Mti wenye matunda ukipigwa mawe sana huku haupuputishi matunda mwisho hufa kwa majeraha ya mawe
Mkuu ukiangalia hii picha ni kweli kabisa,CDM ilikufa siku nyingi,imebaki kama mtaji wa Mbowe,Slaa na Lema.
Haya mambo niliishayatabiri na sasa yanatokea
Haya mambo niliishayatabiri na sasa yanatokea
CDM ilikufa siku nyingi,imebaki kama mtaji wa Mbowe,Slaa na Lema.
watafukuza wote ila siku wakimfukuza ZZK ndio mwisho wa cdm kuwa chama kikuu cha upinzani! zitto ndio nguzo ya chadema iwe wanataka au hawataki yeye ndiye amebeba taswira ya chama
nooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!kama ilivyokuwa kwa nccr mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
mara ooh saa nane kamuanika zito
mara ooh zito msaliti
mara ooh sshibuda anadhamini wasaliti
mara ooih ccm wanaingiza mapandikizi,
mara ooh juliana kafanya vilee
mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. Haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. Huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? Lake tanganyika? Selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
Kama ilivyokuwa kwa NCCR mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995 chama kinachojiita cha demokrasia chadema kimekumbwa na migogoro isiyokwisha
Kila kukicha hapa utasikia ngumi zimezuka kona fulani
Mara ooh Saa nane kamuanika Zito
Mara ooh Zito msaliti
Mara ooh Sshibuda anadhamini wasaliti
Mara ooih CCM wanaingiza mapandikizi,
Mara ooh juliana kafanya vilee
Mara ooh sijui nani kafanya vile, yaani imekuwa kero sasa kwani kila siku sasa ukiingia jamii forums au kusoma magazeti hukosi vichwa vya habari vya chadema wakinyoosheana vidole na kutimuana kama kuku bila kufuata katiba wanayodai kuwa ndiyo ya kidemokrasia.
Hiki chama mie nimeanza kukitilia mashaka kuwa kinaweza kuja kuleta maafa kwa nchi yetu kwani wao hawahubiri amani bali wanaeneza machafuko kama vile uamsho tu hakuna tofauti yoyote.
Hebu fikiria suala la gesi watu na akili zao wanashinikiza maandamano gesi ibakli mtwara. haya yangesemwa huko zenji ingekuwa balaa hapa. huu si uchonganishi huu, unaposhinikiza hayo maandamano hujui sie wahehe, wanyakyusa, wakurya, waha, wafipa, wahaya, wachaga nk pia tunahitaji kuona faida ya hiyo gesi.
Uliwahisikia wasukuma wakiandamana kudai mapato ya dhahabu na almasi au minofu yawe kwa ajili ya mwanza tu?
Au uliwahi sikia umeme unaotengenezwa mtera wahehe na wagogo wakasema ubaki iringa na dodoma tu taifa libaki kiza?
What about gesi itakayopatikana lake rukwa? lake tanganyika? selous?
Chadema mie kwa sasa nawafananisha na Kundi la mbwa mwitu waliokosa mawindo kwani wana hasira kali na matokeo yake wamepoteza muelekeo wanaanza kuumana wenyewe kwa wenyewe
Unapolima shamba lazima uondoe magugu ili mazao yastawi vizuri,tunapojiandaa kunyakua dola lazima tuwaondoe wachumia tumbo wote nakubaki na watu makini kwa ukombozi wa nchi!viva cdm
watafukuza wote ila siku wakimfukuza ZZK ndio mwisho wa cdm kuwa chama kikuu cha upinzani! zitto ndio nguzo ya chadema iwe wanataka au hawataki yeye ndiye amebeba taswira ya chama