', hivi kweli kazi uliyofanya hapa inastahiri kupewa ujira wowote kwa kuifanya?Nimemsikiliza Tundu Lissu akihojiwa na mwandishi wa BBC
Nimeshtuka sana baada ya kugundua kwamba TUNDU LISSU ninayemfahamu sio niliyemsikia katika maongezi yake.Je anafikir atapewa zawadi ya Urais kwa sababu tu alipigwa RISASI?Kwamba tutamzawadia URAIS kama kumpa pole kwa masahibu aliyoyapata?
TUNDU LISU ana SERA GANI?ANASIMAMIA NINI?JE ANATAKA KWELI KUWA RAIS WA HII NCHI?ANAO UWEZO WA KUWA RAIS WA HII NCHI?
Tuache masihara na cheo cha Urais sio cheo cha Mchezo Mchezo kusema kwamba tunampa mtu kwa sababu tu alipigwa RISASI bila kujua hasa ni nini anachokisimamia na nini anachokiamini
Nimeshangazwa sana na namna anavyozungumza na misimamo yake kuhusu maswala ya msingi haieleweki.Naona kama Tundu Lisu ameshakuwa addicted na Upinzani kiasi kwamba thinkinga yake iko katika kukosoa na kuhoji na kupinga na sio kupanga na kutekeleza maswala yenye maslahi
Niwaulize CHADEMA na TUNDU LISSU MWENYEWE JE Unautaka Urais ILI nini?KWELI unautaka Urais au unataka kugombea Urais?
MKU U UNAELEWA ENGLISH VIZURI? KAMA UNAELEWA NAOMBA RUDIA KUSIKILIZA TENA KWA MAKINI
Matatizo ya wa Tanzania ni uchumi.Lissu ni muumini Mzuri wa utawala wa sheria...na ndicho anachokisimamia leo na milele.
Ni kiongozi mzuri na watanzania wanamkubali....
Mkuu,Lissu ni Mwanasheria ila hilo la kuwa muumini wa utawala wa sheria linahitaji mjadala kidogo.Binafsi naona kama vile Lissu sasa maekuwa ama ni moderate au hana uhakika iwapo anautaka URAIS kweli.
Afahamu kwamba watu wanaweza kumpa KURA na kama hayuko tayari itakuwa tatizo kubwa kwa nchi yetu
Kama mzee Mwinyi , na Magufuli wameweza kuwa marais then mtu yeyote anaweza kuwa rais wa hii nchi
Ndugu yangu,Laiti ungelijua msingi wa swali langu na kuelewa mantiki yangu na wewe ungeuliza swali hilo hilo.Kama umemsikiliza Tundu Lissu vizuri kwa aina ya maswali na aina ya majibu utaona kwa nini nimeuliza swali hili la muhimu na ni kwa nini ni muhimu uelewa kama TAL ni moderate.Eeenh Heee, mkuu 'andoza', hivi kweli kazi uliyofanya hapa inastahiri kupewa ujira wowote kwa kuifanya?
Utakwenda kabisa kudai uliweka mchango wa mawazo kuhusu/kupinga alichokisema Lissu katika mahojiano hata bila ya kueleza umepinga nini?
Nyinyi watu, hizi shule zenu zinatia hasara kubwa taifa hili. Yaani hata wewe utadai unacho cheo huko serikalini au ndani ya chama, na mchango wako kama huu hapa unahesabika ndiyo kazi uliyoajiriwa kuifanya?
Mbona taifa linapata hasara kubwa hili!
Wewe unauliza majibu. Lissu anafaa kuwa rais mara 16 zaidi ya magu. Ni mtu ambaye ni competitive kabisa amesoma akaelimika na ni jasiri. Kuna mambo mengi mno yamepindishwa nchi hii Lissu atayanyoosha.Nimemsikiliza Tundu Lissu akihojiwa na mwandishi wa BBC
Nimeshtuka sana baada ya kugundua kwamba TUNDU LISSU ninayemfahamu sio niliyemsikia katika maongezi yake.Je anafikir atapewa zawadi ya Urais kwa sababu tu alipigwa RISASI?Kwamba tutamzawadia URAIS kama kumpa pole kwa masahibu aliyoyapata?
TUNDU LISU ana SERA GANI?ANASIMAMIA NINI?JE ANATAKA KWELI KUWA RAIS WA HII NCHI?ANAO UWEZO WA KUWA RAIS WA HII NCHI?
Tuache masihara na cheo cha Urais sio cheo cha Mchezo Mchezo kusema kwamba tunampa mtu kwa sababu tu alipigwa RISASI bila kujua hasa ni nini anachokisimamia na nini anachokiamini
Nimeshangazwa sana na namna anavyozungumza na misimamo yake kuhusu maswala ya msingi haieleweki.Naona kama Tundu Lisu ameshakuwa addicted na Upinzani kiasi kwamba thinkinga yake iko katika kukosoa na kuhoji na kupinga na sio kupanga na kutekeleza maswala yenye maslahi
Niwaulize CHADEMA na TUNDU LISSU MWENYEWE JE Unautaka Urais ILI nini?KWELI unautaka Urais au unataka kugombea Urais?
ccm wote mmeshajiona hamna uwezo wa kuwa rais isipokuwa dingi yenu pekee, sishangai kuona ungependa mtu anayeabudu madaraja ndiye ashike nchi kuliko mtu anayependa haki.Nimemsikiliza Tundu Lissu akihojiwa na mwandishi wa BBC
Nimeshtuka sana baada ya kugundua kwamba TUNDU LISSU ninayemfahamu sio niliyemsikia katika maongezi yake.Je anafikir atapewa zawadi ya Urais kwa sababu tu alipigwa RISASI?Kwamba tutamzawadia URAIS kama kumpa pole kwa masahibu aliyoyapata?
TUNDU LISU ana SERA GANI?ANASIMAMIA NINI?JE ANATAKA KWELI KUWA RAIS WA HII NCHI?ANAO UWEZO WA KUWA RAIS WA HII NCHI?
Tuache masihara na cheo cha Urais sio cheo cha Mchezo Mchezo kusema kwamba tunampa mtu kwa sababu tu alipigwa RISASI bila kujua hasa ni nini anachokisimamia na nini anachokiamini
Nimeshangazwa sana na namna anavyozungumza na misimamo yake kuhusu maswala ya msingi haieleweki.Naona kama Tundu Lisu ameshakuwa addicted na Upinzani kiasi kwamba thinkinga yake iko katika kukosoa na kuhoji na kupinga na sio kupanga na kutekeleza maswala yenye maslahi
Niwaulize CHADEMA na TUNDU LISSU MWENYEWE JE Unautaka Urais ILI nini?KWELI unautaka Urais au unataka kugombea Urais?
Ndio mkuu, vyombo vya habari vitakuwa huru kuibua ufisadi serikalini ili uchukuliwe hatua. Bunge litakua huru kuisimamia serikali bila hofu ya "mashangazi kuvunjwa viuno". Mahakama zitatenda haki sio kuwaachia mafisadi kisa tu ni CCM na kufunga wale tu wanaokuwa upinzani. Bajeti itatakelezwa kma ambavyo pesa ilipangwa bungeni bila kona kona za kufuja pesa za mfuko mkuu wa serikali.Kwahiyo utawala wa sheria ndo utatuondoa kwenye umaskini.