Is this the end of CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
2.Tuhuma zinazotolewa na CCM kuwa CDM wanapanga mauwaji ya raia,mbona hawajibu viongozi wa CDM inamaana ni kweli kama ni kweli si kweli kama cdm wamepoteza dira na umaarufu wake sasa unashuka na hatimaye kufa kama ilvyokufa NCCR MAGEZI ya Mrema?.

ilibidi ukawaulize ccm wenye serikali kwanini hawajaenda kuwakamata watu wanaopanga mauaji ??
 
....njaaa haina adabu.....wewe mtoto wako umeshindwa hata kumpeleka shule kisa huna ada..leo bila aibu kukaaa kuandika hili giza kisa mlo wa siku moja.....
 
Haya mambo niliishayatabiri na sasa yanatokea
 
Masalia at work!endeleeni kujidanganya hivyo hivyo,lakini ipo siku mtalia kilio cha mbwa,midomo juu!
 
CDM ilikufa siku nyingi,imebaki kama mtaji wa Mbowe,Slaa na Lema.
 
Wachumia tumbo mwaka huo lazima tuwazike.
 
Mti wenye matunda ukipigwa mawe sana huku haupuputishi matunda mwisho hufa kwa majeraha ya mawe

Nyamaza KILAZA we,

Kama ni kuhusu mti CHADEMA ni MNAZI kamwe jiwe haliwezi kuufanya uangushe matunda, wala majeraha hayaufanyi ufe.
 
CDM ilikufa siku nyingi,imebaki kama mtaji wa Mbowe,Slaa na Lema.
Mkuu ukiangalia hii picha ni kweli kabisa,
Wamebaki akina saa tano na saa mbili wanapigana vitu vi zito usoni wakati viongozi wawili wako mbali wanachungulia kulikoni
 
Haya mambo niliishayatabiri na sasa yanatokea

unapoteza mda kuamini utabiri wako,sheikh yahya alitabiri kifo cha mgombea maarufu mbona hatukuona?
Usipoteze mda wewe njoo cdm achana na hcho chama kinachokufa.
 
watafukuza wote ila siku wakimfukuza ZZK ndio mwisho wa cdm kuwa chama kikuu cha upinzani! zitto ndio nguzo ya chadema iwe wanataka au hawataki yeye ndiye amebeba taswira ya chama

acha utoto wewe,kwani zitto ndio nani chadema.he is just like other members,chadema itazidi kuepo na haifi hata mkiroga mpaka chini ya bahari.
 
Wote waliowatabiria wenzao kufa walikufa wao.Andaa jeneza lako
 
nooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Pamoja sana kiongozi kwani tumeshagutuka na hiki chama ndio source ya migogoro.CDM kimekua chama cha watu wachache kuburuza wenzeo kisa vyeo vyao.Chama makini ni chama ambacho wanachama wote chini ya katiba ni sawa.Lakini mbele ya Dr na M.bo.we katiba ya chama haifui dafu kwao wao ni miungu watu ndani ya chama na katiba haina nafasi kwa hili lazma hatma ya chama hiki ijulikane!
 
Unapolima shamba lazima uondoe magugu ili mazao yastawi vizuri,tunapojiandaa kunyakua dola lazima tuwaondoe wachumia tumbo wote nakubaki na watu makini kwa ukombozi wa nchi!viva cdm

mkiondoa wachumia tumbo CDM itabaki na nani?
Dr amediriki kukopa pesa za chama tena haijulikani mamilioni hayo kama yatarudi na wala haijulikani ametumia katiba ipi kujikopesha pesa za ruzuku.Dr huyo huyo amefuja pesa za miradi ya maji,juzi tumeona L.e.ma anavyo wahadaa wana Arusha anaomba misaada kwa ngao ya chama na badae anatupia tumboni kwake.Hatma ya CDM si zaidi ya 2015 kwa mwendo huu
 
Hivi CDM inaposafisha UOZO ni migogoro au kujiimarisha.

Wameshagundua na wanajua fika ni nani yupo CDM kwa kuchumia tumbo.

Ni nani asiyejua SHIBUDA, ni jembe la aina yake sio CDM wala CCM wanaoweza kum-contain ni controversial figura. Wanaye na wanajua how to go with him.

Zito huyo sisemi historia itatwambia ila wote mnajua jaribio lake pale alipomtanguliza KAFUALIA kuleta vurugu na kutest reaction ya CDM. Walipokuwa tough alinywea, wanamjua na dawa yake ipo tayari na CDM haitayumba.

Sasa hivi CDM inafanya ufasi na hizi turbulence zita-stabilize kabla ya 2015.

ZITO ndo Mvurugaji na hii ni tabia ya eneo analotoka, tafuta kote watu hawa walipo kama ni salama kuanzia siasa mpaka sehemu za ajira na makazi.
 
watafukuza wote ila siku wakimfukuza ZZK ndio mwisho wa cdm kuwa chama kikuu cha upinzani! zitto ndio nguzo ya chadema iwe wanataka au hawataki yeye ndiye amebeba taswira ya chama

ss kama zito anajiamini aomdoke basi akanzishe chama chake. tena hatumtaki ziko.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…