Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Mbona maneno kuntu mpendwa? Najua inauma kuona mwanamke mwenzio akisalitiwa na kuumizwa ila naomba upunguze hasira na usitumie maneno makali.
Unajua kuna mambo mengine ya kujitakia. Halafu ina maana huyu mtu mzima hajui penzi jipya na la kuiba linaonekana(ga) tamu tu?
Sasa acha amuache mkewe aende akaisome namba
Hiyo haipimwi kwa miaka!!! just anytime when that feeling comes... of waking up everyday with the same woman
*excuse my language*
Si unajua bibie hapa kazi tu, basi inabidi tukeshe ili tuendane na kasi ile ile.. Naomba pitia pale nimeacha maagizo yako
Maji yakishamwagika hayazoleki. He cannot change the past but he can take control of the future. Kama kweli anataka kuokoa ndoa yake kwanza kabisa amuombe mke wake msamaha, pili atake yeye mwenyewe kubadilika kutoka moyoni ikiwa ni pamoja na kumsahau huyo intern, tatu atubu mbele za Mungu na aombe msaada wake ili aweze kumbadilisha na kumfanya aache kutamani mwanamke mwingine asiye mke wake. Nne azidishe upendo kwa mke wake na amfanyie mambo yatamfanya asahau uliyomtendea na aone kuwa amebadilika. Only madiliko ya tabia yake ndio yatakayo okoa ndoa yake.
Eish..sa unavowambiia wenzio mchelewe chelewe kwanza mnataka mgundue nini bana..hebu oeni. Magonjwa mengi..
Kwa hiyo soulmate wako unakutana naye tu ukichelewa kuoa/kuolewa? Mtu sahihi mtu anapewa na Mungu katika age yoyote ile ambayo Mungu anaona inamfaa mtu huyo.
Kikawaida hadi unafikia kumuoa/kuolewa na mtu ni kwamba umemuona bora kuliko hao wengine. Umeishi naye weee ndo sasa hivi unahisi eti sio chaguo lako sahihi. Huyo mwingine unayemuona kama soulmate wako sasa hivi na yeye Ukianza tu kuishi naye, utahisi ulikosea kuchagua.
"Kukurupuka si sawa", hilo naliafiki kabisa. Ni kumuomba tu Mungu akupe chaguo lako sahihiIla kuna wangapi wanaolewa/kuoa lakini hakuna pendo la ukweli zaid ya mazoea?.... ndo mana nasema sio sawa sana kukurupuka kuoa/kuolewa kwa haraka katika mauhusiano...
Haina kwere ngoja nikachungulie mpendwa!
Kiboro dinda at work, muache mkeo ukamtafute huyo intern umuoe afu uone kama ukiishi nae atabaki intern as you see her au nae atakua kama wife ambae leo unamuona kama kibwengo....
Mbona maneno kuntu mpendwa? Najua inauma kuona mwanamke mwenzio akisalitiwa na kuumizwa ila naomba upunguze hasira na usitumie maneno makali.