Is this the end of CHADEMA?

Is this the end of CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
yes let it be the end as per your wishes but the TRUTH will always stand at its position.
 
Hakuna anaeshinikiza gesi ibaki mtwara, watu wanashinikiza wana mtwara wafaidike na hyo gesi bla kujali imeuzwa ndani au nje ya nchi, songea wana haki ya kufaidika na mapato ya uraniam kwani hata madhara ya mionzi ya sumu wataibeba wao pekee
 
Sijui kama wewe mtoa mada unajua kinachodaiwa na wana Mtwara, wanachodai ni kujengwa kwa kiwanda cha kuchakachua gesi (yaani malighafi ya gesi) Mtwara na si Kinyerezi maana huko ndiko malighafi hiyo inakopatikana kama ilivyo kwa viwanda vya MINOFU YA SAMAKI kama ulivyotaja vipo Mwanza, Mara na Kagera na si Dar. Na faida inayopatikana kutokana na minofu hiyo hunufaisha Taifa kwa ujumla. Ndivyo wanamtwara wanavyodai Kiwanda cha GESI KIJENGWE KUSINI na si Dar-es-Salaam (Kinyerezi) na BIDHAA ZA GESI hiyo kuenezwa nchi nzima wala si Dar peke yake na ikiwezekana hata nje ya nchi kwa MANUFAA YA TAIFA na wewe ukiwemo utafaidi kwa namna moja ama nyingine. Sasa hilo ni kosa? Nakushauri ni vyema ukafanya uchunguzi kwa kina kisha toa hoja zenye maana na si lugha za maudhi kama unavyotaka kupotosha umma wa Tanzania.
mafuta yako nchi nzima kwa hiyo hapo una maoni gani kila mtu yabaki kwake awashie vibatari au sio? yasiende kwenye masoko.
TANZANIA_ACTIVITY_MAP-AUGUST-2010.jpg
 
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg


ENEZA UPENDO,USIENEZE CHUKI penye uongo ukweli hujitenga.
 
Mkuu Ritz ,
Umewatambua wale kule mbali wawili waliojificha wanaangalia ngumi?

Mkuu Chilisosi,

Nimewatambua lakini wanaonekana wakati wowote wanaweza na wenyewe kuzichapa.

Lakini hawa wa mbele sidhani kama atayekubali kupigwa hao wewe unaonaje..
 
Chilisosi nadhani kichwa chako ama kina maji au hujui kitu umeamua kuongea bila kutafakali ama umetumwa sasa nadhani bora tukuache na fikra zisizo kuwa na tija
 
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg

Haya unayoyaleta ulishayawasilisha kabla hatujaingia 2013, vipi huna jipya la kuwasilisha zaidi ya hili na ukomo wa kuifikiria CDM ndo umeishia hapo ndugu. Jitahidi kuachana na mawazo ya kifo cha CDM inachotakiwa ufikirie jinsi gani utamtumika huyo mume mpya uliyejiunga nae.
 
Mkuu Chilisosi,

Nimewatambua lakini wanaonekana wakati wowote wanaweza na wenyewe kuzichapa.

Lakini hawa wa mbele sidhani kama atayekubali kupigwa hao wewe unaonaje..
Hawa wa mbele wanatumia jamii forums kudundana kaka
 
Kweli kabisa Chilisosi wewe hutumwina mtu.Tatizo lako ni mazoea ya kuliwa.hivi chama gani ambacho wewe unaona kina watu wenye fahamu zao na wote wakawa wanawaza mamoja kama mashine zilizopangiliwa (programmed machines).

Chadema hakuna zidumu fikra za mwenyekiti wala 'ndioooo' hata penye uozo kama chama chako ccha magamba. Kwa taarifa yako, mwili mzima lazima utowe taka zake wenyewe ili uendelee kuishi.Bahari nayo kila siku hutupa nje taka zake ili maji yake yawe safi.

Nikuulize habari za Kolimba hivi alifia wapi na kwanini? Hivi mzee Abdu Jumbe yuko wapi na kwanini hasikiki?Kwanini swahiba wenu Maalim Seif aliachishwa uwaziri kiongozi?Mwenyekiti wako kwanini kashindwa kutaja CC yake hadi sasa?

Yale majoka aliyosema mwenyekiti wako yametoka wapi ndani ya CCM? Ama kweli nyani haoni...Subiri CHADEMA TUCHUKUE NCHI 2015 wakati wewe ukibaki na tamaa zako za fisi, kutamani mikona ya mtu ianguke.Jiandae ukaliwe tena sijui kwenye chipsi au uji au wapi utawekwa.
 
Mtu mzima huwezi kujificha kwenye shamba la karanga!mleta mada ni mmoja wa wale wanaonufaika na kuwepo madarakani kwa CCM na huu ni mkakati mojawapo wa propaganda ambazo zimefeli!Badilisha mbinu ndugu!
 
Ulimbukeni ni kitu kibaya sana!!! Huyu ni njaa inamsumbua!! Hivi ccm wanampa sh. ngapi???!!!
 
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg

Mtasubiri sana hadi sugu ziwaoteni makalioni
 
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha<br />
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani<br />
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito<br />
Mara ooh Zito msaliti<br />
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti<br />
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,<br />
Mara ooh juliana kafanya vilee<br />
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia. <br />
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.<br />
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.<br />
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?<br />
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?<br />
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous? <br />
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe<br />
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg

Hongera naona umeanza kampeni ya kushirikiana vibwengo. Nakuhakikishia hutafanikiwa. Uelewa wa Tz umepanda sana. Kalaga baho....wenzako wanasonga mbele.....
 
mafuta yako nchi nzima kwa hiyo hapo una maoni gani kila mtu yabaki kwake awashie vibatari au sio? yasiende kwenye masoko.
TANZANIA_ACTIVITY_MAP-AUGUST-2010.jpg

Chilisosi you deserve the best. Wanaobisha waangalie ramani. Wajikumbushe map reading enzi hizo wakiisoma wataelewa tu Kama wamesahau map reading wasione aibu kuwauliza watoto Au wajukuu wao watawaelekeza
 
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg

Kwa taarifa tu, changamoto ni muhimu na haziepukiki katika taasisi inayokuwa kama CDM. suala la msingi wakati wa kuzikabili je zinakiacha chama katika hali gani, maisha bila changamoto sio maisha. usisahau hata CCM kuna changamoto tena nyingi pengine zaidi ya CDM kuliko unavyofikiri, hata imepelekea viongozi kushindwa kufikiri the way forward yaani wanaendesha chama kwa kubahatisha, hata imepelekea kubadili kila mara watendaji wakuu wa chama kama katibu mkuu. Kumfukuza/kumvua uanachama mtu asiyefuata maadili na itikadi ya chama sio maamuzi mepesi na ndio maana utaona CCM wameshindwa, wanaogopa inaweza kukiua chama kabisa. kwao ccm ni bora kuwa na 'sura mbili' ndani ya chama kuliko chama kuonekana kina migogoro. Jiulize migogoro ndani ya CDM kama ulivyosema je chama kinaendelea kuwa na nguvu? kianaendelea kukuwa? n.k
 
chilisosi naomba kwanza uwatake radhi wanachadema wote kwa kitendo cha kuwafananisha na mbwa mwitu kama ulivyoweka picha kwenye mada yako. wape binadamu wenzako hadi kama wanadamu na si mnyama

Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom