Is this the end of CHADEMA?

Is this the end of CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg

Sijui kama wewe mtoa mada unajua kinachodaiwa na wana Mtwara, wanachodai ni kujengwa kwa kiwanda cha kuchakachua gesi (yaani malighafi ya gesi) Mtwara na si Kinyerezi maana huko ndiko malighafi hiyo inakopatikana kama ilivyo kwa viwanda vya MINOFU YA SAMAKI kama ulivyotaja vipo Mwanza, Mara na Kagera na si Dar. Na faida inayopatikana kutokana na minofu hiyo hunufaisha Taifa kwa ujumla. Ndivyo wanamtwara wanavyodai Kiwanda cha GESI KIJENGWE KUSINI na si Dar-es-Salaam (Kinyerezi) na BIDHAA ZA GESI hiyo kuenezwa nchi nzima wala si Dar peke yake na ikiwezekana hata nje ya nchi kwa MANUFAA YA TAIFA na wewe ukiwemo utafaidi kwa namna moja ama nyingine. Sasa hilo ni kosa? Nakushauri ni vyema ukafanya uchunguzi kwa kina kisha toa hoja zenye maana na si lugha za maudhi kama unavyotaka kupotosha umma wa Tanzania.
 
sijui kama wewe mtoa mada unajua kinachodaiwa na wana mtwara, wanachodai ni kujengwa kwa kiwanda cha kuchakachua gesi (yaani malighafi ya gesi) mtwara na si kinyerezi maana huko ndiko malighafi hiyo inakopatikana kama ilivyo kwa viwanda vya minofu ya samaki kama ulivyotaja vipo mwanza, mara na kagera na si dar. Na faida inayopatikana kutokana na minofu hiyo hunufaisha taifa kwa ujumla. Ndivyo wanamtwara wanavyodai kiwanda cha gesi kijengwe kusini na si dar-es-salaam (kinyerezi) na bidhaa za gesi hiyo kuenezwa nchi nzima wala si dar peke yake na ikiwezekana hata nje ya nchi kwa manufaa ya taifa na wewe ukiwemo utafaidi kwa namna moja ama nyingine. Sasa hilo ni kosa? Nakushauri ni vyema ukafanya uchunguzi kwa kina kisha toa hoja zenye maana na si lugha za maudhi kama unavyotaka kupotosha umma wa tanzania.
basi na oil refinery zote zibaki uarabuni
 
Haya ona sasa,
Kila mtu akiwakosoa katumwa na Zito
Mie ni chilisosi na situmwi, I am my own boss
By the way mie natuma situmwi


nathibitisha umetumwa kufanya propaganda aidha ya kichama au ya usalama wa taifa kama vitengo vya serikali kubaki madarakani.CDM ni taasisi kubwa yenye katiba, rasilimali watu(viongozi , wanachama, na pia wapenzi na mashabiki), yenye rasilimali mbalimbali, yenye kanuni na taratibu.Kwa taasisi kubwa kama ile hakukosi vihelelena mapandikizi kama wewe hivi ambao wanaweza kwenda kinyume cha katiba, kanuni na taratibu.Kwa kufanya hivyo chama makini hakiwezi kukumbatia uozo badala ya kujenga chama kwa kuondoa uozo huo.Kuwaondoa wakiuka kanuni na taratibu za chama ni kuimarisha chama .Hivyo hakiwezi kufa.Sikuzote ukiona mchwa kwenye ubao wa kushikiria bati , huondolewa na kupaka dawa ya mchwa, kufanya hivyo ni kuimarisha nyumba badala ya kuacha paa lidondoke.nathibitisha kuwa umetumwa, tathmini yako ya kulinganisha nccr na CDM, inaonyesha umesimliwa huna uzoefu na kazia hiyo kisiasa.nccr iligawanyika mpaka kwenye vikao ambavyo huwa ni nyezo na dhana ya kupata suluhu na maamuzi ya kikatiba na kidemokrasia.CDM hakuna migawanyiko hiyo hasa katika vikao vya kitaaisisi kama chama.na hao wanaofukuzwa hata wakienda mahakamani wanashindwa;sababu wanakuwa wamekiuka katiba, kanuni, na taratibu.Hivyo kutathimini ya pumba uliyotoa inaonyesha ni mtumwa wa fikra pasipo shaka.
 
nathibitisha umetumwa kufanya propaganda aidha ya kichama au ya usalama wa taifa kama vitengo vya serikali kubaki madarakani.
Mwulize kama na uhusiano wowote na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) wa Kanda ya Dar es Salaam, Lukosi.
 
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg

Nguvu inayotumika kupiga propaganda na uzushi kuhusu cdm ingetumika kwa pace ileile kutatua matatizo lukuki ya watanzania masikini mijini na vijijini tanzania ingekuwa mbali sana. Hakika watz wana bahati mbaya kuongozwa na viongozi wanaokwepa kuwaambia wananchi wao ukweli wa mambo na badala yake kujikita katika uzushi na propaganda huku wakiwaficha taarifa sahihi. Hii ni dhambi kubwa sana kwa mwenyezi mungu. Watz amkeni.
 


nathibitisha umetumwa kufanya propaganda aidha ya kichama au ya usalama wa taifa kama vitengo vya serikali kubaki madarakani.CDM ni taasisi kubwa yenye katiba, rasilimali watu(viongozi , wanachama, na pia wapenzi na mashabiki), yenye rasilimali mbalimbali, yenye kanuni na taratibu.Kwa taasisi kubwa kama ile hakukosi vihelelena mapandikizi kama wewe hivi ambao wanaweza kwenda kinyume cha katiba, kanuni na taratibu.Kwa kufanya hivyo chama makini hakiwezi kukumbatia uozo badala ya kujenga chama kwa kuondoa uozo huo.Kuwaondoa wakiuka kanuni na taratibu za chama ni kuimarisha chama .Hivyo hakiwezi kufa.Sikuzote ukiona mchwa kwenye ubao wa kushikiria bati , huondolewa na kupaka dawa ya mchwa, kufanya hivyo ni kuimarisha nyumba badala ya kuacha paa lidondoke.nathibitisha kuwa umetumwa, tathmini yako ya kulinganisha nccr na CDM, inaonyesha umesimliwa huna uzoefu na kazia hiyo kisiasa.nccr iligawanyika mpaka kwenye vikao ambavyo huwa ni nyezo na dhana ya kupata suluhu na maamuzi ya kikatiba na kidemokrasia.CDM hakuna migawanyiko hiyo hasa katika vikao vya kitaaisisi kama chama.na hao wanaofukuzwa hata wakienda mahakamani wanashindwa;sababu wanakuwa wamekiuka katiba, kanuni, na taratibu.Hivyo kutathimini ya pumba uliyotoa inaonyesha ni mtumwa wa fikra pasipo shaka.
Ok basi nimetumwa
Are you happy NOW?
 
mleta hoja kwanza nikupe pole kwa kuumiza vidole vyako kabla ya kupanga hoja yenye mashiko na kuishia kutujazia threads zisizoeleweka
kwanza unasema CDM wanafukuzana....hhahahahaahha... #pumzika ## hata sikumoja huwezi mfukuza aliejifukuza
pili nani anaejielewa??? huyu "anaefukuza"" wale wasionamtazamo chanya na walowezi ama wewe unaejitapa kujivua gamba na kulikumbatia huku ukilililia???

Unahitaji kushtuliwa ili uamke
 
you people ur useless, nyie ni chama tawala, mnakusanya kodi na mamlaka kisheria juu ya nchi yetu pamoja na watu wake, nashangaa badala ya kutatua matatizo ya watanzania nyie kila kukicha ni CDM tu, IS CDM RULING THIS COUNTRY? useless!!!
 
Subirini mwone kama kitaporomoka kwanza ndo mnakipaisha juu watanzania si wale wa miaka ya 47

Mkuu Mwumi hizi propaganda zinapigwa ili lile neno la "uongo unaporudiwa rudiwa hutafsiriwa kuwa ni ukweli". Hizi propaganda zinasababisha watu wawe karibu kabisa na siasa, tena kizazi hiki cha mtandao ndio kinapata kujua mabaya na mazuri kwa haraka zaidi. Hofu pekee niliyonayo ni hizi propaganda kuchochea hisia za chuki na kuzalisha makundi yasiyofaa kwenye jamii ya Mtanzania
 
Ok basi nimetumwa
Are you happy NOW?

Halafu na kutumwa tumwa kwako ndio unataka kugombea ubunge wa Iringa mjini!? Utaishia kunawa kama mwenzio Le Mutuz. Tabia ya nyie maccm kudhania watanzania mbumbumbu itawaghalimu sana 2015. Kwa taarifa yako watu wa Kihesa Kilolo, Ipogolo, Mtwivila asilimia 95 hawapiti humu jukwaani we endelea na siasa za mtandaoni tunakusubiri ulingoni. Nape anayekutumikisha alishindwa kupenya hata kwenye kura za maoni mbele ya Mama Ng'umbi kudadeki
 
Swala la muhimu ni moja tu; kwamba wasaliti wote lazima watambulike na kundolewa mwaka huu 2013. 2014 ni mikakati ya ushindi na 2015 kuunda serukali. This is a pirification time. Mwaka mtakatifu.
 
Yawezekana kabisa ni wanaume wengi duinani wanopigwa na wake zao, lakini sasa mwenzetu huyu ni tofauti kabisa kwa sasabu yeye akipigwa kidogo tu analia saaaaana!!!
 


nathibitisha umetumwa kufanya propaganda aidha ya kichama au ya usalama wa taifa kama vitengo vya serikali kubaki madarakani.CDM ni taasisi kubwa yenye katiba, rasilimali watu(viongozi , wanachama, na pia wapenzi na mashabiki), yenye rasilimali mbalimbali, yenye kanuni na taratibu.Kwa taasisi kubwa kama ile hakukosi vihelelena mapandikizi kama wewe hivi ambao wanaweza kwenda kinyume cha katiba, kanuni na taratibu.Kwa kufanya hivyo chama makini hakiwezi kukumbatia uozo badala ya kujenga chama kwa kuondoa uozo huo.Kuwaondoa wakiuka kanuni na taratibu za chama ni kuimarisha chama .Hivyo hakiwezi kufa.Sikuzote ukiona mchwa kwenye ubao wa kushikiria bati , huondolewa na kupaka dawa ya mchwa, kufanya hivyo ni kuimarisha nyumba badala ya kuacha paa lidondoke.nathibitisha kuwa umetumwa, tathmini yako ya kulinganisha nccr na CDM, inaonyesha umesimliwa huna uzoefu na kazia hiyo kisiasa.nccr iligawanyika mpaka kwenye vikao ambavyo huwa ni nyezo na dhana ya kupata suluhu na maamuzi ya kikatiba na kidemokrasia.CDM hakuna migawanyiko hiyo hasa katika vikao vya kitaaisisi kama chama.na hao wanaofukuzwa hata wakienda mahakamani wanashindwa;sababu wanakuwa wamekiuka katiba, kanuni, na taratibu.Hivyo kutathimini ya pumba uliyotoa inaonyesha ni mtumwa wa fikra pasipo shaka.
Kwa hiyo hukubaliani kabisa na niliyosema au?
 
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg

Pole sana Chilisosi, ndo mikakati ya kuteuliwa kuwa mgombea ubunge Iringa nini!??
 
Last edited by a moderator:
you people ur useless, nyie ni chama tawala, mnakusanya kodi na mamlaka kisheria juu ya nchi yetu pamoja na watu wake, nashangaa badala ya kutatua matatizo ya watanzania nyie kila kukicha ni CDM tu, IS CDM RULING THIS COUNTRY? useless!!!

Sio tu useless,functionless na wanaogopa vivuli vyao wenyewe...wanahofia 2015 watakuja na mbinu gani ya kuchakachua..CDM,
 
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg

Mkuu Chilisosi,

Nimependa sana hiyo picha inasema yenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Sijui kama wewe mtoa mada
unajua kinachodaiwa na wana Mtwara, wanachodai ni kujengwa kwa kiwanda
cha kuchakachua gesi (yaani malighafi ya gesi) Mtwara na si Kinyerezi
maana huko ndiko malighafi hiyo inakopatikana kama ilivyo kwa viwanda
vya MINOFU YA SAMAKI kama ulivyotaja vipo Mwanza, Mara na Kagera na si
Dar. Na faida inayopatikana kutokana na minofu hiyo hunufaisha Taifa kwa
ujumla. Ndivyo wanamtwara wanavyodai Kiwanda cha GESI KIJENGWE KUSINI
na si Dar-es-Salaam (Kinyerezi) na BIDHAA ZA GESI hiyo kuenezwa nchi
nzima wala si Dar peke yake na ikiwezekana hata nje ya nchi kwa MANUFAA
YA TAIFA na wewe ukiwemo utafaidi kwa namna moja ama nyingine. Sasa hilo
ni kosa? Nakushauri ni vyema ukafanya uchunguzi kwa kina kisha toa hoja
zenye maana na si lugha za maudhi kama unavyotaka kupotosha umma wa
Tanzania.

sijui atakuelewa? maana maneno yake ni kama yako mashariki na anachokielezea ni kama kiko magharibi, sijui kwanini hawatafuti ukweli kwanza kabla hawajaunda maneno ya kuongea?
 
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg

Ni wewe tu ndio umeamua kuweka hii habari hapa ili kukizi haja yako ya kuwa eti kila siku hapa jamii forum kuna matatizo ya cdm
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom