is it possible to make ur x-lover a close friend?

Mmmmmmmh
yaani watu wanawaona ex's wao kama wanyama utadhani wao sio ma-ex wa watu kadhaa.

Yaani mie list(marcopolo 3) yangu yote ya ma- ex's are good people, kushindwana kimapenzi hakumaanishi wamekuwa watu wabaya mno.
 
ckushaur kwa kwel,mana hisia huwa hazichelew kusalit akil yako....mi nachat na x wang ye ana wake na mm nna wangu lkn na huwa 2nashauliana mambo mng kuhusu lov,bby wng yupo mbal na wake yupo mbal,,,sometyms ananical eti amemic kua nam sasa m2 kama huyu ukikaa nae karb c balaa...aku mwnzng x wako muone ka mkweooo
 
Wee ibanie tu, unadhani ina kazi nyingine?
Haitakusaidia hata kutafuta pesa hiyo.

Nashangaa kisa cha kuibeba baskeli badala yenyewe ikubebe wewe.

Du! me nikajua wanajaa hiace....kumbe marcopolo tatu.............!!!!!!!!aisee Kongosho nataka uwe role model wangu kumbe mimi bado........vile vibinti vinavyonitizama vizuri vitapata habari yao kesho
 
kwakweli mdau ni ngumu sana kuwa na urafiki na EX.... lazima mtaishia pabaya.by the wai why ur ex? hv kweli umekosa rafiki tofauti na huyo ex... you cnt b serious
 
Habari zenu waungwana... nauliza inawezekana kumfanya aliekua mpenzi wako kuwa rafiki yako wa karibu wa kumuomba ushauri katika mambo mbalimbali ikiwamo masuala ya mapenzi? tiririkeni tu mi nawapenda sana..
hiyo ni ngumu mkuu nilijaribu nikashindwa infact let me tell u a story niliachana na girl wangu bahati nzuri yy akapata mwingine in short time na mm sikufanikiwa basi ikawa inaniuma sana maana nikiwakuta pamoja nilikuwa na machungu tu..hivyo usijaribu mkuu...
 
mmmh mmh usijaribu hata kidogo kwa ushauri wangu, maana kuna mahala mtafikia tu mtataka kukumbushia za enzi. mm mwenyewe yamenitokea hayo x-bf. usijaribu kabisaa mbaya hiyooooooooo
 
ma ex wangu wote hakuna hata mmoja ana hamu na mimi..sijui niliwafanyia nini hata urafiki hawataki
 
Mkiwa close friends mtaishia kukumbushia vya zamani ila inawezekana kuwa normal friends bila ukaribu..
 
hahahhahaaha yaani sikuizi nikiachana na mtu lazima nizue ugomvi mkubwaaaaaaaaaaaa ili akiniona asitamani hata kunisalimia, lol niliwahi kujikuta na do na ex bila kutarajia, kisa kuendekeza urafiki
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom