Is this possible?

Is this possible?

Huyo ni kama "powerbank" inachajiwa baadae nayenyewe inachaji simu
 
Mbona kwa sasa hapa Bongo watu wa jinsia hii wapo wengi tu....yaani utashangaa tena nasikia kuna mawaziri wawili wa hii serikali yetu ya sasa wao ni dizaini hii pia. Ni watu wa umri kati ya 40 - 50 na ni watanashati sana.
 
hii taarifa au hoja? kama ni hoja mchango unahitaji wa nini? kunamwenye uzoefu na hili MMU? ......unataka kujaribu?
 
Mbona kwa sasa hapa Bongo watu wa jinsia hii wapo wengi tu....yaani utashangaa tena nasikia kuna mawaziri wawili wa hii serikali yetu ya sasa wao ni dizaini hii pia. Ni watu wa umri kati ya 40 - 50 na ni watanashati sana.

Taja initials tu zao ....
 
Sina hakika kitu kama hicho kinawezekana ila kama wapo watu kama hao hapa JFwaje wafunguke tupate ukweli.
 
Aisee nimeshangazwa sana na hili.

Inawezekana vipi?

Yani kuna jamaa hapa ana girlfriend wake na anakula mzigo kama kawaida.

At the same time, jamaa huyo huyo ana boyfriend (means he is a gay) na analiwa vile vile.

Sasa nashindwa kuelewa, mtu kama ni gay anawezaje kuhimili tena mikiki mikiki ya upande wa mwanamke?

Naomba michango yenu tafadhalini.

I stand to be corrected.

Huyo ni bisexual......somrymz anakuw na relationship na gal ilikuzuga tu
 
Wewe ukishamuhisi mtu tu hapo hapo hisia zako zinageuka 'verified facts'? Cc Nyani Ngabu.

Hahahaaa Bossman, these nimrods don't even know the difference between knowing and assuming.

Their gray matter isn't equipped to process nuance, separate facts from fiction, and more importantly, separate the wheat from the chaff.

They don't even know that saying it so doesn't make it so.

Wao wanachohisi, kudhani, na kusadiki ndo ukweli. Na wakati mwingine nadhani hata wanajiaminisha wenyewe kabisa kuwa wanachokidani ndo ukweli, ukweli wote, na ukweli mtupu.

Sasa mtu hata humjui, hujui yukoje, hujawahi hata kumtia machoni zaidi ya kusoma tu aandikacho humu kupitia jina bandia, utajuaje mwelekeo wake wa kijinsia?

That is sheer lunacy.
 
Mmmmm ukiona mwanaume anajipenda sana,ujue kuna walakini,mwanaume anatakiwa anukie kimbuzi mbuzi 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😇
 
Ama kwa hakika tunaishi kwenye nyakati za kushangaza sana...........tunaishi kwenye nyakati ambazo ni ngumu kumtofautisha binaadamu na mnyama........mtu na akili zako unaweza ukaja ukaposti ujinga kama huu ukitaka watu tujadili...??......kama unataka kuwa PUNGA wewe kuwa PUNGA kwa matakwa yako sio unataka waungwana tukuamulie......
 
Mmmmm ukiona mwanaume anajipenda sana,ujue kuna walakini,mwanaume anatakiwa anukie kimbuzi mbuzi 

Anatakiwa na nani anuke "kimbuzi mbuzi"?
 
Back
Top Bottom