Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 189
Wanaochafua amani sio Waislamu ni CUF ili Zanzibar iwe huru na kurudi arabuni
Majibu ya maswali yako :-
1. Miaka ya nyuma uislamu na waislamu walikuwepo na haya mauaji tulikuwa tukiyasikia kwenye nchi kama Misri, Iraq na kwingineko kwenye christian minority huku uislamu ukijiingiza kwenye ugaidi wa kutisha wa akina Osama.
2. Kinachotokea sasa ni waislamu wa zanzibar kuupokea ugaidi kwa mikono miwili na kuutekeleza kama unavyosikia au pengine kushiriki ukiwa mwislamu pia.
Sio suala la kuutetea uislam.
Ni suala la kulitetea taifa letu,hapa kama kutakuwa na machafuko na uvunjifu wa amani tutaweza vipi fanya ibada zetu?
Kuhusu ponda,faridi na ilunga kama wao ni waislam au si waislam sijui unahitaji jibu la namna gani,zipo sifa za kumwita mtu muislama,nazo baadhi yake ni wema na kuamin mafundisho ya qur an na sunna za mtume (s.a.w),na kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake,zaman hatukuyaona haya,tujiulize kwa sasa yanatokea wapi?
Si kweli kabisa,,
unachokisema wewe ni kumeza moja kwa moja propaganda za west,osama ugomvi wake na marekani ulikua wazi na ulikua unafahamika tokea mwanzo,walipotofautiana katika misimamo yao then kikatokea kile kilichotokea,hakuna anaeamini ya kwamba osama alikua pale kwa maslahi ya uislam,unamchukulia yeye kwa kuwa ni mtu mwenye kuamin dini ya kiislam,lakin uhalisia hauko hivyo,,
then nchi nyingine kwenye machafuko unayoskia watu wana interests zao moja kwa moja,wengine hutumiwa uislam kama gia yao tuh,,
tungetemea nchi kama saudi arabia,oman,qatar na zingne nyingi zenye waislam wengi tuskie vurugu hizo,mbona kupo cool?
mji wa makkah ni mji ambao kwa kiasi kikubwa huchukuliwa kama ni mji mtukufu kwa waislam kwenda kuhij na kufanya ibada zao,tulitaaji kuskia hapo kuna machafuko makubwa kama uislam unafundisho ivo,mbona pako cool?
TAFAKARI..
Swala la kujiuliza hapa ni rahis sana,,
Kwan miaka ya nyuma uislam na waislam hawakuwepo?
mafundisho ya uislam yapo vile vile,nini sasa kinapelekea hiki kinachotokea sasa?
TAFAKARI...
kule wanatumia quran pekee, nyinyi mnachanganya quran na bangi!
Dullah unauliza maswali ya msingi sana. Majibu yake yanahitaji tafakuri ya kina isiyo na chembe ya ushabiki wa kidini. Kwa wakristo imani na matendo ni vitu ambavyo haviwezi kutenganishwa. Dhana ya msingi ni kuwa muumini wa kweli anatakiwa kutenda yale anayoamini. Imani ya mtu haiwezi kuonekana kwa macho kwani iko ndani ya roho ya mtu lakini pia huwezi kuifahamu imani ya mtu kwa kusikiliza anachoongea peke yake. Ili uweze kufahamu imani halisi ya muumini shartu uangalie matendo yake ambayo ni uthibitisho wa nje wa kile kilichojificha ndani ya roho yake. Hii maana yake ni kuwa hata kama utaongea kwa kipaza sauti kuwa wewe una amini katika mambo fulani ikiwa matendo yako hayaakisi kitu unachohubiri na unafanya kinyume kabisa basi wewe ni mwongo au mnafiki.
Naomba nikuulize swali, Je Shehke Ilunga ni Muislamu? na anachfundisha ndio Uislamu? tuanzie hapo kwanza kabla hujawasema wale wanonyooshe vidole haya matukioa na Uislamu ! ukinijibu hapa tutaenda sawa
Naomba nikuulize swali, Je Shehke Ilunga ni Muislamu? na anachfundisha ndio Uislamu? tuanzie hapo kwanza kabla hujawasema wale wanonyooshe vidole haya matukioa na Uislamu ! ukinijibu hapa tutaenda sawa
Mkuu huwajui wanafiki wakubwa hawa! Na imani yangu ni imani thabiti. Kwani hujui kuwa uislamu ndiyo dini inayoogopewa kwa fujo duniani kuliko dini zote? Wakuita brother na wanakuchinja mchana kweupe! wanakupa msahafu uukojolee kisha wanaenda kubomoa makanisa mazuri kwa wivu wa Mohamad!
Well said kabisa,labda mimi niulize swali moja kwako,
Chukulia mfano taharuki iliyokatokea mbagala na kuchomwa kwa kanisa kipindi kile,je kabla ya taharuki ile na sakata la kukojolewa qur an huku bara tulishawahi kuskia choko choko kama hizi?
ni wazi kwamba hatukuwahi kuwa na choko choko kama hizo,
Zanzibar pia haya tunayaona miaka hii ya sasa,mufti alimwagiwa tindikali huko,makanisa yanachomwa huko,padri kauwawa huko n,k
kisha tumekuja tena kuyaskia ya geita hivi majuzi,thats why tunasema haya yanayotokea sasa kwani zaman yalikuwa wapi?
mafundisho yako vile vile,watu ni wale wale,kuna nin kimezliwa mioyoni mwao?
hapo ndipo tunapostahiki kusimamia..
serikali ya CCM iliyochaguliwa kidemokrasia
Habari ndugu zangu. Natamani kumwelewa mtoa mada lakini inanipa shida. Kuna mipango mingi sana inapangwa namna ya kuueneza Uislamu kwenye nyumba zao za ibada na wanatumia vipeperushi, cds, dvds na namna mbalimbali kuhasishana. Nia yao ni kuiongoza dunia na watu wote wamwabudu mtume Mohamed. Yeyote asiye kuwa Muslim ni Kafiri kwao na ni takataka tu au mnyama fulani tu, ndio maana kukuchinja wewe mwanadamu kafiri ni kawaida sana na Ibada na nguzo muhimu kwa Uislamu. Ndio maana Wanaweza kujilipu kwa ajiri ya dini yao. Niliongea na jamaa mmoja mwislamu kama anaweza kijilipua akaniambia INAWEZEKANA na ni thawabu kwake ibada maalumu.
Naomba nikuulize mtoa mada kwa nini mnamwita asiye muslimu kafiri?
Kwa nini mko tayari kujilipua?
Kwa nini mashehe wanasambaza cd,dvds,tape na vitu vingine hamuwakemei?
Na mwisho kwa leo kwanini nchi nyingi za kiislamu hazina amani?
yanayotokea zanzibar yana sababu ambazo lazima zifanyiwe utafiti wa kina na serikali kisha iyatafutie suluhisho,
mbona zamani hayakuwepo?
kuna yule mufti alimwagiwa tindikali huko huko zanzibar,umesahau?
je,ulishawahi kuskia waislam wakihisi ya kwamba waliofanya hivyo ni wakristo??
Pamoja na juhudi nzuri za kujitetea kwa ndugu zangu waislamu, lakini ukweli unabaki palepale kuwa Uislamu kwa sasa umepoteza mvuto kwani ndiyo ulitufikisha hapa tulipoooooo!!!!
Ikumbukwe kuwa swala la juhudi za kuuneza uislamu umejimaliza wenyewe, hakuna mtu tena aliye mkristo ama mpagani kudanyika kwa lolote lile eti asilimishwe!!. Kinachofanyika sasa, wadada wote waliokuwa wananyemelewa na wakaka wa kiislamu wamewapiga stoooop! kwani wamjuwa kuwa wataenda kushawishiwa kujitoa mhanga eti wataenda ahera, uongo mtupuuuu!!! Imeandikwa baada ya kifo ni HUKUMU na si vinginevyoooooo! Pia wakaka wa kikristo sasa wanawauliza kwanza wasichana majina, akitaja Asha, ajira,Kulthumu, anaambiwa asepe huko kwani ni kibaraka wa uislamu na gaidi namba moja.
Sasa kwa mazingira haya hamuoni kwamba mnajimaliza ninyi wenyewe tuuuu! Oneni pia matokeo ya form 4, ziro ziko zote kwenu, je mnategemea nini, ni lini mtakapofikiria kwenda shule ya uhakika muachane na hiyo elimu kuua????? Shame on you, once again shame on you!!!! wadada wa kikristo kazi uzi kutowadondokea hao magaidiiii! wakaka please stop from any relationship with Muislimu girls, theyare killers, they will us/you soon!!!
hii ya kumuhukumu Shekhe Ilunga ilitakiwa ianzie kwenu nyinyi mnaoujua uislamu hasa ni nini, mjitokeze mseme wazi wazi anachokisema shehe sio uislamu bali ana interest zake binafsi kwa hiyo ndugu zangu msimsikilize wala kuyafuata maneno yake, shida huyu shekhe anahubiri kwenye misikiti na huko kuna waislamu safi kwa nini wanamruhusu? kwa mantiki hiyo ni kwamba hawa watu wanohusisha haya mambo na uislamu hawana makosa kabisa kwa sababu ndio yanahubiriwa huko misikitini, kwa hiyo ndugu yangu, nimekuelewa sana unaposema hayo lakini kuna watu humu wanshabikia mamneno ya shekhe na kutuaminisha kua uislamu ndio huoShekhe ilunga umhukumu yeye kulingana na hayo anayoyazungumza,
Kama unataka mimi niwe katika position ya kumjaji huyo shekhe kama ni muislam sahihi au si muislam sahihi mimi sipo katika position hiyo,zaid zaid nitachosimamia mimi kipimo cha muislam safi ni kufuata mafundisho na kuacha makatazo na kumcha mola ipasavyo..
Shekhe ilunga umhukumu yeye kulingana na hayo anayoyazungumza,
Kama unataka mimi niwe katika position ya kumjaji huyo shekhe kama ni muislam sahihi au si muislam sahihi mimi sipo katika position hiyo,zaid zaid nitachosimamia mimi kipimo cha muislam safi ni kufuata mafundisho na kuacha makatazo na kumcha mola ipasavyo..